Huwezi amini lakini ukweli bila NATO, Marekani anaiogopa Sana Urusi

Nchi maskini ndiyo zinaiwaza china kwenye usuperpower? Bloombergy imeitabili kufikia 2050, hope unaifahamu bloombergy, kuna analyst wengine wanaitabili kufikia 2030 itakuwa ndiyo nchi yenye ukwasi zaidi.
Huo mfumo wa uongozi unaoukandia, ndiyo umeitoa ilipo ambapo wanadai miaka ya 60 ilikuwa kundi na sisi leo ni ya pili kwa uchumi duniani. Sasa unasemaje ni mfumo mbovu mbovu?
State controlled economy imeifikisha hapo. Wakati covid imeathiri uchumi wa US, wa china umekua. Serikali inaweza kucontrol kila aspect ya maisha ya wananchi china.
Hii no advantage kwao katoka kuset ukuaji wao wa kiuchumi.
Narudia, siyo nchi maskini zinazosema china inakua kwa kasi, bali ni world bank, bloombergy and et el.
Ela anayomwaga mchina pale asia na africa siyo mchezo.
Ulisikia alichokifanya pale singapore?
Singapore atukusikia embu tujulishe mdau wetu
 
Putin kagoma kuvamia Ukraine?.

Urusi inatia presha Ukraine isijiunge na NATO na sio kwamba anavamia tu kama Mmasai anavyovamia mashamba ya wakulima.

Ngoja tuone ni nini kitatokea endepo Ukraine itajiunga na NATO.
Umenichekesha apa kwamba sio wanavamaia mashamba ya wakulima kule mvomero
 
Singapore atukusikia embu tujulishe mdau wetu
Singapore ilijenga natural man island pale, kwa ajili ya makazi na mahoteli. Mchina kakinunua hicho kisiwa chilote, siyo serikali bali raia wa china ndiyo walionunua karibu nyumba zote pale kisiwani. Ikaonekana kama vile ni china town in singapore maana sasa kola kitu pale kikawa china china. Wazawa wa singapore hawakuwa na uwezo wa kuafford kununua makazi mle. Mwisho ilibidi serikali ibandon hiyo project ya hicho kisiwa.
Huko Asia Mchina anawavuruga sana maana ana mapesa anayamwaga mwaga tu kila anakojisikia.
Personally mchina namuona ni worse sana kuliko wazungu japo wote wanyonyaji ila mchina ni mnyonyaji zaidi ya kupe. Sema it seems now ni unstoppable.
 
Russia ana uwezo wa kufanya lolote na akatimiza!

Ni taifa lenye nguvu kijeshi na silaha zenye ufanisi kuliko lolote duniani.
Sio kweli haya. Marekani mwenye technology ya kila kitu atingishwe na urusi
 
Singapore ilijenga natural man island pale, kwa ajili ya makazi na mahoteli. Mchina kakinunua hicho kisiwa chilote, siyo serikali bali raia wa china ndiyo walionunua karibu nyumba zote pale kisiwani. Ikaonekana kama vile ni china town in singapore maana sasa kola kitu pale kikawa china china. Wazawa wa singapore hawakuwa na uwezo wa kuafford kununua makazi mle. Mwisho ilibidi serikali ibandon hiyo project ya hicho kisiwa.
Huko Asia Mchina anawavuruga sana maana ana mapesa anayamwaga mwaga tu kila anakojisikia.
Personally mchina namuona ni worse sana kuliko wazungu japo wote wanyonyaji ila mchina ni mnyonyaji zaidi ya kupe. Sema it seems now ni unstoppable.
Alafu na ile ishu ya Nord String 2 ya Germany. Kuna watu mna madini umu hatari sana
 
Wadau kumbuka unapomsema USA ni kusema Israeli ,urusi alishaambiwa akijaribu kuivamia ukraine atapata madhara makubwa sana na kujutia, kashaambiwa diplomasia itumike kumaliza mgogoro huo ,yaani Israeli+uingereza+german+ufaransa+US A kiukweli amesisitiziwa ajaribu aone na wao wametega kujiona wapole ila wadau USA na washirika wake wameshajiandaa anasubiri tyu avamie,MUNGU mwenyewe hawezi ruhusu hii sayari ije kuongozwa na madikteta china na urusi,kushindwa kwa marekani na israeli ni kuifanya dunia iongozwe na madikteta urusi na china ,pata picha hii sayari ya dunia itakuaje,dunia lazima iongozwe kwa njia ya kidemokrasia sio kidikteta ili kila mtu afanye anachotaka pasipo kuingilia uhuru wa mtu.
 
