Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,001
- 26,305
Nashauri chadema watume sauti za muhusika mkuu kila mahali akitutukana watzila kampeni ya style hiyo inammaliza sana mhusika wa sauti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashauri chadema watume sauti za muhusika mkuu kila mahali akitutukana watzila kampeni ya style hiyo inammaliza sana mhusika wa sauti
Inawauma eeh nyie mlivyofanya figisu kupita bila kupingwa heHizi ni siasa uchwara, hii inaonyesha hamna sera, wenzenu wanatangaza maendeleo nyie mnatembea na flash! Mnakuja kupigwa na flash zenu.
Je wamezi edit au walizungumza wenyewe?mtoa mada nakkunga mkono.huko ni kuishiwa mbinu kabisa na kutaka kuwatia watu joto.unapotumia saut za viongoz,hatua zinaweza kuchukuliwa.tutoe wito kwa nec kuwakaripia hawa amani yetu kwanza
kwenye hizo clips si kuna sera zenu ,tunawasaidia wananchi wajue sera zenu kwa upanaHizi ni siasa uchwara, hii inaonyesha hamna sera, wenzenu wanatangaza maendeleo nyie mnatembea na flash! Mnakuja kupigwa na flash zenu.
Mbona nyie mlishapigwa sindano kibao tu makalioni. Sasa dawa inaingia taratibu.Tulieni sindano iwaingie wezi wakubwa nyie.
Kinakuuma nini?Lema katika kampeni zake amerekodi sauti ya Rais Magufuli wakati anamtumbua Mrisho Gambo na anawasikilizisha wananchi huku akiwashawishi kuwa Gambo hafai kuwa Mbunge.
Halima Mdee naye kwenye gari lake la matangazo ya kampeni anarusha sauti ya askofu Gwajima akiponda vyeo vya uwaziri na ubunge na kutishia kuhujumu madrasa.
Binafsi nauchukulia utaratibu huu kama siyo wa halali na ninaiomba NEC na msajili wa vyama kufuatilia na kuchukua hatua.
Maendeleo hayana vyama!
Gwajima alitaka kuhujumu madrasa? Hatufai huyuLema katika kampeni zake amerekodi sauti ya Rais Magufuli wakati anamtumbua Mrisho Gambo na anawasikilizisha wananchi huku akiwashawishi kuwa Gambo hafai kuwa Mbunge.
Halima Mdee naye kwenye gari lake la matangazo ya kampeni anarusha sauti ya askofu Gwajima akiponda vyeo vya uwaziri na ubunge na kutishia kuhujumu madrasa.
Binafsi nauchukulia utaratibu huu kama siyo wa halali na ninaiomba NEC na msajili wa vyama kufuatilia na kuchukua hatua.
Maendeleo hayana vyama!
Katika michezo michafu ya siasa huu ni mmojawapo mkuuLema katika kampeni zake amerekodi sauti ya Rais Magufuli wakati anamtumbua Mrisho Gambo na anawasikilizisha wananchi huku akiwashawishi kuwa Gambo hafai kuwa Mbunge.
Halima Mdee naye kwenye gari lake la matangazo ya kampeni anarusha sauti ya askofu Gwajima akiponda vyeo vya uwaziri na ubunge na kutishia kuhujumu madrasa.
Binafsi nauchukulia utaratibu huu kama siyo wa halali na ninaiomba NEC na msajili wa vyama kufuatilia na kuchukua hatua.
Maendeleo hayana vyama!
dada hapa tayari mtarimbo umekuganda hadi umepanic 🤣 🤣 🤣Mbona nyie mlishapigwa sindano kibao tu makalioni. Sasa dawa inaingia taratibu.
Naona mwisho wako wa kufikiri, poledada hapa tayari mtarimbo umekuganda hadi umepanic 🤣 🤣 🤣
relax totoo ehh usichukie, nakupenda totoo.Naona mwisho wako wa kufikiri, pole
naunga mKono Hoja hiI , kuna mambo Mengi sana Halima amesema na kukashifu lakini vyama ya upinzani havijatumia recording Hizo .Tume isifungie macho jambo hili.Lema katika kampeni zake amerekodi sauti ya Rais Magufuli wakati anamtumbua Mrisho Gambo na anawasikilizisha wananchi huku akiwashawishi kuwa Gambo hafai kuwa Mbunge.
