Kwasababu sisi tumeamua kuwa ombaomba daima milele amina. Hata professor wa physics anazungumza kama layman yani ni siasa kwa kwenda mbele.Nataka tujiulize, kwanini hakuna nchi hata moja ya Afrika Mashariki yenye ujuzi wa mambo hayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeanza kuisifu Marekani kwamba ni taifa kubwa duniani lakini umeshindwa kufahamu kwamba nguvu ya Nato inatokana na ukubwa wa nchi ya Marekani., Marekani imekuwa ndio nchi inawafadhali kwa kiwango kikubwa hizo nchi za umoja wa NATO ambao hakuna namna lazima waitike fadhila kwa Marekani.,Tunaambiwa kuwa Marekani ndio taifa lenye nguvu kabisa hapa duniani.
Lakini ukiangalia kwa undani utaona pengine ni wingi wa silaha tu lakini sio ujasiri.
Ukiangalia matendo ya Marakani dhidi ya Urusi ndio utajua kweli Marekani anaiogopa Urusi.
Mgogoro wa Urusi na Ukraine Marekani anaionya Urusi isijaribu kuivamia Ukraine kwa sababu mbili,
Moja anasema Urusi atalipa gharama kubwa,gharama zenyewe ni vikwazo.
Mbili anasema itatokea Vita kubwa lakini anaanza kuwaomba NATO wawe wamoja ili kumkabili Urusi peke yake.
Sasa najiuliza kwa Nini kama Marekani ni superpower awategemee NATO kumkabili Urusi peke yake?
Kwa Nini asiseme Urusi usivamie Ukraine nami ntapigana na wewe kupitia Ukraine?
Kwani bila NATO Marekani peke hawezi kumkabili Urusi?
Marekani pia aliwahi kuwaomba NATO wakamtoe Assad wa Syria NATO hawakutoa ushiriakiano,Urusi akasema Assad haondoki na Urusi akapeleka jeshi kumlinda Assad Marekani akaondoka Syria.
Urusi aliivamia Georgia na kajitwalia abkhazia na Osettia,akavamia Ukraine na kujitwalia Crimea.
Yote haya Marekani alitoa onyo Kali lakini ama aliomba ushiriki wa NATO ambao kwa kweli jamaa wale ama hawapendi kuingia mgogoro na Urusi ama hawapendi tabia za Marekani za kuichokoza Urusi.
Maana yangu ni kwamba Marekani hawezi kuikabili Urusi bila NATO na anachoweza kuikabili Urusi ni vikwazo tu.
Nani kakwambia? kwa Gadafi Marekani alipigana na karibu mataifa 10 ikiwemo hiyo UrusiUS pekeyake hawezi kitu angalia vita ya kuisambaratisha Afighanistan na Iraq aliomba msaada mataifa kibao lakn anaepigananae yupo alone. Hata kumpiga Gaddaf alikuwa yy na Ufaransa.
Kwasababu sisi tumeamua kuwa ombaomba daima milele amina. Hata professor wa physics anazungumza kama layman yani ni siasa kwa kwenda mbele.Nataka tujiulize, kwanini hakuna nchi hata moja ya Afrika Mashariki yenye ujuzi wa mambo hayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa anayefuatilia mzozo huo, na kwa matamshi ya Putin, unafahamu nini kinataka kutokea!!Kwani urusi wametangaza kuivamia Ukraine 😳😳😳😳😳?
Sawa nimekupata.Ok namaanisha Kijeshi Marekani anaiogopa Urusi,ndio maana Kila akitaka kuinya Urusi Kijeshi huanza kuwaambia NATO wawe wamoja dhidi ya hujuma zozote za Urusi za Kijeshi.
Marekani hawezi kuinya Urusi kuwa ataikabili peke yake,Bali lazima atake kuihusisha NATO yote.
Lakini kitu pekee ambacho Marekani anaweza kumshugulikia Urusi ni kumwekea vikwazo tu.
Nadhani nimeeleweka Mkuu wangu Franc the Great.
Marafiki hawaogopani. Marekani na Urusi ni marafiki na haitatokea wakapigana.Tunaambiwa kuwa Marekani ndio taifa lenye nguvu kabisa hapa duniani.
Lakini ukiangalia kwa undani utaona pengine ni wingi wa silaha tu lakini sio ujasiri.
Ukiangalia matendo ya Marakani dhidi ya Urusi ndio utajua kweli Marekani anaiogopa Urusi.
Mgogoro wa Urusi na Ukraine Marekani anaionya Urusi isijaribu kuivamia Ukraine kwa sababu mbili,
Moja anasema Urusi atalipa gharama kubwa,gharama zenyewe ni vikwazo.
