Huwezi amini lakini ukweli bila NATO, Marekani anaiogopa Sana Urusi

Nataka tujiulize, kwanini hakuna nchi hata moja ya Afrika Mashariki yenye ujuzi wa mambo hayo

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwasababu sisi tumeamua kuwa ombaomba daima milele amina. Hata professor wa physics anazungumza kama layman yani ni siasa kwa kwenda mbele.
Hatujawekeza kwenye elimu na hatuna roadmap ya muda mrefu. China has a plan for africa but africa has no plan for itself 🤣🤣
 
Tunaambiwa kuwa Marekani ndio taifa lenye nguvu kabisa hapa duniani.

Lakini ukiangalia kwa undani utaona pengine ni wingi wa silaha tu lakini sio ujasiri.

Ukiangalia matendo ya Marakani dhidi ya Urusi ndio utajua kweli Marekani anaiogopa Urusi.

Mgogoro wa Urusi na Ukraine Marekani anaionya Urusi isijaribu kuivamia Ukraine kwa sababu mbili,
Moja anasema Urusi atalipa gharama kubwa,gharama zenyewe ni vikwazo.

Mbili anasema itatokea Vita kubwa lakini anaanza kuwaomba NATO wawe wamoja ili kumkabili Urusi peke yake.

Sasa najiuliza kwa Nini kama Marekani ni superpower awategemee NATO kumkabili Urusi peke yake?

Kwa Nini asiseme Urusi usivamie Ukraine nami ntapigana na wewe kupitia Ukraine?

Kwani bila NATO Marekani peke hawezi kumkabili Urusi?

Marekani pia aliwahi kuwaomba NATO wakamtoe Assad wa Syria NATO hawakutoa ushiriakiano,Urusi akasema Assad haondoki na Urusi akapeleka jeshi kumlinda Assad Marekani akaondoka Syria.

Urusi aliivamia Georgia na kajitwalia abkhazia na Osettia,akavamia Ukraine na kujitwalia Crimea.

Yote haya Marekani alitoa onyo Kali lakini ama aliomba ushiriki wa NATO ambao kwa kweli jamaa wale ama hawapendi kuingia mgogoro na Urusi ama hawapendi tabia za Marekani za kuichokoza Urusi.

Maana yangu ni kwamba Marekani hawezi kuikabili Urusi bila NATO na anachoweza kuikabili Urusi ni vikwazo tu.
Umeanza kuisifu Marekani kwamba ni taifa kubwa duniani lakini umeshindwa kufahamu kwamba nguvu ya Nato inatokana na ukubwa wa nchi ya Marekani., Marekani imekuwa ndio nchi inawafadhali kwa kiwango kikubwa hizo nchi za umoja wa NATO ambao hakuna namna lazima waitike fadhila kwa Marekani.,
 
US pekeyake hawezi kitu angalia vita ya kuisambaratisha Afighanistan na Iraq aliomba msaada mataifa kibao lakn anaepigananae yupo alone. Hata kumpiga Gaddaf alikuwa yy na Ufaransa.
Nani kakwambia? kwa Gadafi Marekani alipigana na karibu mataifa 10 ikiwemo hiyo Urusi
 
Nataka tujiulize, kwanini hakuna nchi hata moja ya Afrika Mashariki yenye ujuzi wa mambo hayo

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwasababu sisi tumeamua kuwa ombaomba daima milele amina. Hata professor wa physics anazungumza kama layman yani ni siasa kwa kwenda mbele.
Hatujawekeza kwenye elimu na hatuna roadmap ya muda mrefu. China has a plan for africa but africa has no plan for itself 🤣🤣
 
Ok namaanisha Kijeshi Marekani anaiogopa Urusi,ndio maana Kila akitaka kuinya Urusi Kijeshi huanza kuwaambia NATO wawe wamoja dhidi ya hujuma zozote za Urusi za Kijeshi.
Marekani hawezi kuinya Urusi kuwa ataikabili peke yake,Bali lazima atake kuihusisha NATO yote.
Lakini kitu pekee ambacho Marekani anaweza kumshugulikia Urusi ni kumwekea vikwazo tu.
Nadhani nimeeleweka Mkuu wangu Franc the Great.
Sawa nimekupata.

Nilisema awali kwamba, suala la Marekani kuitaka NATO kuwa wamoja dhidi ya Urusi haina tafsiri kwamba Marekani haiwezi kuikabili Urusi ikiwa peke yake. Hili suala limejikita zaidi katika siasa za kijiografia kuliko nguvu za kijeshi.

Marekani imekuwa ikiitumia NATO katika migogoro mbalimbali ili kujiongezea ushawishi (sphere of influence) kupitia mataifa mengine mbalimbali kutokana na kuzishawishi nchi hizo kujiunga na NATO. Hilo halina maana ya kwamba Marekani yenyewe haiwezi kabisa kushughulika na nchi zenye uhasama nayo.
 
Tunaambiwa kuwa Marekani ndio taifa lenye nguvu kabisa hapa duniani.

Lakini ukiangalia kwa undani utaona pengine ni wingi wa silaha tu lakini sio ujasiri.