Halima Mdee naye kwenye gari lake la matangazo ya kampeni anarusha sauti ya askofu Gwajima akiponda vyeo vya uwaziri na ubunge na kutishia kuhujumu madrasa.
Binafsi nauchukulia utaratibu huu kama siyo wa halali na ninaiomba NEC na msajili wa vyama kufuatilia na kuchukua hatua.
Maendeleo hayana vyama!
Lema katika kampeni zake amerekodi sauti ya Rais Magufuli wakati anamtumbua Mrisho Gambo na anawasikilizisha wananchi huku akiwashawishi kuwa Gambo hafai kuwa Mbunge.
Halima Mdee naye kwenye gari lake la matangazo ya kampeni anarusha sauti ya askofu Gwajima akiponda vyeo vya uwaziri na ubunge na kutishia kuhujumu madrasa.
Binafsi nauchukulia utaratibu huu kama siyo wa halali na ninaiomba NEC na msajili wa vyama kufuatilia na kuchukua hatua.
Maendeleo hayana vyama!
ni kuishiwa tu kwa hojaLema katika kampeni zake amerekodi sauti ya Rais Magufuli wakati anamtumbua Mrisho Gambo na anawasikilizisha wananchi huku akiwashawishi kuwa Gambo hafai kuwa Mbunge.
Halima Mdee naye kwenye gari lake la matangazo ya kampeni anarusha sauti ya askofu Gwajima akiponda vyeo vya uwaziri na ubunge na kutishia kuhujumu madrasa.
Binafsi nauchukulia utaratibu huu kama siyo wa halali na ninaiomba NEC na msajili wa vyama kufuatilia na kuchukua hatua.
Maendeleo hayana vyama!
Tena Gwajima ashukuru hatuwezi kuonyesha video yake akila kondoo wake Live pale kwenye Viwanja vya Tanganyika PackersLema katika kampeni zake amerekodi sauti ya Rais Magufuli wakati anamtumbua Mrisho Gambo na anawasikilizisha wananchi huku akiwashawishi kuwa Gambo hafai kuwa Mbunge.
Halima Mdee naye kwenye gari lake la matangazo ya kampeni anarusha sauti ya askofu Gwajima akiponda vyeo vya uwaziri na ubunge na kutishia kuhujumu madrasa.
Binafsi nauchukulia utaratibu huu kama siyo wa halali na ninaiomba NEC na msajili wa vyama kufuatilia na kuchukua hatua.
Maendeleo hayana vyama!
Eti Matusi, kusema mgombea wa CCM amejenga Uwanja wa Ndege wa Kimataifa kijijini Kwao ni Matusi hayo? Kukumbusha kauli zake za dharau, matusi,masimango na kiburi kwa raia ni Matusi?Ukweli ni kwamba wapinzani wamekosa sera na maji yamewafikia shingoni.
Njia pekee waliyobakiwa nayo ni Matusi na Kutumia hoja nyepesi badala ya kunadi sera zao na Ilani ya vyama vyao
We mvuta bangi unajibu kimalaya hoja muhimu kama hiyo?We ungependa watumie nini.? Sauti yako?
FREEMAN MBOWE NA HALIMA MDEE WANAVYOMHUJUMU TUNDU LISSULema katika kampeni zake amerekodi sauti ya Rais Magufuli wakati anamtumbua Mrisho Gambo na anawasikilizisha wananchi huku akiwashawishi kuwa Gambo hafai kuwa Mbunge.
Halima Mdee naye kwenye gari lake la matangazo ya kampeni anarusha sauti ya askofu Gwajima akiponda vyeo vya uwaziri na ubunge na kutishia kuhujumu madrasa.
Binafsi nauchukulia utaratibu huu kama siyo wa halali na ninaiomba NEC na msajili wa vyama kufuatilia na kuchukua hatua.
Maendeleo hayana vyama!
🤣🤣🤣🤣 mtawakana hata baba zenuSina uhakika bwashee!