Mbili anasema itatokea Vita kubwa lakini anaanza kuwaomba NATO wawe wamoja ili kumkabili Urusi peke yake.
Sasa najiuliza kwa Nini kama Marekani ni superpower awategemee NATO kumkabili Urusi peke yake?
Kwa Nini asiseme Urusi usivamie Ukraine nami ntapigana na wewe kupitia Ukraine?
Kwani bila NATO Marekani peke hawezi kumkabili Urusi?
Marekani pia aliwahi kuwaomba NATO wakamtoe Assad wa Syria NATO hawakutoa ushiriakiano,Urusi akasema Assad haondoki na Urusi akapeleka jeshi kumlinda Assad Marekani akaondoka Syria.
Urusi aliivamia Georgia na kajitwalia abkhazia na Osettia,akavamia Ukraine na kujitwalia Crimea.
Yote haya Marekani alitoa onyo Kali lakini ama aliomba ushiriki wa NATO ambao kwa kweli jamaa wale ama hawapendi kuingia mgogoro na Urusi ama hawapendi tabia za Marekani za kuichokoza Urusi.
Maana yangu ni kwamba Marekani hawezi kuikabili Urusi bila NATO na anachoweza kuikabili Urusi ni vikwazo tu.
Marekani ndio mchangiaji mkubwa wa bajeti NATO... isitoshe ana miliki jeshi kubwa zaidi na silaha nyingi za kisasa kuliko mwanachama yeyote wa NATO.Maana yangu ni kwamba Marekani hawezi kuikabili Urusi bila NATO na anachoweza kuikabili Urusi ni vikwazo tu.
usiseme awapige sema awapige tena maana kile kipigo alotoa kwa UKRAINE juu ya CRIMEA nadhani mpaka leo hii maumivu yake bado yapo sanaaaBila kushirikiana hakuna mafanikio .na kama kweli mrusi mbabe awapige ukraine .mjomba acha ushabiki wa simba na yanga . Liogope sana taifa la marekani kwenye kila Nyanja unayoijua wewe bila marekani hakuna Amani duniani ukubali ukatae ukweli ndio huo
tushawazoeeni kutafuta pajutokea US paper tigerMarekani sio wapuuzi kama unavyofikiri, wamwjipa muda wa kurekebisha uchumi ulioyumba kipindi cha Bush na Obama kidogo.
Mpango wao wa kuchagua wazee kwa vipindi 2 mfululizo ni mkakati wao kwani wazee hawana kazba.
Trumph hakupenda vita zaidi ya mikwara ndio maana alijishusha akaongea na Kiduku.
Biden ndio kabisaa hata kusikia vita, kwa ujumla Marekani imepoa.
Baada ya Biden rais ajaye atakuwa mtu wa makamo na hapo ndipo tutauona moto wake.
hilo jina baya mnalonyie tu ila karibu dunia nzima inaelewa kama nipropaganda zenu dhidi ya UCHINA kama unaamini anajina baya mbona bado anafanya vyema kweye uga wabiashara ulimwenguni ndani ya UCHINA na nje ya UCHINATatizo mchina tayari ana jina baya kuhusu bidhaa zake, hili ni tatizo kubwa hivyo hawazi kuwa mshindani hatari kwa Marekani.
hio lakini ndio hawezi angeweza usingeweka hio lakiniAnaweza kuikabili Urusi lakini gharama ya hayo makabiliano ni kubwa sana, Marekani imeshaingia gharama nyingi sana katika vita sehemu mbalimbaki duniani na isingependa kujiingiza katika vita zingine za aina hiyo na ndio maana anataka NATO itoe ushirikiano katika suala hilo la Ukraine kwani Ukraine ni mwanachama mtarajiwa wa NATO.
MKUU huu uzi kabisa ulitakiwa uutengee mjadala wake pembeni maana umejaa hojaIla dunia inaenda kasi sana ...Sio dunia ya miaka 90 na mwanzoni mwa miaka 2000...
Tunakoelekea inaonyesha ni ngumu sana kudhibiti ( Monopoly) technology kama zamani....Ona uwezo wa silaha wa Nchi zinazonyanyuka kama KOREA KZ,. IRAN, TURKEY, India nk....
Itafika mahali kumiliki silaha fulani haitoshi wewe kuweza kuishambulia tu nchi bila ya wewe kupata madhara..
Hata Russia anawaza mara 2 kuushambulia UKRAINE...
Issue sio tu kushinda bali damages baada ya vita....Hilo ndio maana US anahangaika na ': Nuclear deal"' na IRAN
Ndo maana Israel anaumiza kichwa kwa IRAN, vivyo hivyo IRAN kwa ISRAEL..
Korea kz ana test silaha kila siku watu wanaangalia tu.
