Huwezi amini lakini ukweli bila NATO, Marekani anaiogopa Sana Urusi

Ana jina baya wapi? Umesahau kuwa electronics za majumbani za US zilikuwa manifactured China, China ana labor power ambayo ni skilled ndo maana hata makampuni mengi ya marekani ya prefer production ifanyike china.
Leo, imetoka report ya kitengo cha upelelezi cha germany ikisema kuwa hakuna ushahidi wowote kuwa simu za xiomi zinadukua mawasiliano ya watu.
Marekani ana propaganda tu kaona mchina anataka mpiku kaanza propaganda za kumchafua, kwani yeye hadukui watu?
China apewe tu heshima yake kwa anayoyafanya, bado ataendelea kutesa na sio mbele ya Marekani bali duniani kote
 
Wewe sasa ndo zuzu kabisa, kuwa wa kwanza kuunda vitu haimanishi huwezi kupitwa, china ashaanza unda ndege za abiria ila mpaka upewe kibali cha kuanza kuziuza kwa ajili ya usafirishaji kuna mchakato unapita, na unachukua miaka.
Ndehe za kivita ndo sasa katoa generation ya ndege zake ambazo wanasema ni superior kuliko hata ndege za kirusi.
China ndiyo nchi pekee duniani inayomiliki space station.
Ukitoa Marekani, na Urusi, China ndiyo one man show aliyeshusha vifaa mars. Hizo nchi za ulaya wana agency ya anga moja wanashirikiana.
Space station nyingine wanashirikiana russia, US, na nchi za ulaya.
Kwa roho mbaya ya marekani akataka wasimpe ruhusa china kuitumia hiyo space station, mchina akaona isiwe tabu ngoja nitengeneze yangu, na anayo na anazidi kuitanua iwe the biggest station huko angani.
Steve jobs aliwahi kuulizwa kwanini wanapenda kufanyia production china, jibu lake lilikuwa china ndo nchi ambayo ukitaka skilled labor ya watu wanaojua kitu flani, watajaa stadium, wakati US hawajai hata meza.
Speed ya China ya mabadiliko katika muda mfupi inatisha ni mabadiliko ya muda mfupi sana.
China ndiye mwenye train zenye speed kuliko train ya nchi yoyote, nadhan unajua kuhusu maglev technology, train inayoelea kwenye reli na kukimbia speed ya bullet.
US sasa anaigopa china ndo maana anahangaika na vikwazo kuipunguza speed navyo vina matokeo ya muda mfupi.
Huawei baada ya kuwekewa vikwazo, soon wanataka kuanza kuzalisha vifaa wenyewe kwa ajili ya electronics.
Kuna kampuni inadeal na mambo ya quantum computing mwaka jana imepata breakthrough, US kwa uoga kuwa ikifanikiwa inaweza hack na kubreak security zake kaipga vikwazo wakati ana makampuni kibao yanafanya research ya quantum computing.
Bado silaha, kala mfuatiliaji mwishoni mwa mwaka jana katest kifaa kikaenda into space kikarudi kwa speed kali sana lakini bado kikawa maneuvered kutua. Wataalam wa US wakashangaa maana hawana kifaa kama hicho, kifaa chochote kikiwa kwenye high speed from space kwenye reentry huwezi kukimaneuver kwa technology walionayo, iliwashangaza mchina kufanya hivyo. Na walikuwa hawajui ni kifaa cha kubeba wanaanga au silaha.
Baadae wanakuja kugundua ni kwa ajili ya vyote, inaweza tumika kubeba silaha au ikatumika kama rocket ya kupeleka vtu space.
Mchina anatengeneza drones, tena advanced drones za ulinzi.
It is a matter of time wale jamaa ni unstoppable.
Nawaogopa sana maana wakishakaa pale top kabisa wakatulia hii dunia itapata shida sana maana ni wanyonyaji haswa.
Nakazia Hofu ya Mmarekani na dunia nzima ni China.
 
