Huu Ukakamavu Wa Sirro Mmeuona?

Huu Ukakamavu Wa Sirro Mmeuona?

Niliipenda sanaaa. Hata jambazi akiona hiyo kwata,anakunja mkia kabla ya kufikiwa. Tumepata jembe. Niko pembezoni huku Lake Tanganyika,watu walipoona vile walishangilia kinoma. Hakika jeshi letu la Polisi limepata mwenyewe! Bravo!
Usimalize sifa zote mkuu , bakisha zingine , hawa ndio wanampigia saluti lipumba kila siku .
 
Jana niliona nilifurah sana hasa pale niliposikia zile lugha za kikomando... tatizo sisi wa UKAWA hatutakag kukubali na kusifia penye ukwelj
 
Nimeona majibu unayotoa kwa kola mru ni kma vile unatafuta ugomvi na watu...sisi hatujasababisha hali yko kuwa ngumu...mkuu punguza jazba haya ni majadiliano ya kawaida tu cyo ngumu
Punguza kukariri,itakusaidia maishani
 
Tunaomfahamu ndio tunakuhakikishia kwamba huyo ni Kamanda wa Ukweli.
Wewe kuamini kwamba hafai haina maana kwamba huo ndio ukweli.Tunakuelewesha tu uelewe maana naona unaamini kwamba 3+3=5.Tunaojua tunakwambia 3+3=6.
Upande wako unaiona 9 kwangu iko 6. Usiniforce ni amini unachokiamini wewe. Hamna kitu hapo
 
Jana ITV.. kamanda sirro alionesha ukakamavu wa hali ya juu ambao sijawahi kuona IGP yeyote yule akifanya na vijana wake, mwenye clip atuwekee kumpa hongera huyu mkuu kwa kuonesha kazi kwa vitendo
So what!? Tumefaidika na nini?. Kama ukakamavu ni wake na aishie nao hukohuko. Usituletee matapishi hapa,we got no time to discuss.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe watu wameua watu...umekutana nao kwenye ulingo wa mapambona, ulitaka wabembelezwe waweke kuweka silaha chini huku kwenye vita ilikuwa ni kuwaiana...kawatetee sasa ndo wameshauawa hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Tena kwa nyongeza,wale askari wetu 8 waliouwawa na hawa jamaa bado tungekuwa nao endapo wangejihami mapema kama hawa. Muuaji hafai kubembelezwa hata kidogo.
 
Yeye anafanya kazi kwa nguvu moja coz pesa Nzuri anapata na marupurupu sasa basi na hao askari waangaliwe angalau wajisikie molari ya kufanya kazi

Izo n kiki kwa mkuu 2 ila baada ya bado itabaki simulizi 2

Maskari wamechoka hatari huku mtaan

Sent using Jamii Forums mobile app
Usilolijua ni kama Usiku wa Giza!! Halafu we ni mpumbavu!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila cha ajabu na yeye ana buluzwa kweli na na data za uchumi kwenda mlama!!! Uchumi hauongopi. Wala haukuzwi kwa matamko au vitisho. Bali ni mikakati!!!!
Last year ulikuwa kwa 7%... Mkakataa, mwaka huu mmeambiwa kwa kota moja umeshuka na wale wale waliowaambia mwaka jana ulikuwa kwa 7% mkawakatalia sasahv mnakubali.. Sasa nyie kama sio misukule ni nani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom