Huu Ukakamavu Wa Sirro Mmeuona?

Huu Ukakamavu Wa Sirro Mmeuona?

IGP ni miongoni mwa Makamanda bora ambao Jeshi la Polisi limewahi kupata.
Huu ndio ukweli,hutaki unaacha.

Kweli IGP-KAMANDA wa UKWELI, Jeshi limepata mkuu nasi Wananchi tumepata kiongozi hodari wa Polisi na mchapa kazi
 
IGP Sirro ni moja ya best ever Police wetu na historia ya jeshi la Polisi..

Kwa tunao mjua huyo ni kamanda front squad na kiongozi haswa
 
Siasa iko wapi????zaidi zaidi mbaya majambazi yasiyoonekana haya mkojo au mgumu mnazionyesha silaha kwani hao majambazi ni invisible na kinachoonekana ni silaha tupu??? Kwata what's drama kwata inakusaidia wewe?? Kwata my foot
Wewe ni pure civilian unayeishi na kulala tu natamani sana kukufahamu kama vipi natuma posa kwenu hata mil ngapi ntatoa hadi nikubadilishe fikra
 
Dear comrades,
While many of us are very positive of the achievements of our Police "FORCE", I am rather skeptical of the trend to "militarise" the police, Prisons, Immigration and fire services in this country. To me, there should only be ONE "force" which is the JWTZ. The others should be Law enforcement agents that assist in restoring law and order in the country. Such trends have not been successful elsewhere in the world to provide peace and security.

Watching Commander Sirro yesterday in the TV gave me a notion that he had already prosecuted and convicted the victims which should be a matter for the Judiciary to determine. This is what they call "extrajudicial killings". The worrying words uttered by the commander that similar fate is bound to occur to whoever the Police force thinks and feel they are involved in the Mkuranga/Kibiti/Lindi murders leaves a lot of fears among the community. We all need peace and security and abhors the grisly murders of innocent civilians occurring in the districts, but whoever responsible should be brought to the courts of justice for determinations of whether they are innocent or guilty of the offenses.

I pray that wisdom will prevail among our law enforcement organs and permanent peace is brought in this beautiful part of our country.

Cheers
Wewe ni kati ya wajinga, wapumbavu, majuza, majizi na malofa, mafala wachache tulionao nchini, akili yako inauwezo wa kuwa kula na kunya tu

Hivi unafikiri ni rahisi kumkamata mtu mwenye silaha anayeua hadi askari kirahisi?

Ufaransa, US,UK wameua washambuliaji kama hawa sembuse hizo stori zako za abunuwasi unaleta Tanzania?

Wewe kunya lala lipa kodi huna faida nyingine yaani bure kabisa wewe ni mafi ya kuku (in mwai kibaki's voice)
 
Back
Top Bottom