Uchaguzi 2020 Huu utaratibu wa Halima Mdee na Lema kutumia sauti zilizorekodiwa za Rais Magufuli na Askofu Gwajima haukubaliki

Wana CCM wengi tunaunga mkono Halima kutumia mbinu zozote zile , kuhakikisha yuke fedhuli, nduli, Gamba la Kidini linaangukia pua. Laana ya kumleta huyu Gwajima Mzinifu itampata Magufuli, na mojawapo za laana hizo ni taabu anazotupa Tundu Lissu na Zitto Kabwe kwenye campaign hizi. Mtu yoyote anayemuunga mkono Gwajima alaaniwe.

Kuhusu lema , huyu lema ni chokora ila CCM kila siku kinakosea sana Arusha, wapiga kura wengi wa Arusha ni wachaga maisha yao hawampigii kura mtu asiye mchaga, wao Arusha wanekujabna wameitaifisha, na mjini wako kwa wingi na katika kila sector, hawatamchagua mzaramo aliyeowa mchaga, mwanamke wa kichaga kuolewa nje ya kabila ni kuleta maendeleo nyimbani na sio kwa mume.
Aiseee, Mkuu umechafukwa sana
 
Ningekuona kuwa una 'Akili' zilizokutosha kama ungeanza 'Kuwakosoa' hao akina Rais JPM na Askofu Gwajima waache kuwa na 'Kauli' za Kifedhuli.
Ache kutetea mambo ambayo hayakubaliki kijamii na kisheria ili kuhalalisha matakwa ya masikio yenu. Imagine kama kila chama na mgombea akitumia njia hii nchi hii itakalika?
 
Lema katika kampeni zake amerekodi sauti ya Rais Magufuli wakati anamtumbua Mrisho Gambo na anawasikilizisha wananchi huku akiwashawishi kuwa Gambo hafai kuwa Mbunge.

Halima Mdee naye kwenye gari lake la matangazo ya kampeni anarusha sauti ya askofu Gwajima akiponda vyeo vya uwaziri na ubunge na kutishia kuhujumu madrasa.

Binafsi nauchukulia utaratibu huu kama siyo wa halali na ninaiomba NEC na msajili wa vyama kufuatilia na kuchukua hatua.

Maendeleo hayana vyama!
Haukubaliki vipi?

Lazima tuwakumbushe wananchi juu ya kauli mbovu na kihuni
 
Ache kutetea mambo ambayo hayakubaliki kijamii na kisheria ili kuhalalisha matakwa ya masikio yenu. Imagine kama kila chama na mgombea akitumia njia hii nchi hii itakalika?
Kwani kuna mtu kakatazwa kutumia?na nyie tumieni
 
Lema katika kampeni zake amerekodi sauti ya Rais Magufuli wakati anamtumbua Mrisho Gambo na anawasikilizisha wananchi huku akiwashawishi kuwa Gambo hafai kuwa Mbunge.

Halima Mdee naye kwenye gari lake la matangazo ya kampeni anarusha sauti ya askofu Gwajima akiponda vyeo vya uwaziri na ubunge na kutishia kuhujumu madrasa.

Binafsi nauchukulia utaratibu huu kama siyo wa halali na ninaiomba NEC na msajili wa vyama kufuatilia na kuchukua hatua.

Maendeleo hayana vyama!

Wewe kweli una wazimu unatakiwa u-report Mirembe!!!
Hakuna kosa lolote hapo zaidl ya kutapatapa kamfa maji! Maadamu hayo maneno yalitamkwa na Magufuli na Gwajima ni sahihi kabisa kutumia nukuuu zao...!
 
Lema katika kampeni zake amerekodi sauti ya Rais Magufuli wakati anamtumbua Mrisho Gambo na anawasikilizisha wananchi huku akiwashawishi kuwa Gambo hafai kuwa Mbunge.

Halima Mdee naye kwenye gari lake la matangazo ya kampeni anarusha sauti ya askofu Gwajima akiponda vyeo vya uwaziri na ubunge na kutishia kuhujumu madrasa.

Binafsi nauchukulia utaratibu huu kama siyo wa halali na ninaiomba NEC na msajili wa vyama kufuatilia na kuchukua hatua.

Maendeleo hayana vyama!

Hawavunji sheria za nchi,kama audio au video hizo ni za wahusika kweli,na kwamba zilitolewa in public,wacha wazitumie tu.
Usiumize sana kichwa,au wewe ni Gwajima??au ni Gambo??
 
Lema katika kampeni zake amerekodi sauti ya Rais Magufuli wakati anamtumbua Mrisho Gambo na anawasikilizisha wananchi huku akiwashawishi kuwa Gambo hafai kuwa Mbunge.

Halima Mdee naye kwenye gari lake la matangazo ya kampeni anarusha sauti ya askofu Gwajima akiponda vyeo vya uwaziri na ubunge na kutishia kuhujumu madrasa.

Binafsi nauchukulia utaratibu huu kama siyo wa halali na ninaiomba NEC na msajili wa vyama kufuatilia na kuchukua hatua.

Maendeleo hayana vyama!
Bwasheee kunywa beer utulie
 
Lema katika kampeni zake amerekodi sauti ya Rais Magufuli wakati anamtumbua Mrisho Gambo na anawasikilizisha wananchi huku akiwashawishi kuwa Gambo hafai kuwa Mbunge.

Halima Mdee naye kwenye gari lake la matangazo ya kampeni anarusha sauti ya askofu Gwajima akiponda vyeo vya uwaziri na ubunge na kutishia kuhujumu madrasa.

Binafsi nauchukulia utaratibu huu kama siyo wa halali na ninaiomba NEC na msajili wa vyama kufuatilia na kuchukua hatua.

Maendeleo hayana vyama!
Mbona maneno yao wenyewe yakukere. Una shida gani? Itakuongezea nini kwenye kukosa ajira? Acha ujinga
 
Lema katika kampeni zake amerekodi sauti ya Rais Magufuli wakati anamtumbua Mrisho Gambo na anawasikilizisha wananchi huku akiwashawishi kuwa Gambo hafai kuwa Mbunge.

Halima Mdee naye kwenye gari lake la matangazo ya kampeni anarusha sauti ya askofu Gwajima akiponda vyeo vya uwaziri na ubunge na kutishia kuhujumu madrasa.

Binafsi nauchukulia utaratibu huu kama siyo wa halali na ninaiomba NEC na msajili wa vyama kufuatilia na kuchukua hatua.

Maendeleo hayana vyama!
Hizo sauti ni feki au halisi?
Tuanzie hapo kwanza.
 
Back
Top Bottom