Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,839
- 38,732
AiseeeNa Badoo Wiki ya Mwisho wa Kampeni tunapita na Gari la sinema tukionysha Video ya Gwajima akila Mwanakondoo(Mkono wa Baunsa)
AiseeeNa Badoo Wiki ya Mwisho wa Kampeni tunapita na Gari la sinema tukionysha Video ya Gwajima akila Mwanakondoo(Mkono wa Baunsa)
Hahahaha tulia dawa ikuingieWameishiwa Hoja hao wapuuzi
Aiseee, Mkuu umechafukwa sanaWana CCM wengi tunaunga mkono Halima kutumia mbinu zozote zile , kuhakikisha yuke fedhuli, nduli, Gamba la Kidini linaangukia pua. Laana ya kumleta huyu Gwajima Mzinifu itampata Magufuli, na mojawapo za laana hizo ni taabu anazotupa Tundu Lissu na Zitto Kabwe kwenye campaign hizi. Mtu yoyote anayemuunga mkono Gwajima alaaniwe.
Kuhusu lema , huyu lema ni chokora ila CCM kila siku kinakosea sana Arusha, wapiga kura wengi wa Arusha ni wachaga maisha yao hawampigii kura mtu asiye mchaga, wao Arusha wanekujabna wameitaifisha, na mjini wako kwa wingi na katika kila sector, hawatamchagua mzaramo aliyeowa mchaga, mwanamke wa kichaga kuolewa nje ya kabila ni kuleta maendeleo nyimbani na sio kwa mume.
Ndio tena sana,sababu Siasa ni Sayansi BwasheeJe, sheria ya uchaguzi inaruhusu?
HahahahhahahahahahahahNa Badoo Wiki ya Mwisho wa Kampeni tunapita na Gari la sinema tukionysha Video ya Gwajima akila Mwanakondoo(Mkono wa Baunsa)
Ache kutetea mambo ambayo hayakubaliki kijamii na kisheria ili kuhalalisha matakwa ya masikio yenu. Imagine kama kila chama na mgombea akitumia njia hii nchi hii itakalika?Ningekuona kuwa una 'Akili' zilizokutosha kama ungeanza 'Kuwakosoa' hao akina Rais JPM na Askofu Gwajima waache kuwa na 'Kauli' za Kifedhuli.
Haukubaliki vipi?Lema katika kampeni zake amerekodi sauti ya Rais Magufuli wakati anamtumbua Mrisho Gambo na anawasikilizisha wananchi huku akiwashawishi kuwa Gambo hafai kuwa Mbunge.
Halima Mdee naye kwenye gari lake la matangazo ya kampeni anarusha sauti ya askofu Gwajima akiponda vyeo vya uwaziri na ubunge na kutishia kuhujumu madrasa.
Binafsi nauchukulia utaratibu huu kama siyo wa halali na ninaiomba NEC na msajili wa vyama kufuatilia na kuchukua hatua.
Maendeleo hayana vyama!
Hii inaitwa makavu live GENTAMYCINE! Sema huyu Johnbaptist ni sugu, kesho utaona kaandika tena! Huyu na mzee Paskal wanazeeka vibaya!Ningekuona kuwa una 'Akili' zilizokutosha kama ungeanza 'Kuwakosoa' hao akina Rais JPM na Askofu Gwajima waache kuwa na 'Kauli' za Kifedhuli.
Kwani kuna mtu kakatazwa kutumia?na nyie tumieniAche kutetea mambo ambayo hayakubaliki kijamii na kisheria ili kuhalalisha matakwa ya masikio yenu. Imagine kama kila chama na mgombea akitumia njia hii nchi hii itakalika?
Lema katika kampeni zake amerekodi sauti ya Rais Magufuli wakati anamtumbua Mrisho Gambo na anawasikilizisha wananchi huku akiwashawishi kuwa Gambo hafai kuwa Mbunge.