Zile zama za WEST na US kutamba pekee zinayoyoma...Silaha pekee wanayotegemea ni UCHUMI,. kitu ambacho Mchina anakuja ku- ibalance dunia Ktk kutegemea West na US...
Nawaza miaka 30 ijayo Geo politic itakavyokuwa . Je US ataendelea kumudu kuilinda Taiwan, UKRAINE , Israel nk...au zitasimama zenyewe?...Je kwa utawandawazi ulivyo na usiri wa technology nchi ngapi zitainuka Ktk ujuzi wa vitu mbalimbali ikiwemo silaha..?
putin alitangaza lini kuivamia ukraineSijui nikuite Punguani au Layman?
Bila NATO Urusi ataifanya Nini Marekani?
NATO ina jumla ya Wanajeshi 450,000. Kati ya hao Wanajeshi wa Marekani ni 370,000. Nchi 29 zilizobaki Zina Wanajeshi 80,000 ndani ya NATO.
NATO ina Aircraft Carrier 27. Kati ya Hizo 22 ni za Marekani. Nchi 29 zilizobaki Zina Aircraft Carrier 7 tu.
NATO ina Combat Tanks 27,000. Kati ya Hizo, 19,000 ni za Marekani. Nchi 29 zilizobaki kwa pamoja Zina Combat Tanks 8,000.
Bajeti ya NATO kwa mwaka ni $ 1,019,000,000,000.($ 1.019T). Kati ya Hizo, $ 760,000,000,000 ni za kutoka Marekani. Nchi 29 zilizobaki zinachangia Nusu ya Marekani kwa pamoja $ 300,000,000,000.
NATO ina Jumla ya Nuclear Waepons 7,200. Kati ya hizo, 6,500 ni kutoka Marekani. Nchi zingine 29 kwa pamoja Zina Nuclear Waepons 700 tu.
NATO ina Jumla ya Fighter jets 3,500. Kati ya Hizo, 2,700 ni Kutoka Marekani. Nchi zingine 29 zinachangia Jumla ya Jets 800 tu.
Huwa mnaposema sijui eti Marekani bila NATO hawezi kupigana wakati mnajua kabisa Marekani ndio NATO kwenye Kila Kitu,bila Marekani hakuna NATO.
Lengo la Marekani kwenye NATO sio kutafuta Support ya nchi za Ulaya Kijeshi bali ni Hofu ya Marekani kwamba Urus atazimeza nchi za Ulaya Mashariki tangu USSR kusambaratika. Ndio maana kwenye huu mgogoro wa URUS na UKRAINE,Mataifa madogo ya Ulaya Mashariki Kama LATVIA,LITHUANIA,ROMANIA na ESTONIA ambao ni wanachama wa NATO wameiomba Marekani iongeze Wanajeshi wake kwenye Mataifa hayo na Siraha nzito ili kuyalinda dhidi ya Urusi.
Ndio Maana Marekani imeahidi kwamba endapo Urus itaivamia Ukraine kijeshi basi Marekani haitatuma Wanajeshi wake kwasababu Ukraine sio Memba wa NATO. Lakini ikaahidi Urus itajutia kitendo chake make Marekani itaongeza idadi ya vikosi vyake na Siraha nzito kwenye Mataifa ya Ulaya Mashariki ili kuyalinda dhidi ya uvamizi wa URUS. Ndio Maana mpaka Sasa Putin kagoma Kuvamia Ukraine.
UKRAINE kama atajiunga na NATO atakula kichapo na GERMAN hatajitoa katika ujenzi wa bomba la nord stream 2 sababu unafaida kwake kuliko UKRAINEKipindi LITHUANIA na ESTONIA wanajiunga na NATO mwaka 2004 URUS sio tu alitishia Bali alipeleka Makombora ya ISKANDER Beralus na Karzakhstan. Alitia Pessure kubwa Sana eti zisijuinge na NATO kwasababu ziko Mpakani na URUS lakini yako wapi mpaka Leo?
This time URUS hatavamia Ukraine direct,atatumia mbinu nyingine. Consequences ya Urusi Kuvamia ni kubwa sana. Ujeruman ilikataa kusitisha NORD STRING 2 Lakini imeapa kusitisha Ujenzi wa Bomba Hilo endapo Urus itaivamia Ukraine.
endelea kuwaza upupuSiku marekani ikiwa overthrown kama nchi superior duniani..jua usalama na amani ya dunia umeisha..
#MaendeleoHayanaChama
hio lakini ndio hawezi angeweza usingeweka hio lakini
Bado sana..sio leo au kesho marekani kupotea kwenye ramani ya dunia..nitaendelea kuamini hivi milele.endelea kuwaza upupu