Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,273
- 96,421
I love you too.. loven't me?Morning ain't we?
I love you too.. loven't me?Morning ain't we?
I love you too.. loven't me?
Sawa basi ngoja niendelee kulia kimoyomoyoKarucee kuna mtu kishajimilikisha hiyo himaya
nimeisubiri mpaka basi....Binamu tunatafutana....
Saa tano kamili utaona call yangu, ukiiona hata usipokee njoo direct hapa matakko bar 😀
Amen!!Eeh you're right Kwa Kweli.. Vilivyokamilika havidumu... Missing my H pia... I know we gonna meet one day![]()
Hauwezi kuwa wewe maisha.Its me F, Miss u too
Tutafasirie mtumishiHivi katika Biblia huu mstari una maana gani hasa
Kitali Cha Methali 11:22
“Kama pete ya dhahabu katika pua ya nguruwe, Kadhalika mwanamke mzuri asiye na akili.”
Haahaha hawatakuelewa ila hii kitu ni konki sana, very realistic mzee baba!Ungejua maana yakupenda ungepata aliye sahihi..huwezi kumkuta mtu kakamilika sasa pick afadhali kati ya hao ambaye yupo tyr na mahusiano serious na wewe thn mkae chini mfanye kazi km team kufikisha mahusiano yenu sehemu flani tatizo lenu mmeona mbo* nyingi na mahusiano mengi kwahiyo vichwa vyenu vimekuwa na vigezo kibao kutokana na experiences zenu... vinawaza awe na mboo km juma,pesa kama david,romantic kama michael,msafi kama ally,handsome km idrissa,mcha Mungu km masanja,mcheshi km George, mpole km fadhili....sasa masifa yote hayo ya wapenzi wako wazamani eti awe nayo mwanamme mmoja khaaaaaaa...tulizeni miili hiyo hili vigezo vyenu vipungue... mjanja yeyote anajua kundi la wanawake wenye vigezo vingi wengi wao ni malaya wameona mengi