Sio kweli haya. Marekani mwenye technology ya kila kitu atingishwe na urusi
Unaichuliaje Russia mkuu?
Tambua kwamba ni Russia pekee anayeweza kushambulia target iliyopo popote duniani kwa kutumia Intercontinental Ballistic Missiles ( ICBMs).

Ana nuclear power kuliko taifa lolote duniani ana vifaru imara na vingi kuliko taifa lolote.
 
Wewe sasa ndo zuzu kabisa, kuwa wa kwanza kuunda vitu haimanishi huwezi kupitwa, china ashaanza unda ndege za abiria ila mpaka upewe kibali cha kuanza kuziuza kwa ajili ya usafirishaji kuna mchakato unapita, na unachukua miaka.
Ndehe za kivita ndo sasa katoa generation ya ndege zake ambazo wanasema ni superior kuliko hata ndege za kirusi.
China ndiyo nchi pekee duniani inayomiliki space station.
Ukitoa Marekani, na Urusi, China ndiyo one man show aliyeshusha vifaa mars. Hizo nchi za ulaya wana agency ya anga moja wanashirikiana.
Space station nyingine wanashirikiana russia, US, na nchi za ulaya.
Kwa roho mbaya ya marekani akataka wasimpe ruhusa china kuitumia hiyo space station, mchina akaona isiwe tabu ngoja nitengeneze yangu, na anayo na anazidi kuitanua iwe the biggest station huko angani.
Steve jobs aliwahi kuulizwa kwanini wanapenda kufanyia production china, jibu lake lilikuwa china ndo nchi ambayo ukitaka skilled labor ya watu wanaojua kitu flani, watajaa stadium, wakati US hawajai hata meza.
Speed ya China ya mabadiliko katika muda mfupi inatisha ni mabadiliko ya muda mfupi sana.
China ndiye mwenye train zenye speed kuliko train ya nchi yoyote, nadhan unajua kuhusu maglev technology, train inayoelea kwenye reli na kukimbia speed ya bullet.
US sasa anaigopa china ndo maana anahangaika na vikwazo kuipunguza speed navyo vina matokeo ya muda mfupi.
Huawei baada ya kuwekewa vikwazo, soon wanataka kuanza kuzalisha vifaa wenyewe kwa ajili ya electronics.
Kuna kampuni inadeal na mambo ya quantum computing mwaka jana imepata breakthrough, US kwa uoga kuwa ikifanikiwa inaweza hack na kubreak security zake kaipga vikwazo wakati ana makampuni kibao yanafanya research ya quantum computing.
Bado silaha, kala mfuatiliaji mwishoni mwa mwaka jana katest kifaa kikaenda into space kikarudi kwa speed kali sana lakini bado kikawa maneuvered kutua. Wataalam wa US wakashangaa maana hawana kifaa kama hicho, kifaa chochote kikiwa kwenye high speed from space kwenye reentry huwezi kukimaneuver kwa technology walionayo, iliwashangaza mchina kufanya hivyo. Na walikuwa hawajui ni kifaa cha kubeba wanaanga au silaha.
Baadae wanakuja kugundua ni kwa ajili ya vyote, inaweza tumika kubeba silaha au ikatumika kama rocket ya kupeleka vtu space.
Mchina anatengeneza drones, tena advanced drones za ulinzi.
It is a matter of time wale jamaa ni unstoppable.
Nawaogopa sana maana wakishakaa pale top kabisa wakatulia hii dunia itapata shida sana maana ni wanyonyaji haswa.
Ni wanyonyaji kweli kweli kabisa
 
Mrussi mpk sas ameweka wanajeshi laki Moja mpka wa uraine na urusi pmj na vifaru vizito za kijeahi kana kwamba muda wowte atamvamia .naona Vita vikubwaa vinaenda kuibuka na ss watu wabadi tutateseka Sana Africa mnk tuko tuko tu ilimradi
Mkuu pale hakuna vita vya silaha bali kuna vita vya kisaikologia!
 
