Huwezi kupata kila unachotaka....

Huwezi kupata kila unachotaka....

Nimependa line ya mwisho filtering is everything, u'll never find pure/perfect mate in life.
Penda unapoweza kuvumilia.
Look beyond mambo madogo madogo and into the future. 1

Time is never on our side as women kuwajaribu wote hao.

Choose one ukijua kwamba hamna alie perfect katika hao. Choose one ambae moyo wako unajua kabisa unaweza kuishi nae mkawa na future na ukavumilia mapungufu yake. I would do this if it were me.

Pia kumbuka mtaka yote hukosa yote. Narrow down your needs and desires.
 
Choose one ukijua kwamba hamna alie perfect katika hao. Choose one ambae moyo wako unajua kabisa unaweza kuishi nae mkawa na future na ukavumilia mapungufu yake. I would do this if it were me.

Never.
 
Look beyond mambo madogo madogo and into the future. 1

Time is never on our side as women kuwajaribu wote hao.

Choose one ukijua kwamba hamna alie perfect katika hao. Choose one ambae moyo wako unajua kabisa unaweza kuishi nae mkawa na future na ukavumilia mapungufu yake. I would do this if it were me.

Pia kumbuka mtaka yote hukosa yote. Narrow down your needs and desires.
Hongera kwa tamko hili
 
Enzi zile za ujana wakati ndo nmekutana na bebe ambae ndo tupo tunazeeka wote, nilimuuliza huwezi kuwa mwanamke mmoja?akanijibu "siwezi, siwezi kuwa na mwanamke mmoja, nitakua na anaenichuna, anaenipenda, ninaempenda, atakaenifanya nilie, atakaenifanya nicheke nk vyote siwezi kupata kwa mwanamke mmoja" nlivokua nampenda (hatujaanza rasmi) nilihisi ganzi mwili ukapoa nashukuru konyagi iliniokoa katika ile hali ikapandisha joto
 
Enzi zile za ujana wakati ndo nmekutana na bebe ambae ndo tupo tunazeeka wote, nilimuuliza huwezi kuwa mwanamke mmoja?akanijibu "siwezi, siwezi kuwa na mwanamke mmoja, nitakua na anaenichuna, anaenipenda, ninaempenda, atakaenifanya nilie, atakaenifanya nicheke nk vyote siwezi kupata kwa mwanamke mmoja" nlivokua nampenda (hatujaanza rasmi) nilihisi ganzi mwili ukapoa nashukuru konyagi iliniokoa katika ile hali ikapandisha joto
Duuuh huyo jamaa kiboko ngoja nifaute nyayo zakeee
 
Enzi zile za ujana wakati ndo nmekutana na bebe ambae ndo tupo tunazeeka wote, nilimuuliza huwezi kuwa mwanamke mmoja?akanijibu "siwezi, siwezi kuwa na mwanamke mmoja, nitakua na anaenichuna, anaenipenda, ninaempenda, atakaenifanya nilie, atakaenifanya nicheke nk vyote siwezi kupata kwa mwanamke mmoja" nlivokua nampenda (hatujaanza rasmi) nilihisi ganzi mwili ukapoa nashukuru konyagi iliniokoa katika ile hali ikapandisha joto

Hahahaaaa!! Jibu mubashara kabisa.
Sasa ikabidi ukubaliane na ukweli au?
 
Back
Top Bottom