Huu Ukakamavu Wa Sirro Mmeuona?

Huu Ukakamavu Wa Sirro Mmeuona?

Ukakamavu bongo,yuko wapi yule mpiga push up majukwaani ili apate cheo.
 
Siro ni kamanda anayetumia akili sana kwenye kazi zake like sakata la mwanza 2010 alivyolimaliza in ushahidi tosha. Angelikuwa nani hii bunduki zingetumika lzm,mchana mwema wandugu.
 
IGP ni miongoni mwa Makamanda bora ambao Jeshi la Polisi limewahi kupata.
Huu ndio ukweli,hutaki unaacha.
IGP ndo mwepesi kuliko woote kwenye misimamo unajua sirro ndo alichezezwa ngoma zoote na bashite sirro ndo alutuhumia hadharani buku tano tano za shisha zimemfikia na kwa udhaifuu huu tu raisi akasema aweke hata range rover lock up na aka wish awe IGP na the only way to b a president and IGP at same time ni kuweka kiumbe dhaifu tu ili everytime you wish to be him unakuwa tu.......
 
Kila siku asubuhi kabla ya kuanza kazi maaskari wanatakiwa wapige kwata,na wanafanya hivyo vituo vyote,sasa chaajabu nini hapo?
 
Walienda JKT kwa miaka miwili wakaenda CCP wakafundishwa mbinu na nidhamu ila siasa za chama cha hatamu kimewaharibu watendaji wengi wa nchi yangu.

Rest in advance Joyce Ndalichako.
Mfumo wa CCM ndiyo mbovu.
 
Jana ITV.. kamanda sirro alionesha ukakamavu wa hali ya juu ambao sijawahi kuona IGP yeyote yule akifanya na vijana wake, mwenye clip atuwekee kumpa hongera huyu mkuu kwa kuonesha kazi kwa vitendo
Siamini kama kwel wamekufa
 
Walienda JKT kwa miaka miwili wakaenda CCP wakafundishwa mbinu na nidhamu ila siasa za chama cha hatamu kimewaharibu watendaji wengi wa nchi yangu.

Rest in advance Joyce Ndalichako.
Sijakusoma mkuu,ulikuwa unamaanisha nini
 
Jana ITV.. kamanda sirro alionesha ukakamavu wa hali ya juu ambao sijawahi kuona IGP yeyote yule akifanya na vijana wake, mwenye clip atuwekee kumpa hongera huyu mkuu kwa kuonesha kazi kwa vitendo
This guy is a man of action.Sijawahi kuona IGP of his nature.Nadhani atasaidia kulifufua jeshi la Polisi.Keep it up Sirro,jeshi la Polisi liligeuka kuwa chaka la ..............
 
Back
Top Bottom