Mkutano mkubwa wa siri wa NATO unafanyika Poland bila ya uwepo wa Marekani

SNAP J

JF-Expert Member
Dec 26, 2013
7,079
7,976
Jijini Lublin nchini Poland kuna mkutano mzito unaoendelea wa nchi wanachama wa jumuiya ya NATO, lakini cha kushangaza Kiranja wao Marekani hajaalikwa katika mkutano huo.

Baadhi ya maswali ni mengi ninayojiuliza:

1. Thima kuu ya Mkutano huo ni nini hasa?
2. Ni kwa nini Marekani hajaalikwa?

3. Je, nchi za umoja wa Ulaya zinataka kujiondoa katika mzozo wa Ukraine na Urusi?

4. Au zinajadili hali mbaya ya kiuchumi katika ukanda huo?

5. Au zimechoshwa na tabia ya matonya zile ya kutembeza bakuli?

Nk.
Nk.
Nk.

Pichani: aviation satellite images zikionyesha anga la Poland na nchi jirani na ndege za matifa kadhaa ya Ulaya yaliyohudhuria mkutano huo.

IMG_20231003_152133.jpeg
IMG_20231003_152851.jpeg
IMG_20231003_152847.jpeg
IMG_20231003_152844.jpeg
 
Jijini Lublin nchini Poland kuna mkutano mzito unaoendelea wa nchi wanachama wa jumuiya ya NATO, lakini cha kushangaza Kiranja wao Marekani hajaalikwa katika mkutano huo.

Baadhi ya maswali ni mengi ninayojiuliza;
1. Thima kuu ya Mkutano huo ni nini hasa??
2. Ni kwa nini Marekani hajaalikwa?

3. Je, nchi za umoja wa Ulaya zinataka kujiondoa katika mzozo wa Ukraine na Urusi?

4. Au zinajadili hali mbaya ya kiuchumi katika ukanda huo?

5. Au zimechoshwa na tabia ya matonya Zele ya kutembeza bakuli?

Nk,
Nk,
Nk.

Pichani: aviation satellite images zikionyesha anga la Poland na nchi jirani na ndege za matifa kadhaa ya Ulaya yaliyohudhuria mkutano huo.
View attachment 2770434View attachment 2770435View attachment 2770436View attachment 2770437
Muda mwalimu mzuri sana
 
Jijini Lublin nchini Poland kuna mkutano mzito unaoendelea wa nchi wanachama wa jumuiya ya NATO, lakini cha kushangaza Kiranja wao Marekani hajaalikwa katika mkutano huo.

Baadhi ya maswali ni mengi ninayojiuliza;
1. Thima kuu ya Mkutano huo ni nini hasa??
2. Ni kwa nini Marekani hajaalikwa?

3. Je, nchi za umoja wa Ulaya zinataka kujiondoa katika mzozo wa Ukraine na Urusi?

4. Au zinajadili hali mbaya ya kiuchumi katika ukanda huo?

5. Au zimechoshwa na tabia ya matonya Zele ya kutembeza bakuli?

Nk,
Nk,
Nk.

Pichani: aviation satellite images zikionyesha anga la Poland na nchi jirani na ndege za matifa kadhaa ya Ulaya yaliyohudhuria mkutano huo.
View attachment 2770434View attachment 2770435View attachment 2770436View attachment 2770437
Yaani hadi wewe huku nyamongo umejua
 
Kuna yule jamaa wa Ufaransa Macron aliwasanua Kuwa saiv Bara ulaya linatakiwa Kuwa na Jeshi lake la kujitegemea kuliko kuwategemea Marekani,, kitendo Cha kusema hivyo Ufaransa Kapoteza Makoloni yake Africa Magharibi.

Kwaiy n mda Sasa Ulaya waamke waache kua vibaraka USA,, Mbona wenzao Kule Asia 🌏 China Korea Urusi siyo vibaraka wamejenga majeshi yao na uchumi wao wapo vizuri aiseee....
 
Jijini Lublin nchini Poland kuna mkutano mzito unaoendelea wa nchi wanachama wa jumuiya ya NATO, lakini cha kushangaza Kiranja wao Marekani hajaalikwa katika mkutano huo.

Baadhi ya maswali ni mengi ninayojiuliza;
1. Thima kuu ya Mkutano huo ni nini hasa??
2. Ni kwa nini Marekani hajaalikwa?

3. Je, nchi za umoja wa Ulaya zinataka kujiondoa katika mzozo wa Ukraine na Urusi?

4. Au zinajadili hali mbaya ya kiuchumi katika ukanda huo?

5. Au zimechoshwa na tabia ya matonya Zele ya kutembeza bakuli?

Nk,
Nk,
Nk.

Pichani: aviation satellite images zikionyesha anga la Poland na nchi jirani na ndege za matifa kadhaa ya Ulaya yaliyohudhuria mkutano huo.

Una uhakika huo ni mkutano wa NATO siyo wa EC? Au unacheza na ujinga wa Watanzania?
 
Jijini Lublin nchini Poland kuna mkutano mzito unaoendelea wa nchi wanachama wa jumuiya ya NATO, lakini cha kushangaza Kiranja wao Marekani hajaalikwa katika mkutano huo.

Baadhi ya maswali ni mengi ninayojiuliza;
1. Thima kuu ya Mkutano huo ni nini hasa??
2. Ni kwa nini Marekani hajaalikwa?

3. Je, nchi za umoja wa Ulaya zinataka kujiondoa katika mzozo wa Ukraine na Urusi?

4. Au zinajadili hali mbaya ya kiuchumi katika ukanda huo?

5. Au zimechoshwa na tabia ya matonya Zele ya kutembeza bakuli?

Nk,
Nk,
Nk.

Pichani: aviation satellite images zikionyesha anga la Poland na nchi jirani na ndege za matifa kadhaa ya Ulaya yaliyohudhuria mkutano huo.
View attachment 2770434View attachment 2770435View attachment 2770436View attachment 2770437
Yaani uliyeko kakonko una taarifa. Halafu USA asiwe na taarifa. Haya ni maajabu ya 8 ya Dunia aisee
 
Back
Top Bottom