white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,618
- 13,891
Ni bora ukawa MSUKULE kwani wakati huo huendeshwi na utashi wako kuliko kuwa member wa [HASHTAG]#UKUKU[/HASHTAG]!!!!kwani mwanaume mzima na elimu yake anajifanya kuwa hazimoooo!!! Acheni UKUKULast year ulikuwa kwa 7%... Mkakataa, mwaka huu mmeambiwa kwa kota moja umeshuka na wale wale waliowaambia mwaka jana ulikuwa kwa 7% mkawakatalia sasahv mnakubali.. Sasa nyie kama sio misukule ni nani?
Sent using Jamii Forums mobile app