Huu ni wakati wa kuyatafuta mabadiliko nje ya CCM

Watu unaweza kuwadanganya leo lakini kamwe hauwezi kuwadanganya siku zote

CCM wasidhani kama wataendelea kutumia ulaghai wa zamani wa kutupaka pipi mdomoni huku utamu wa pipi nzima ukiliwa na wachache hatutakubali hata siku moja

CCM wakitaka tuendelee kuwaunga mkono tunawataka wafuate mambo yafuatayo bila kupepesa macho

Kwanza watekeleze kwa kishindo ilani ya CCM ya kurasa 303 ambayo ina agenda zote za mifumo ya kustawisha jamii yetu

Hatutaki kuambiwa kwamba kuna haki wakati hatuoni nia na dhamira ya Serikali katika kutuletea uimara wa huduma za misingi kama upatikanaji wa maji safi na salama, Bima ya afya kwa woote, huduma bora za Afya,

kwa misingi hiyo wanasiasa waache kutupaka mafuta kwa mgongo wa Chupa kwa kuhubiri haki ya uongo huku haki zetu za lazima na za msingi zikififishwa na sera mbaya za viongozi zinachochea Rushwa, ufisadi, ubadhirifu wa mali za umma, uzembe kazini na madawa ya kulevya
Zile sera zenu za kuua ,kutesa ,kuteka, kulawiti kubambika kesi za uhujumu uchumi wale wanaowapinga mmeachana nazo
 
Watu unaweza kuwadanganya leo lakini kamwe hauwezi kuwadanganya siku zote

CCM wasidhani kama wataendelea kutumia ulaghai wa zamani wa kutupaka pipi mdomoni huku utamu wa pipi nzima ukiliwa na wachache hatutakubali hata siku moja

CCM wakitaka tuendelee kuwaunga mkono tunawataka wafuate mambo yafuatayo bila kupepesa macho

Kwanza watekeleze kwa kishindo ilani ya CCM ya kurasa 303 ambayo ina agenda zote za mifumo ya kustawisha jamii yetu

Hatutaki kuambiwa kwamba kuna haki wakati hatuoni nia na dhamira ya Serikali katika kutuletea uimara wa huduma za misingi kama upatikanaji wa maji safi na salama, Bima ya afya kwa woote, huduma bora za Afya,

kwa misingi hiyo wanasiasa waache kutupaka mafuta kwa mgongo wa Chupa kwa kuhubiri haki ya uongo huku haki zetu za lazima na za msingi zikififishwa na sera mbaya za viongozi zinachochea Rushwa, ufisadi, ubadhirifu wa mali za umma, uzembe kazini na madawa ya kulevya
Kufa umfuate yule dhalim mkalete mabadiliko jehanam
 
Watu unaweza kuwadanganya leo lakini kamwe hauwezi kuwadanganya siku zote

CCM wasidhani kama wataendelea kutumia ulaghai wa zamani wa kutupaka pipi mdomoni huku utamu wa pipi nzima ukiliwa na wachache hatutakubali hata siku moja

CCM wakitaka tuendelee kuwaunga mkono tunawataka wafuate mambo yafuatayo bila kupepesa macho

Kwanza watekeleze kwa kishindo ilani ya CCM ya kurasa 303 ambayo ina agenda zote za mifumo ya kustawisha jamii yetu

Hatutaki kuambiwa kwamba kuna haki wakati hatuoni nia na dhamira ya Serikali katika kutuletea uimara wa huduma za misingi kama upatikanaji wa maji safi na salama, Bima ya afya kwa woote, huduma bora za Afya,

kwa misingi hiyo wanasiasa waache kutupaka mafuta kwa mgongo wa Chupa kwa kuhubiri haki ya uongo huku haki zetu za lazima na za msingi zikififishwa na sera mbaya za viongozi zinachochea Rushwa, ufisadi, ubadhirifu wa mali za umma, uzembe kazini na madawa ya kulevya
Ndiyo maana Mimi mtu akiniambia eti tusimlaumu Magufuli kwa vile alikuwa na mazuri yake kwa kweli lazima nimdharau Sana.

Magufuli aliishi na mijitu ya HOVYO Kama Cyprian Musiba, Makonda na Ole Sabaya kwa sababu na yeye mwenyewe alikuwa mtu wa HOVYO sana.

Mtu jeuri, mwizi, mbabe, mwongo, mwenye chuki, muuwaji, dhuluma na mbishi wa kijinga aliyeibishia dunia kuhusu Corona na akafa kwa Corona
 
Watu unaweza kuwadanganya leo lakini kamwe hauwezi kuwadanganya siku zote

CCM wasidhani kama wataendelea kutumia ulaghai wa zamani wa kutupaka pipi mdomoni huku utamu wa pipi nzima ukiliwa na wachache hatutakubali hata siku moja

CCM wakitaka tuendelee kuwaunga mkono tunawataka wafuate mambo yafuatayo bila kupepesa macho

Kwanza watekeleze kwa kishindo ilani ya CCM ya kurasa 303 ambayo ina agenda zote za mifumo ya kustawisha jamii yetu

Hatutaki kuambiwa kwamba kuna haki wakati hatuoni nia na dhamira ya Serikali katika kutuletea uimara wa huduma za misingi kama upatikanaji wa maji safi na salama, Bima ya afya kwa woote, huduma bora za Afya,

kwa misingi hiyo wanasiasa waache kutupaka mafuta kwa mgongo wa Chupa kwa kuhubiri haki ya uongo huku haki zetu za lazima na za msingi zikififishwa na sera mbaya za viongozi zinachochea Rushwa, ufisadi, ubadhirifu wa mali za umma, uzembe kazini na madawa ya kulevya
Utapata taabu sana😊
 
🤣Madaraka matamu, kumbe uanachama ni vyeo tukipokonywa na chama kinaharibika
 
Utateseka sana
Narudia
Utateseka sana

Jiwe walilolikataa waashi limevunjika
Na Sasa vipande vyake vyatumika kusugulia makenya kwenye nyayo za miguu!

Mlidhani mungu mtu jiwe ataishi milele?

Kama unaumia sana enyi CCM makinikia a.k.a mikia mbuzi toka chato nendeni mabatini mkauombe msukule wenu ufufuke shwaini!
 
Back
Top Bottom