Huu Ukakamavu Wa Sirro Mmeuona?

Huu Ukakamavu Wa Sirro Mmeuona?

Niliipenda sanaaa. Hata jambazi akiona hiyo kwata,anakunja mkia kabla ya kufikiwa. Tumepata jembe. Niko pembezoni huku Lake Tanganyika,watu walipoona vile walishangilia kinoma. Hakika jeshi letu la Polisi limepata mwenyewe! Bravo!
warundi?
 
Kwangu IGP bora wa Zama zote kwa strategy za Jeshi ni Said Ally Mwema

IGP bora kwa Nidhamu na uajibikaji mpaka sasa ni Simon Sirro

IGP bora kwa nginja ngija ni Omar Mahita
 
IGP ni miongoni mwa Makamanda bora ambao Jeshi la Polisi limewahi kupata.
Huu ndio ukweli,hutaki unaacha.
Kwahiyo nifanyaje?? Ndio nishasema Hamna kitu hapo,sio lazima niamnii unachokiamini. Logic kwako upuuzi kwangu,and the vice versa.
 
Dear comrades,
While many of us are very positive of the achievements of our Police "FORCE", I am rather skeptical of the trend to "militarise" the police, Prisons, Immigration and fire services in this country. To me, there should only be ONE "force" which is the JWTZ. The others should be Law enforcement agents that assist in restoring law and order in the country. Such trends have not been successful elsewhere in the world to provide peace and security.

Watching Commander Sirro yesterday in the TV gave me a notion that he had already prosecuted and convicted the victims which should be a matter for the Judiciary to determine. This is what they call "extrajudicial killings". The worrying words uttered by the commander that similar fate is bound to occur to whoever the Police force thinks and feel they are involved in the Mkuranga/Kibiti/Lindi murders leaves a lot of fears among the community. We all need peace and security and abhors the grisly murders of innocent civilians occurring in the districts, but whoever responsible should be brought to the courts of justice for determinations of whether they are innocent or guilty of the offenses.

I pray that wisdom will prevail among our law enforcement organs and permanent peace is brought in this beautiful part of our country.

Cheers
Wewe watu wameua watu...umekutana nao kwenye ulingo wa mapambona, ulitaka wabembelezwe waweke kuweka silaha chini huku kwenye vita ilikuwa ni kuwaiana...kawatetee sasa ndo wameshauawa hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeye anafanya kazi kwa nguvu moja coz pesa Nzuri anapata na marupurupu sasa basi na hao askari waangaliwe angalau wajisikie molari ya kufanya kazi

Izo n kiki kwa mkuu 2 ila baada ya bado itabaki simulizi 2

Maskari wamechoka hatari huku mtaan

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kupinga kila kitu hata ambpo hakufai kuweka siasa, haya twambie bi igp gni aliyewahi kupiga kwata na kikosi cha kazi kma yeye?

Sent using Jamii Forums mobile app
Siasa iko wapi????zaidi zaidi mbaya majambazi yasiyoonekana haya mkojo au mgumu mnazionyesha silaha kwani hao majambazi ni invisible na kinachoonekana ni silaha tupu??? Kwata what's drama kwata inakusaidia wewe?? Kwata my foot
 
Siasa iko wapi????zaidi zaidi mbaya majambazi yasiyoonekana haya mkojo au mgumu mnazionyesha silaha kwani hao majambazi ni invisible na kinachoonekana ni silaha tupu??? Kwata what's drama kwata inakusaidia wewe?? Kwata my foot
Nimeona majibu unayotoa kwa kola mru ni kma vile unatafuta ugomvi na watu...sisi hatujasababisha hali yko kuwa ngumu...mkuu punguza jazba haya ni majadiliano ya kawaida tu cyo ngumu
 
Kwahiyo nifanyaje?? Ndio nishasema Hamna kitu hapo,sio lazima niamnii unachokiamini. Logic kwako upuuzi kwangu,and the vice versa.

Tunaomfahamu ndio tunakuhakikishia kwamba huyo ni Kamanda wa Ukweli.
Wewe kuamini kwamba hafai haina maana kwamba huo ndio ukweli.Tunakuelewesha tu uelewe maana naona unaamini kwamba 3+3=5.Tunaojua tunakwambia 3+3=6.
 
Je, askari wanaokomesha uhalifu maeneo ya Kibiti na kwingineko, wanaenda kisiasa?
Mimi naona wapo kazini kumlinda UKAWA,CCM na asiye na nasaba na hizo SACCOS.
Unaonaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu punguza maspidi ili uelewe! Sijasema siwapongezi kwa kutenda kazi zao kiweledi bali je hawatumiki kisiasa hilo ndilo swali langu?
Au ili unielewe vema "NAWAPA CHANGAMOTO WAONGEZE WELEDI KATIKA KAZI ZAO ILI KUJENGA IMANI INAYOPOTEA NA UAMINIFU BAINA YA WANANCHI - IKIWA MIKUTANO YA KISIASA ILIVAMIWA NA MAJAMBAZI NA HAWAKUCHUKULIWA HATUA MPAKA LEO WANADUNDA NA KUJITAPA... IKIWA WATU WALIWAONESHA SILAHA WAHESHIMIWA NA MAMBO YAKAISHA KIMYAKIMYA BADO MATUKIO YALE YAKIJIRUDIA TUTASEMAJE?"
Uhalifu uzuiwe kabla haujatokea, uhalifu ukomeshwe kokote uliko. kikubwa WELEDI utawale zaidi ili kuondoa makandokando na mashaka.
Simsifii mgema ili aharibu tembo...
 
Mkuu punguza maspidi ili uelewe! Sijasema siwapongezi kwa kutenda kazi zao kiweledi bali je hawatumiki kisiasa hilo ndilo swali langu?
Au ili unielewe vema "NAWAPA CHANGAMOTO WAONGEZE WELEDI KATIKA KAZI ZAO ILI KUJENGA IMANI INAYOPOTEA NA UAMINIFU BAINA YA WANANCHI - IKIWA MIKUTANO YA KISIASA ILIVAMIWA NA MAJAMBAZI NA HAWAKUCHUKULIWA HATUA MPAKA LEO WANADUNDA NA KUJITAPA... IKIWA WATU WALIWAONESHA SILAHA WAHESHIMIWA NA MAMBO YAKAISHA KIMYAKIMYA BADO MATUKIO YALE YAKIJIRUDIA TUTASEMAJE?"
Uhalifu uzuiwe kabla haujatokea, uhalifu ukomeshwe kokote uliko. kikubwa WELEDI utawale zaidi ili kuondoa makandokando na mashaka.
Simsifii mgema ili aharibu tembo...
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Mapungufu hayakosekani , penye ukweli na uzuri tupongeze. Ukiona mabaya kemea. Achana na figisu za wanasiasa na kuna makamanda huwa hawaendeshwi kama Lori ndio maana kuna mikoa hutosikia ujinga huo.
Nmekuelewa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom