Huwezi amini lakini ukweli bila NATO, Marekani anaiogopa Sana Urusi

Unaongea wewe ila Russia this time anajua kifuatacho ndio maana amekana kutaka kuvamia Ukraine na NATO wameshatoa msimamo kuwa Russia akiingiza mavuzi Ukraine atajutia kwa madhara atakayo yapata kutokana na uvamizi huo.... NATO wameshaanza kujiandaa na battle urusi karudisha Battery anadai hana mpango wala fikra za kuvamia Ukraine
Mkuu umepotea sana kijiweni siku hizi.
Naomba kujua ule msimamo wa NATO wa kuiadhibu Russia ikiwa itaingia ukraine bado upo vile vile au wamelegeza.?
 
Kuangushwa kwa Soviet Union kulitokana na Mmarekani na wenzie.
Putin alikuwemo vikosini alishuhudia wakibondwabondwa vibaya mno.
Uchumi ukaanguka mpk leo wapo wapo tu.
Putin ana kisasi tu,sasa mtu anayetaka kupigana tu pasipo sababu za msingi si unampuuza.
Huyo ashachokoza nchi zote za Scandinavia kijeshi hawajamjibu.
Ni Germany tu hajagusa, anajua akiwasumbua tu siku ya pili watamkuta bafuni
 
Unaongea wewe ila Russia this time anajua kifuatacho ndio maana amekana kutaka kuvamia Ukraine na NATO wameshatoa msimamo kuwa Russia akiingiza mavuzi Ukraine atajutia kwa madhara atakayo yapata kutokana na uvamizi huo.... NATO wameshaanza kujiandaa na battle urusi karudisha Battery anadai hana mpango wala fikra za kuvamia Ukraine
Hii ndoto bado unaendelea kuota?
 
Back
Top Bottom