Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,179
- 34,435
Ooooh yes.Nimependa line ya mwisho filtering is everything, u'll never find pure/perfect mate in life.
Penda unapoweza kuvumilia.
Ooooh yes.Nimependa line ya mwisho filtering is everything, u'll never find pure/perfect mate in life.
Penda unapoweza kuvumilia.
Nilipambana tu nikajimilikishaHahahaaaa!! Jibu mubashara kabisa.
Sasa ikabidi ukubaliane na ukweli au?
Nimerekebishasijakuelewa aunt ake hapa
Umenena vyema ndugu.Nimependa line ya mwisho filtering is everything, u'll never find pure/perfect mate in life.
Penda unapoweza kuvumilia.
Enzi zile za ujana wakati ndo nmekutana na bebe ambae ndo tupo tunazeeka wote, nilimuuliza huwezi kuwa mwanamke mmoja?akanijibu "siwezi, siwezi kuwa na mwanamke mmoja, nitakua na anaenichuna, anaenipenda, ninaempenda, atakaenifanya nilie, atakaenifanya nicheke nk vyote siwezi kupata kwa mwanamke mmoja" nlivokua nampenda (hatujaanza rasmi) nilihisi ganzi mwili ukapoa nashukuru konyagi iliniokoa katika ile hali ikapandisha joto
Hlikuwa hujui mkuu?. Kilasiku tunasema hawa viumbe hawaeleweki ishi nao kwa akili.Kumbe ma she ndo mlivo kumbe
Hapa kunaukweli . Na sijui kwann wengi inatonatokea hivWanaopenda kusali sana wanaolewa na walevi
Unakuwa umeiombea ndoa kwa kufunga na kusali. Akitokea anaekwambia huwa mimi nakunywa🍺 kidogo maana hakuna atakaesema mimi ni cha pombe. Unaamini atabadilika.Hapa kunaukweli . Na sijui kwann wengi inatonatokea hiv
hhaaaaaaaaaaaaaaaaaaahhhhhhhhhhhhhhhhh!dah wewe mtu wewe
Giza limeshaingia teh utapost keshoHuu uzi nimeupenda bure. Mtoa mada naomba ruhusa niupost tena...,![]()