Simba zee 33
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 1,374
- 1,558
Mimi ni mwana CCM pia ni MuislamuB
Bi kidude kashikwa pabaya. Bishop. Dr. Gwajima mbunge mtarajiwa wa Kawe.
Kwa kweli kauli za ndugu Gwajima zinatuweka pabaya waislamu
Mtu mwema hawezi kuzungumza maneno ya chuki hivi
Mbaya zaidi anazidi kuharibu kwa kusema hivi karibuni nimewachimbia vidima waislamu kwenye vimsikiti vya makuti anaesema namchukia muislamu ni mnafiki
Sasa sisi tumekua wanafiki
Simpigii kura halima pia sidhani kama tapiga kura ya ubunge