Naomba ufafanuzi wa Wachumi kuhusu hizi takwimu nilinganishe na ninachofikiria
Screenshot_20220123-080947.jpg
 
Ukitaka.kujua maana ya hiyo "lakini" basi Urusi iende kumega kipande cha ardhi huko Alaska kama jinsi ilivyoimega Crimea, hapo ndipo utajua America anaweza au hawezi.
unakutupuka RUSSIA anafanya jambo kwamaslahi yake sasa akaimege ALASKA wakati haina maslahi nae
naukitaka kujua US hawezi nae mwambie akamege kipande chochote kwenye ardhi ya RUSSIA uone kitakachomkutia
 
Kuna kipindi britain iliwahi kuwa workshop of the world, iko wapi sasa? Kuwa juu hakumaanishi utakaa daima. Japan, iliwahi kuwa ya pili kwa uchumi iko wapi sasa, uchumi wake umekuwa stagnant toka mwaka 1994 haikui.
Hivyo, siwezi kushangaa US kuja kupitwa na China, kwasababu China now ana export vitu vingi. Kila kampuni kubwa utakuta inazalisha bidhaa China, tena hizo kampuni za kimareknai kwasababu ana skilled labor.
Hizo ndege mnazosema, mchina ashaanza kuzalisha ndege za abiria, nyingine ziko.kwenye majaribio na nyingine soon ataanza kuzitumia kwenye soko lake la ndani. Za kivita ndo kabisa anazalisha ndege za kivita. Kwanza kuna ndege za jeshi alituuzia hapa kipindi cha kikwete.
Biashara ya ndege za kiraia zina propaganda sana, russia amekua akiunda ndege za abiria miaka na miaka, lakini siyo famous kama za wamarekani.
Unachotakiwa kujua ni kitu kimoja Tu....china aliupita uchumi WA japani baadaya kupata tsunami maana theruthi moja ya japani iliathirika vibaya lakini wajapani walikuwa ni WA pili Kwa uchumi duniani ni vile ni visiwa Tu he kama ingekuwa Bala kama china ?? Ndio ungejua ujui.....kama sio tsunami china asingeweza kupita uchumi WA japani na wachina washukuru mungu lile tsunami.....
 
Kwa komenti hi ndio umeniunga mkono kabisaaaa kwamba Israel,USA,Ukraine,German na France wanamsubiri Urusi ajaribu kuivamia Ukraine.aisee kumbe Urusi ni jeshi la nchi moja dhidi ya mataifa tajiri zaidi duniani.
Hata urusi anatafuta ushirika na Iran,Belarus,China nk. Vita isikieni tu,,hakuna anayetamani vita.

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Unachotakiwa kujua ni kitu kimoja Tu....china aliupita uchumi WA japani baadaya kupata tsunami maana theruthi moja ya japani iliathirika vibaya lakini wajapani walikuwa ni WA pili Kwa uchumi duniani ni vile ni visiwa Tu he kama ingekuwa Bala kama china ?? Ndio ungejua ujui.....kama sio tsunami china asingeweza kupita uchumi WA japani na wachina washukuru mungu lile tsunami.....
kila kitu kinatokea kwasababu kijana hata US bila world war two kutokea asingekuepo hapa alipo
mnaongea nn nyie vijana
 
Hata urusi anatafuta ushirika na Iran,Belarus,China nk. Vita isikieni tu,,hakuna anayetamani vita.

