Hahaa yaani average joe yeye"... holy Savior pia yeye ""??kuna mbabe mmoja ANASHIKA NAMBA ZOTEEE!
ya kwanza mpka ya mwisho!
NIHURUMIE!
nianze saka saka sa hiz binamu?
Ahaaaaaaa huu Uzi una zaidi ya ukweliiiii.
Shoga yangu mmoja alinambia exactly ulichosema.
Yeye Mme alipata na ndoa juu na kila kitu Mme anacho kasoro hivi.
1: mfupiiii,
2: sura kama wa yule waziri maana kamuharibia watoto
Nakataka kujua kwa ufupi ule dutheee lipo?
Kaseme kabla ya kujifungua Shoga alikuwa modo,so lilikuwepogo sasa hivi wote ni wanene, maana Mme ni mnene by nature, sasa hivi no balance equation😁😁😁😁
Yaan ni full vurugu hakuna wa kumgeuza kwingine,robo goliiii chariiiiiiiii😁 ila pesa zipo zinafunika hayo mengine.
Style ilobaki ni popo kakojolea mbingu. Tu.
Unachokitaka huwezi kukipata.
#Yajayo yanasikitisha.#
Binamu,love is more sexier when your partner can be a broke ass as hell kiasi mpk unaweza mnasa kibao ili umpe buku tano and he can also be a filthy rich kiasi anaweza akununue kwa kila dakika.Hahaa yaani average joe yeye"... holy Savior pia yeye ""??
Hii listi haijakamilika. Umiza kichwa zaidingooooja nikupangie list dogo!
-AVERAGE JOE,
-MANDINGO,
-WA SELFIE,
-WA SHEREHE ZA JUMUIYA YA MT. PETRO,
-WA IDEAS ZA BIASHARA NA THESIS WRITE UP
-WA KWENDA NAE BIRTHDAYS ZA MASHOSTI
-A HOLY SAVIOR(huhamishaga milima hawa hata uwe in which kind of shit atakuokoa tu na hali chochote)
aaahhahahaha sio mzima kabisa wewe!
Kuna movie moja hivi inaitwa The Judge, kuna sehemu manzi anamwambia mshikaji hivi" Dammit, Hank. I loved you then and I love you now. I do. I love how you are simultaneously the most selfish and the most generous person I know. I love how you hate a bully while being one."Binamu,love is more sexier when your partner can be a broke ass as hell kiasi mpk unaweza mnasa kibao ili umpe buku tano and he can also be a filthy rich kiasi anaweza akununue kwa kila dakika.
😀😀😀😀😀😀Ahaaaaaaa huu Uzi una zaidi ya ukweliiiii.
Shoga yangu mmoja alinambia exactly ulichosema.
Yeye Mme alipata na ndoa juu na kila kitu Mme anacho kasoro hivi.
1: mfupiiii,
2: sura kama wa yule waziri maana kamuharibia watoto
Nakataka kujua kwa ufupi ule dutheee lipo?
Kaseme kabla ya kujifungua Shoga alikuwa modo,so lilikuwepogo sasa hivi wote ni wanene, maana Mme ni mnene by nature, sasa hivi no balance equation😁😁😁😁
Yaan ni full vurugu hakuna wa kumgeuza kwingine,robo goliiii chariiiiiiiii😁 ila pesa zipo zinafunika hayo mengine.
Style ilobaki ni popo kakojolea mbingu. Tu.
Unachokitaka huwezi kukipata.
#Yajayo yanasikitisha.#
Ukisikia "wanaume tumeumbwa mateso" ndo hayo mateso yenyeweKukutongoza nikutongoze mimi,pesa nitoe mimi,hotel nilipe mimi halafu bado tu nikuridhishe khaa
Sio hao tuMwalimu umetisha mbaya! umetest wote hawa?
Vitambi tu vinasukumana.😀😀😀😀😀😀
Umenivunja mbavu kwamba hao watu sahivi ni "mission impossible"
Dah afu hapo baba apate katoto kembamba huko kanaride kama hakana akili nzuri.Vitambi tu vinasukumana.
OOOOOOOOOOOOh yes!!Kuna movie moja hivi inaitwa The Judge, kuna sehemu manzi anamwambia mshikaji hivi" Dammit, Hank. I loved you then and I love you now. I do. I love how you are simultaneously the most selfish and the most generous person I know. I love how you hate a bully while being one."
Yaani mapenzi huwa hayaeleweki.
Mzee wa principles of management" naona umejaribu kwenda kitaalamu zaid..... Abraham Maslow theory au siyo..... hierarchy of human needsHili lipo wazi
Hupati unachotaka ila unachostahili. unachostahili ni kipi?
Ok, Maslow katika theory yake anakuambia kwa kifupi matamanio/mahitaji ya binadamu yanakomea na kuanzia na anachopata.
Ukiwa huna kazi utatamani kuipata ukishaipata utaanza kuichambua unawaza kuwaza nzuri zaidi.
Matamanio ya binadamu hayana ukomo yanaanzia yalipoishia.

