Hahaha, wajinga kweliHuu ndio mchezo upo kwenye trend ukimshtukia ana kublock kuna mmoja ameniomba 15k nimemwambia tuonane nimpe nimekula kufuli
We unaona kawaida hiyokama huna mwambie tu sina
kama unayo mpe
mtu anakuomba anamuita mwizi
...Jana nilikuwa nafuturu sehemu, nikaona wadada wakalii mtu anaagiza maharage ya futari na kikombe chai, baadae nikawa na chart na wale vijana wanatoa huduma ya msosi pale why wanaofuturu wengi ni wadada? Akanambia hao ndo wanapata mlo wa usiku hapo, hali ngumu.2.5 K (njaa kali)
Hilo dume mkuu. Anatuma Meseji kwa watu kama 100 hivi
Mweh...Jana nilikuwa nafuturu sehemu, nikaona wadada wakalii mtu anaagiza maharage ya futari na kikombe chai, baadae nikawa na chart na wale vijana wanatoa huduma ya msosi pale why wanaofuturu wengi ni wadada? Akanambia hao ndo wanapata mlo wa usiku hapo, hali ngumu.
Nimelishtukia mkuuHilo dume mkuu. Anatuma Meseji kwa watu kama 100 hivi
hongera mkuu...Nimezama kwenye page yake nilicho gundua huyo binti ni mpigaji tu kaokota vipicha vya kuzuzua watu.
Unaweza kuta sio binti ni mbaba tu kajiongeza hali ngumu Magufur kabana kila konaNimezama kwenye page yake nilicho gundua huyo binti ni mpigaji tu kaokota vipicha vya kuzuzua watu.
Unaweza kuta sio binti ni mbaba tu kajiongeza hali ngumu Magufur kabana kila kona