LiFe 2-point-0
JF-Expert Member
- Mar 22, 2024
- 4,253
- 11,624
Angetuma hiyoBuku na miambili pamoja na makato yote
Angetuma hiyoBuku na miambili pamoja na makato yote
Sema mm huwa simuamini mwanaume mbele ya mwanamke, utakuta mkuu katuma halafu huku kaja kufungua uzi wa kutupelemba tu really stingy men ni wachache sanaAngetuma hiyo
AhahahahahahahahahSema mm huwa simuamini mwanaume mbele ya mwanamke, utakuta mkuu katuma halafu huku kaja kufungua uzi wa kutupelemba tu really stingy men ni wachache sana
Haaaa. Sipendi tu Ku Screen shoot Sms ila kiuhalisia Kuna Baadhi ya mambo Hawa watu wa Jinsia ya kike mast uwe na akili ya Ajabu, mtu alishawai kataa kula ugari ilihali ndani Kuna Kila Kitu mpaka nika waza Mimi nimetoka kijijini ambako chakula ni shida. Maisha magumu yaani mtu haulingi Wala kuchagua chakula Mimi Binafsi huwa nashaangaa na kutumia akili, Binafsi Mimi nimebahatika kuzaliwa kidogo kwenye familia yenye uhafadhali why mtu awe hiv Maisha kama mnakomoanaSema mm huwa simuamini mwanaume mbele ya mwanamke, utakuta mkuu katuma halafu huku kaja kufungua uzi wa kutupelemba tu really stingy men ni wachache sana
Serious wanateseka mnoo walahiWanawake zenu wanapitia magumu, mi nawashauri watafute pesa zao hata kama ndogo ndogo .
Siku nyingine ufanye tu kumpa usisubiri hadi akwambieLeo akasilike tu, atume miter namba nimnunulie umeme.
😂😂 Sasa si mfanye hivyo au ndio umeme wa mashartiWewe Inafaa Tena mara 1000
Kuwa shujaa mbele ya uchi ngumu sanaAhahahahahahahahah
Wewe sasa ndio umeongea mkuu.
Tatizo tukiwa kwenye mikutano ya chama tunaonekana wamoja ila tukitoka hapo tunasaliti agenda 😂😂
Khee😊 kama umeme unakia hivyo je Ki IST si ungetoa mlioHaaaaa Hapo kwenye mashart Kila mtu akale anakopeleka Unga/Mboga, na wewe kale unakotoa k au kale unakoipelekaga hiyo(K)