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
anaetamani vita ni US nawashenzi wenzie ndio maana wakapiga VIETNAM wakapiga SOMALIA wakapiga SUDAN wakapiga IRAQ wakapiga AFGHANISTAN wakpiga IRAQ wakapiga na wanapiga SYRIA nakwengineko
nandio hao wanaoendeleza mgogoro SUDAN na MALI
 
Wewe sasa ndo zuzu kabisa, kuwa wa kwanza kuunda vitu haimanishi huwezi kupitwa, china ashaanza unda ndege za abiria ila mpaka upewe kibali cha kuanza kuziuza kwa ajili ya usafirishaji kuna mchakato unapita, na unachukua miaka.
Ndehe za kivita ndo sasa katoa generation ya ndege zake ambazo wanasema ni superior kuliko hata ndege za kirusi.
China ndiyo nchi pekee duniani inayomiliki space station.
Ukitoa Marekani, na Urusi, China ndiyo one man show aliyeshusha vifaa mars. Hizo nchi za ulaya wana agency ya anga moja wanashirikiana.
Space station nyingine wanashirikiana russia, US, na nchi za ulaya.
Kwa roho mbaya ya marekani akataka wasimpe ruhusa china kuitumia hiyo space station, mchina akaona isiwe tabu ngoja nitengeneze yangu, na anayo na anazidi kuitanua iwe the biggest station huko angani.
Steve jobs aliwahi kuulizwa kwanini wanapenda kufanyia production china, jibu lake lilikuwa china ndo nchi ambayo ukitaka skilled labor ya watu wanaojua kitu flani, watajaa stadium, wakati US hawajai hata meza.
Speed ya China ya mabadiliko katika muda mfupi inatisha ni mabadiliko ya muda mfupi sana.
China ndiye mwenye train zenye speed kuliko train ya nchi yoyote, nadhan unajua kuhusu maglev technology, train inayoelea kwenye reli na kukimbia speed ya bullet.
US sasa anaigopa china ndo maana anahangaika na vikwazo kuipunguza speed navyo vina matokeo ya muda mfupi.
Huawei baada ya kuwekewa vikwazo, soon wanataka kuanza kuzalisha vifaa wenyewe kwa ajili ya electronics.
Kuna kampuni inadeal na mambo ya quantum computing mwaka jana imepata breakthrough, US kwa uoga kuwa ikifanikiwa inaweza hack na kubreak security zake kaipga vikwazo wakati ana makampuni kibao yanafanya research ya quantum computing.
Bado silaha, kala mfuatiliaji mwishoni mwa mwaka jana katest kifaa kikaenda into space kikarudi kwa speed kali sana lakini bado kikawa maneuvered kutua. Wataalam wa US wakashangaa maana hawana kifaa kama hicho, kifaa chochote kikiwa kwenye high speed from space kwenye reentry huwezi kukimaneuver kwa technology walionayo, iliwashangaza mchina kufanya hivyo. Na walikuwa hawajui ni kifaa cha kubeba wanaanga au silaha.
Baadae wanakuja kugundua ni kwa ajili ya vyote, inaweza tumika kubeba silaha au ikatumika kama rocket ya kupeleka vtu space.
Mchina anatengeneza drones, tena advanced drones za ulinzi.
It is a matter of time wale jamaa ni unstoppable.
Nawaogopa sana maana wakishakaa pale top kabisa wakatulia hii dunia itapata shida sana maana ni wanyonyaji haswa.
We jamaa umebwabwaja tu, China kwa America bado Sana, yaani ndo unasema China anaanza kutengeneza ndege miaka hii, kwanza China alitengeneza vindege vya propeller Xiang,, vimekosa soko kwa Africa wanavyo warundi tu, kwenye Mambo ya Space US Yuko far away Sana, kijeshi ATA nsiposema,
 
Unachotakiwa kujua ni kitu kimoja Tu....china aliupita uchumi WA japani baadaya kupata tsunami maana theruthi moja ya japani iliathirika vibaya lakini wajapani walikuwa ni WA pili Kwa uchumi duniani ni vile ni visiwa Tu he kama ingekuwa Bala kama china ?? Ndio ungejua ujui.....kama sio tsunami china asingeweza kupita uchumi WA japani na wachina washukuru mungu lile tsunami.....
Uchumi wa Japan umeànza kuwa stagnant toka mwaka 1994, na wala siyo Tsunami iliofanya mchina ampite Japan. Ni masuala ya kiuchumi ambayo naona uvivu wa kuanza kuyaandika hapa. And that is according to vyanzo vya kuaminika vinavyochambua uchumi wa mataifa.
 