Nafahamu kuliko unavyofahamu.
Shida ya mchina anachanganya bidhaa hafifu na bora, angekuwa na std moja angetoboa.
Lakini kwa mseto huu kibiashara ni kifo.
Wee kiazi kweli dunia saivi unapata bidhaa yoyote sema ubora ndyo tofautii na yote ni katika kuliweka soko katika makundi mchina angefata jinsi biashara za ulaya na marekani zinavyokwenda kwenye uzalishaji asingekuwa apa alipo Africa na nchi nyingi za Asia zimepata inafuu WA bidhaa baada ya mchina kufanya uzalishaji wenye tija Kwa kila ngazi ya kiuchumi kama umeanza kutumia simu miaka ya 1999 Hadi 2000 naisi wajua gharama za simu, nguo viatu zilivyokuwa na sasa Hali ikoje
 
Wee kiazi kweli dunia saivi unapata bidhaa yoyote sema ubora ndyo tofautii na yote ni katika kuliweka soko katika makundi mchina angefata jinsi biashara za ulaya na marekani zinavyokwenda kwenye uzalishaji asingekuwa apa alipo Africa na nchi nyingi za Asia zimepata inafuu WA bidhaa baada ya mchina kufanya uzalishaji wenye tija Kwa kila ngazi ya kiuchumi kama umeanza kutumia simu miaka ya 1999 Hadi 2000 naisi wajua gharama za simu, nguo viatu zilivyokuwa na sasa Hali ikoje
Asante kiazi mwenzangu
 
Wee kiazi kweli dunia saivi unapata bidhaa yoyote sema ubora ndyo tofautii na yote ni katika kuliweka soko katika makundi mchina angefata jinsi biashara za ulaya na marekani zinavyokwenda kwenye uzalishaji asingekuwa apa alipo Africa na nchi nyingi za Asia zimepata inafuu WA bidhaa baada ya mchina kufanya uzalishaji wenye tija Kwa kila ngazi ya kiuchumi kama umeanza kutumia simu miaka ya 1999 Hadi 2000 naisi wajua gharama za simu, nguo viatu zilivyokuwa na sasa Hali ikoje
Unafuu usio na ubora ni ghali zaidi mtumishi
 
Alafu na ile ishu ya Nord String 2 ya Germany. Kuna watu mna madini umu hatari sana
Mkuu hii sijaijua ila serikali ya Ujerumani imeanza kuogopa kuhusu China kutumia pesa kwa kigezo cha uwekezaji kupitia makampuni ya kuchina na kuwekeza kwenye makampuni ya kijerumani.
Mfano, kampuni ya robotics ya Kuka ilinunuliwa na kampuni ya kichina mwaka 2016. Hii ni kampuni ambayo ina technolojia ya hali ya juu ya industrial robotics. Hofu ni kwamba baadae teknoloji wataihamishia China.
Pia kuna kampuni ya china ilikuwa inataka kununua 20% ya Grid operstor 50Hertz kabla ya serikali ya germany kuingilia kati.
Na hili mchina analifanya kila mahali huko ulaya ananunua makampuni au kuwekeza kwenye makampuni yenye teknoloji kubwa kisha anatransfer that technology to china.
Wajerumani wanadai muda mwingine ukiwapelekea specification wazalishe bidhaa huko china baada ya miaka kadhaa nao wanakuja na bidhaa yenye specificatiin kama zako tena wanazileta germany kushindana na wewe. 🤣🤣
 
Singapore ilijenga natural man island pale, kwa ajili ya makazi na mahoteli. Mchina kakinunua hicho kisiwa chilote, siyo serikali bali raia wa china ndiyo walionunua karibu nyumba zote pale kisiwani. Ikaonekana kama vile ni china town in singapore maana sasa kola kitu pale kikawa china china. Wazawa wa singapore hawakuwa na uwezo wa kuafford kununua makazi mle. Mwisho ilibidi serikali ibandon hiyo project ya hicho kisiwa.
Huko Asia Mchina anawavuruga sana maana ana mapesa anayamwaga mwaga tu kila anakojisikia.
Personally mchina namuona ni worse sana kuliko wazungu japo wote wanyonyaji ila mchina ni mnyonyaji zaidi ya kupe. Sema it seems now ni unstoppable.
Sasa mbona unarudi kulekule.... siku china ikiwa na kauli USA and Europe ni ndani ya dakika tu mwenye dunia yake anashuka kuchukua wateule
 
Back
Top Bottom