Halima Mdee naye kwenye gari lake la matangazo ya kampeni anarusha sauti ya askofu Gwajima akiponda vyeo vya uwaziri na ubunge na kutishia kuhujumu madrasa.
Binafsi nauchukulia utaratibu huu kama siyo wa halali na ninaiomba NEC na msajili wa vyama kufuatilia na kuchukua hatua.
Maendeleo hayana vyama!
Na Badoo Wiki ya Mwisho wa Kampeni tunapita na Gari la sinema tukionysha Video ya Gwajima akila Mwanakondoo(Mkono wa Baunsa)
Lema katika kampeni zake amerekodi sauti ya Rais Magufuli wakati anamtumbua Mrisho Gambo na anawasikilizisha wananchi huku akiwashawishi kuwa Gambo hafai kuwa Mbunge.
Halima Mdee naye kwenye gari lake la matangazo ya kampeni anarusha sauti ya askofu Gwajima akiponda vyeo vya uwaziri na ubunge na kutishia kuhujumu madrasa.
Binafsi nauchukulia utaratibu huu kama siyo wa halali na ninaiomba NEC na msajili wa vyama kufuatilia na kuchukua hatua.
Maendeleo hayana vyama!
Bwasheee kunywa beer utulieLema katika kampeni zake amerekodi sauti ya Rais Magufuli wakati anamtumbua Mrisho Gambo na anawasikilizisha wananchi huku akiwashawishi kuwa Gambo hafai kuwa Mbunge.
Halima Mdee naye kwenye gari lake la matangazo ya kampeni anarusha sauti ya askofu Gwajima akiponda vyeo vya uwaziri na ubunge na kutishia kuhujumu madrasa.
Binafsi nauchukulia utaratibu huu kama siyo wa halali na ninaiomba NEC na msajili wa vyama kufuatilia na kuchukua hatua.
Maendeleo hayana vyama!
Halima anampango aatatembea na ProjectorJe angeonesha ile pono yake
Natafuta upenyo niombe ruksa kwa Moderator niweke hapa mavideo yake ya kikubwa , ninayo 10 , liwalo na liweKwani hizo clip/sauti nazo zimeedititiwa??ebu wahusika wajitokeze wakane kama sii wao waliongea....
Mbona maneno yao wenyewe yakukere. Una shida gani? Itakuongezea nini kwenye kukosa ajira? Acha ujingaLema katika kampeni zake amerekodi sauti ya Rais Magufuli wakati anamtumbua Mrisho Gambo na anawasikilizisha wananchi huku akiwashawishi kuwa Gambo hafai kuwa Mbunge.
Halima Mdee naye kwenye gari lake la matangazo ya kampeni anarusha sauti ya askofu Gwajima akiponda vyeo vya uwaziri na ubunge na kutishia kuhujumu madrasa.
Binafsi nauchukulia utaratibu huu kama siyo wa halali na ninaiomba NEC na msajili wa vyama kufuatilia na kuchukua hatua.
Maendeleo hayana vyama!
Wezi wakubwa nyie,muone sura kama tikiti majiWameishiwa Hoja hao wapuuzi
Hizo sauti ni feki au halisi?Lema katika kampeni zake amerekodi sauti ya Rais Magufuli wakati anamtumbua Mrisho Gambo na anawasikilizisha wananchi huku akiwashawishi kuwa Gambo hafai kuwa Mbunge.
Halima Mdee naye kwenye gari lake la matangazo ya kampeni anarusha sauti ya askofu Gwajima akiponda vyeo vya uwaziri na ubunge na kutishia kuhujumu madrasa.
Binafsi nauchukulia utaratibu huu kama siyo wa halali na ninaiomba NEC na msajili wa vyama kufuatilia na kuchukua hatua.
Maendeleo hayana vyama!
Iweke MkuuVipi tukupe na ille Mrisho Gambo alipo maingiza Chaka Jiwe kuhusu kununua Madiwani...akaambiwa Mpumbavu😃😃