Ukiangalia matendo ya Marakani dhidi ya Urusi ndio utajua kweli Marekani anaiogopa Urusi.

Mgogoro wa Urusi na Ukraine Marekani anaionya Urusi isijaribu kuivamia Ukraine kwa sababu mbili,
Moja anasema Urusi atalipa gharama kubwa,gharama zenyewe ni vikwazo.

Mbili anasema itatokea Vita kubwa lakini anaanza kuwaomba NATO wawe wamoja ili kumkabili Urusi peke yake.

Sasa najiuliza kwa Nini kama Marekani ni superpower awategemee NATO kumkabili Urusi peke yake?

Kwa Nini asiseme Urusi usivamie Ukraine nami ntapigana na wewe kupitia Ukraine?

Kwani bila NATO Marekani peke hawezi kumkabili Urusi?

Marekani pia aliwahi kuwaomba NATO wakamtoe Assad wa Syria NATO hawakutoa ushiriakiano,Urusi akasema Assad haondoki na Urusi akapeleka jeshi kumlinda Assad Marekani akaondoka Syria.

Urusi aliivamia Georgia na kajitwalia abkhazia na Osettia,akavamia Ukraine na kujitwalia Crimea.

Yote haya Marekani alitoa onyo Kali lakini ama aliomba ushiriki wa NATO ambao kwa kweli jamaa wale ama hawapendi kuingia mgogoro na Urusi ama hawapendi tabia za Marekani za kuichokoza Urusi.

Maana yangu ni kwamba Marekani hawezi kuikabili Urusi bila NATO na anachoweza kuikabili Urusi ni vikwazo tu.
Marafiki hawaogopani. Marekani na Urusi ni marafiki na haitatokea wakapigana.
 
Maana yangu ni kwamba Marekani hawezi kuikabili Urusi bila NATO na anachoweza kuikabili Urusi ni vikwazo tu.
Marekani ndio mchangiaji mkubwa wa bajeti NATO... isitoshe ana miliki jeshi kubwa zaidi na silaha nyingi za kisasa kuliko mwanachama yeyote wa NATO.

Mkataba wa NATO unahimiza ushirikiano wa pamoja katika kuikabili Urusi hivyo si takwa la Marekani pekee........

isitoshe njia pekee ya kuiadhibu Urusi ni vikwazo vikali vya kiuchumi vitakavyolenga sekta zake muhimu hasa gesi, mafuta na sekta ya fedha (mabenki, biashara, mitaji,mikopo).
 
Bila kushirikiana hakuna mafanikio .na kama kweli mrusi mbabe awapige ukraine .mjomba acha ushabiki wa simba na yanga . Liogope sana taifa la marekani kwenye kila Nyanja unayoijua wewe bila marekani hakuna Amani duniani ukubali ukatae ukweli ndio huo
usiseme awapige sema awapige tena maana kile kipigo alotoa kwa UKRAINE juu ya CRIMEA nadhani mpaka leo hii maumivu yake bado yapo sanaaa
 
Marekani sio wapuuzi kama unavyofikiri, wamwjipa muda wa kurekebisha uchumi ulioyumba kipindi cha Bush na Obama kidogo.
Mpango wao wa kuchagua wazee kwa vipindi 2 mfululizo ni mkakati wao kwani wazee hawana kazba.
Trumph hakupenda vita zaidi ya mikwara ndio maana alijishusha akaongea na Kiduku.
Biden ndio kabisaa hata kusikia vita, kwa ujumla Marekani imepoa.
Baada ya Biden rais ajaye atakuwa mtu wa makamo na hapo ndipo tutauona moto wake.
tushawazoeeni kutafuta pajutokea US paper tiger
 
Tatizo mchina tayari ana jina baya kuhusu bidhaa zake, hili ni tatizo kubwa hivyo hawazi kuwa mshindani hatari kwa Marekani.
hilo jina baya mnalonyie tu ila karibu dunia nzima inaelewa kama nipropaganda zenu dhidi ya UCHINA kama unaamini anajina baya mbona bado anafanya vyema kweye uga wabiashara ulimwenguni ndani ya UCHINA na nje ya UCHINA
 
Anaweza kuikabili Urusi lakini gharama ya hayo makabiliano ni kubwa sana, Marekani imeshaingia gharama nyingi sana katika vita sehemu mbalimbaki duniani na isingependa kujiingiza katika vita zingine za aina hiyo na ndio maana anataka NATO itoe ushirikiano katika suala hilo la Ukraine kwani Ukraine ni mwanachama mtarajiwa wa NATO.
hio lakini ndio hawezi angeweza usingeweka hio lakini
 