We jamaa umebwabwaja tu, China kwa America bado Sana, yaani ndo unasema China anaanza kutengeneza ndege miaka hii, kwanza China alitengeneza vindege vya propeller Xiang,, vimekosa soko kwa Africa wanavyo warundi tu, kwenye Mambo ya Space US Yuko far away Sana, kijeshi ATA nsiposema,
We jamaa unajua unabishana ujinga, kwanza ngoja nikutaarifu kuwa space station anayoitumia mmarekani, ni ya Mrusi aliipandisha pale toka enzi ya Soviet Union, akaja kuliendeleeza mwaka 98. kwa hiyo Ulaya na Marekani baadae waliingia makubaliano ya kushirikiana kwenye space station. Kwahiyo kila mshirika pale kaunga capsules zake.
Mchina peke yake ndiye ametengeneza ya kwake. Kama hukujua basi nimekujulisha.
Pili, Mmarekani engine za rocket zake zilikuwa so inferior kwa engine za rocket za Mrusi, na zimesababisha vifo vingi compared na engine za rocket ya Mrussi.
Pia kutokana na running costs na ubovu wa engine ndiyo maana akaground space shuttle program. Akaanza kutegemea Wahindi, nchi za Ulaya na Urusi kupeleka vitu kama satelite na mahitaji ya space station mpaka alipokuja bwana Elon na Space X program yake kuokoa jahazi.
Sasa turudi kwa mchina, mchina katoka huko alikotoka kashusha chombo mwenzi ambacho kimeenda mbali kuliko chombo chochote kilipowahi kufika pale mwezini, mchina kashusha chombo pale Mars kama one man show. Na nikutaarifu kuwa agency ya mambo ya anga ya Ulaya, kwasasa inatumia chombo cha jina ambacho kimebaki juu kikiizunguka Mars kufanya mawasiliano na chombo chao kilicho kwenye ardhi ya Mars.
Kuhusu ndege, mchona anatengeneza ndege usidhani ndege za abiria unatengeneza nakuingiza tu sokoni kama baiskeli. Mbona Brazil, Canada, Urusi wanatengeneza ndege au wadhani wanaotengeneza ndege ni US tu?
Ndege za kivita mchina ameachia generation mpya ya ndege za kivita nimekwishakwambia hapo juu.
Yani hakuna kitu ambacho hatengenezi. My point is, mtu ambaye alikuwa huko mwisho mwisho, ndani ya miaka michache ameruka mpaka amekuja kupambana na mtu ambaye yuko 1, hakawii huyo wa 1 kumuangusha
 
unakutupuka RUSSIA anafanya jambo kwamaslahi yake sasa akaimege ALASKA wakati haina maslahi nae
naukitaka kujua US hawezi nae mwambie akamege kipande chochote kwenye ardhi ya RUSSIA uone kitakachomkutia


Wewe hujui historia, Alaska ilikuwa ni mali ya Russia hapo zamani na Russia ikaiuzia America kwa bei ya kitupa, hivi leo imegundulika huko Alaska kuna reserve kubwa sana ya mafuta, sasa Russia aanzishe chokochoko ya ku- re bagain ili aongezewe hela kulingana na thamani ya eneo hilo hivi sasa, aanzie hapo.
 