Ila dunia inaenda kasi sana ...Sio dunia ya miaka 90 na mwanzoni mwa miaka 2000...
Tunakoelekea inaonyesha ni ngumu sana kudhibiti ( Monopoly) technology kama zamani....Ona uwezo wa silaha wa Nchi zinazonyanyuka kama KOREA KZ,. IRAN, TURKEY, India nk....
Itafika mahali kumiliki silaha fulani haitoshi wewe kuweza kuishambulia tu nchi bila ya wewe kupata madhara..
Hata Russia anawaza mara 2 kuushambulia UKRAINE...
Issue sio tu kushinda bali damages baada ya vita....Hilo ndio maana US anahangaika na ': Nuclear deal"' na IRAN
Ndo maana Israel anaumiza kichwa kwa IRAN, vivyo hivyo IRAN kwa ISRAEL..
Korea kz ana test silaha kila siku watu wanaangalia tu.
Zile zama za WEST na US kutamba pekee zinayoyoma...Silaha pekee wanayotegemea ni UCHUMI,. kitu ambacho Mchina anakuja ku- ibalance dunia Ktk kutegemea West na US...
Nawaza miaka 30 ijayo Geo politic itakavyokuwa . Je US ataendelea kumudu kuilinda Taiwan, UKRAINE , Israel nk...au zitasimama zenyewe?...Je kwa utawandawazi ulivyo na usiri wa technology nchi ngapi zitainuka Ktk ujuzi wa vitu mbalimbali ikiwemo silaha..?
MKUU huu uzi kabisa ulitakiwa uutengee mjadala wake pembeni maana umejaa hoja
 
Sijui nikuite Punguani au Layman?

Bila NATO Urusi ataifanya Nini Marekani?

NATO ina jumla ya Wanajeshi 450,000. Kati ya hao Wanajeshi wa Marekani ni 370,000. Nchi 29 zilizobaki Zina Wanajeshi 80,000 ndani ya NATO.

NATO ina Aircraft Carrier 27. Kati ya Hizo 22 ni za Marekani. Nchi 29 zilizobaki Zina Aircraft Carrier 7 tu.

NATO ina Combat Tanks 27,000. Kati ya Hizo, 19,000 ni za Marekani. Nchi 29 zilizobaki kwa pamoja Zina Combat Tanks 8,000.

Bajeti ya NATO kwa mwaka ni $ 1,019,000,000,000.($ 1.019T). Kati ya Hizo, $ 760,000,000,000 ni za kutoka Marekani. Nchi 29 zilizobaki zinachangia Nusu ya Marekani kwa pamoja $ 300,000,000,000.

NATO ina Jumla ya Nuclear Waepons 7,200. Kati ya hizo, 6,500 ni kutoka Marekani. Nchi zingine 29 kwa pamoja Zina Nuclear Waepons 700 tu.

NATO ina Jumla ya Fighter jets 3,500. Kati ya Hizo, 2,700 ni Kutoka Marekani. Nchi zingine 29 zinachangia Jumla ya Jets 800 tu.

Huwa mnaposema sijui eti Marekani bila NATO hawezi kupigana wakati mnajua kabisa Marekani ndio NATO kwenye Kila Kitu,bila Marekani hakuna NATO.

Lengo la Marekani kwenye NATO sio kutafuta Support ya nchi za Ulaya Kijeshi bali ni Hofu ya Marekani kwamba Urus atazimeza nchi za Ulaya Mashariki tangu USSR kusambaratika. Ndio maana kwenye huu mgogoro wa URUS na UKRAINE,Mataifa madogo ya Ulaya Mashariki Kama LATVIA,LITHUANIA,ROMANIA na ESTONIA ambao ni wanachama wa NATO wameiomba Marekani iongeze Wanajeshi wake kwenye Mataifa hayo na Siraha nzito ili kuyalinda dhidi ya Urusi.

Ndio Maana Marekani imeahidi kwamba endapo Urus itaivamia Ukraine kijeshi basi Marekani haitatuma Wanajeshi wake kwasababu Ukraine sio Memba wa NATO. Lakini ikaahidi Urus itajutia kitendo chake make Marekani itaongeza idadi ya vikosi vyake na Siraha nzito kwenye Mataifa ya Ulaya Mashariki ili kuyalinda dhidi ya uvamizi wa URUS. Ndio Maana mpaka Sasa Putin kagoma Kuvamia Ukraine.
putin alitangaza lini kuivamia ukraine
 
Kipindi LITHUANIA na ESTONIA wanajiunga na NATO mwaka 2004 URUS sio tu alitishia Bali alipeleka Makombora ya ISKANDER Beralus na Karzakhstan. Alitia Pessure kubwa Sana eti zisijuinge na NATO kwasababu ziko Mpakani na URUS lakini yako wapi mpaka Leo?

This time URUS hatavamia Ukraine direct,atatumia mbinu nyingine. Consequences ya Urusi Kuvamia ni kubwa sana. Ujeruman ilikataa kusitisha NORD STRING 2 Lakini imeapa kusitisha Ujenzi wa Bomba Hilo endapo Urus itaivamia Ukraine.
UKRAINE kama atajiunga na NATO atakula kichapo na GERMAN hatajitoa katika ujenzi wa bomba la nord stream 2 sababu unafaida kwake kuliko UKRAINE
 
hio lakini ndio hawezi angeweza usingeweka hio lakini


Ukitaka.kujua maana ya hiyo "lakini" basi Urusi iende kumega kipande cha ardhi huko Alaska kama jinsi ilivyoimega Crimea, hapo ndipo utajua America anaweza au hawezi.
 
42 Reactions
Reply
Back
Top Bottom