Wewe hujui historia, Alaska ilikuwa ni mali ya Russia hapo zamani na Russia ikaiuzia America kwa bei ya kitupa, hivi leo imegundulika huko Alaska kuna reserve kubwa sana ya mafuta, sasa Russia aanzishe chokochoko ya ku- re bagain ili aongezewe hela kulingana na thamani ya eneo hilo hivi sasa, aanzie hapo.
wewe unajua historia ila unakurupuka kwenye hoja zako sasa ushasema kama Alaska iliuzwa kwamba sasa rebagain hapo inahitajia nguvu au makubaliano CRIMEA iliuzwa lini na UKRAINE kuelekea RUSSIA yaani UKRAINE inaihitaji zaidi CRMEA kutoka RUSSIA sababu ilivamiwa kuliko RUSSIA inavyoihitajia ALASKA sababu wao waliiuza
unapoints sana ila unakurupuka kuuza ALASKA bwana RUSSIA wala hawakulazimishwa inasemekana hali ya KIUCHUMI ndio ilipelekea wakaiuza sasa CRIMEA iliuzwa nanani"
 
Tunaambiwa kuwa Marekani ndio taifa lenye nguvu kabisa hapa duniani.

Lakini ukiangalia kwa undani utaona pengine ni wingi wa silaha tu lakini sio ujasiri.

Ukiangalia matendo ya Marakani dhidi ya Urusi ndio utajua kweli Marekani anaiogopa Urusi.

Mgogoro wa Urusi na Ukraine Marekani anaionya Urusi isijaribu kuivamia Ukraine kwa sababu mbili,
Moja anasema Urusi atalipa gharama kubwa,gharama zenyewe ni vikwazo.

Mbili anasema itatokea Vita kubwa lakini anaanza kuwaomba NATO wawe wamoja ili kumkabili Urusi peke yake.

Sasa najiuliza kwa Nini kama Marekani ni superpower awategemee NATO kumkabili Urusi peke yake?

Kwa Nini asiseme Urusi usivamie Ukraine nami ntapigana na wewe kupitia Ukraine?

Kwani bila NATO Marekani peke hawezi kumkabili Urusi?

Marekani pia aliwahi kuwaomba NATO wakamtoe Assad wa Syria NATO hawakutoa ushiriakiano,Urusi akasema Assad haondoki na Urusi akapeleka jeshi kumlinda Assad Marekani akaondoka Syria.

Urusi aliivamia Georgia na kajitwalia abkhazia na Osettia,akavamia Ukraine na kujitwalia Crimea.

Yote haya Marekani alitoa onyo Kali lakini ama aliomba ushiriki wa NATO ambao kwa kweli jamaa wale ama hawapendi kuingia mgogoro na Urusi ama hawapendi tabia za Marekani za kuichokoza Urusi.

Maana yangu ni kwamba Marekani hawezi kuikabili Urusi bila NATO na anachoweza kuikabili Urusi ni vikwazo tu.
Nato ni familia ya Marekani., Marekani ndio anawalea na kuwapa huduma za chakula na kila kitu kwanini watoto wasiitike wito wa baba yao?
 
Nato ni familia ya Marekani., Marekani ndio anawalea na kuwapa huduma za chakula na kila kitu kwanini watoto wasiitike wito wa baba yao?
NATO ni US na US ndo NATO yenyewe. Bila NATO Urusi ingezimeza nchi zote za ulaya mashariki. Urusi bado inaamini kuwa ni mjimbo yake yaliyojitenga!

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Mimi siyo Mwislamu ni Mkatoliki ambaye kasahau mlango wa kanisa ulipo. Mimi arguement zangu uwa haziko based kwa misingi ya dini, bali ninasema kile ninachoona kama kilivyo.
Sina kumbukumbu kwenye ukoo wetu hata kama tuna Mwislamu.
Siichukii Europe lakini ndiyo ukweli China anakuja kwa kasi, hata ukifumba macho ukapingana ma hilo hakutabadili ukweli.
Labda uniambie uliponiquote kuna uongo wowote nilioandika.
✓Mimi nimefurahi apo ulippsema ni mkatoliki aliyesahau mlango wa kanisa ulipo
 
Back
Top Bottom