Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 27,126
- 39,343
Wazee wa fojari kama yule ndugu yao wa chatoYaani wamezoea kughushi kila kitu.
Wazee wa fojari kama yule ndugu yao wa chatoYaani wamezoea kughushi kila kitu.
Wao wenyewe wanamuita masiya.Wazee wa fojari kama yule ndugu yao wa chato
FojariKama akina Kaaya ndio think tank wa CCM unatarajia nini?
Mtu aliekuibia vitu vyako vya ndani, ukimfata na kumuomba akurudishie hata cheti chako cha kuzaliwa au cha shule ambavyo ni muhimu zaidi katika maisha yako. Yule aliekuibia akisikiliza ombi lako na kukurudishia vile vyeti vyako alichokuibia, hapo kuna ubaya? Wazungu wametuibia toka enzi za ukoloni zaidi ya miaka 300 iliyopita. Sasa leo tukienda kuwaomba watupe kidogo kati ya vingi walivyotuibia kuna makosa?SSH ameomba mabeberu wawe wanatimiza ahadi zao za misaada kwa "dona kantle"!Unatoa maoni gani?
BADO UNA HASIRA??? BASI NYAMAZA TOTO JINGA EEEHE ...UMESIKIA EEEHE? RAIS SAMIA ALISIFIWA NA WAZUNGU WA GAZETI THE SCOTSMAN LA TAREHE 1 NOVEMBER SISI TULIKUWA TUNATANIA TU, UMESIKIA MTOTO MZURI EEEHEEEEMtu aliekuibia vitu vyako vya ndani, ukimfata na kumuomba akurudishie hata cheti chako cha kuzaliwa au cha shule ambavyo ni muhimu zaidi katika maisha yako. Yule aliekuibia akisikiliza ombi lako na kukurudishia vile vyeti vyako alichokuibia, hapo kuna ubaya? Wazungu wametuibia toka enzi za ukoloni zaidi ya miaka 300 iliyopita. Sasa leo tukienda kuwaomba watupe kidogo kati ya vingi walivyotuibia kuna makosa?
Hahaha.. kuna vijana humu wanalipwa ili kuendelea kutengeneza misukule ya kisiasa huku mitandaoni na mitaani. Sasa sisi tupo humu kwa ajili ya kuhakikisha misukule hiyo haipatikani humu mitandaoni wala mitaani. Enzi za kushikiwa akili na mwenyekiti wa chama fulan zimepitwa.Picha wasiyoipenda cdm
Mkuu vp mbona unajistukia. Hivi una muda gani hapa JF? Mbona unaonekana mshamba wa jukwaa hili. Yan ww unajua ukianzisha mada basi mtu yoyote atakae andika chochote anakuwa amekuandikia ww! Just imagine mi nikimjibu mtu mungine alieni quote mimi wewe unakimbilia kuniandikia. Hata aina ya muandiko wako unaonesha ww ni mgeni hapa JF na kuna mtu kakurushia na ww ukaikopi na kuitumia huku habari yako.BADO UNA HASIRA??? BASI NYAMAZA TOTO JINGA EEEHE ...UMESIKIA EEEHE? RAIS SAMIA ALISIFIWA NA WAZUNGU WA GAZETI THE SCOTSMAN LA TAREHE 1 NOVEMBER SISI TULIKUWA TUNATANIA TU, UMESIKIA MTOTO MZURI EEEHEEEE
Jina lenyewe Dudumiz, huyo ni dudumizi mpaka kichwani. Watu kama hao ni kuwapuuza tu. Akili ni kisoda. Wameingia kwenye jukwaa ambalo halikuwa lao.Duuh, wewe zimo kweli?
Gazeti edited liko umewekewa hapo kama kielelezo cha maelezo yake. Ina maana hujaliona na kuona makosa ya kisarufi ambayo wenye gazeti wenyewe hawawezi kufanya?
Kwani kila kitu lazima upinge tu? So mwisho wa siku utajipinga na kujikataa mwenyewe...?
kweli mkuu uko very bright halafu inaonekana wewe ni mwandamizi kabisa hapa JF , ila ma chagadema yana wivu sana white house walilipia tangazo la Rais Samia likaruka siku nzima pale Times square wakadai ni fake jana tena wanadai kwamba gazeti la the Scotsman halikumsifia mpendwa Rais, kama siyo wivu nini? hawa lazima tu deal nao watakuwa wanatumwa na gaidiMkuu vp mbona unajistukia. Hivi una muda gani hapa JF? Mbona unaonekana mshamba wa jukwaa hili. Yan ww unajua ukianzisha mada basi mtu yoyote atakae andika chochote anakuwa amekuandikia ww! Just imagine mi nikimjibu mtu mungine alieni quote mimi wewe unakimbilia kuniandikia.
Wajinga wakiungana wawili huzaa mpumbavu.Jina lenyewe Dudumiz, huyo ni dudumizi mpaka kichwani. Watu kama hao ni kuwapuuza tu. Akili ni kisoda. Wameingia kwenye jukwaa ambalo halikuwa lao.
Hahahaha.. haya mkuu nimekupata.kweli mkuu uko very bright halafu inaonekana wewe ni mwandamizi kabisa hapa JF , ila ma chagadema yana wivu sana white house walilipia tangazo la Rais Samia likaruka siku nzima pale Times square wakadai ni fake jana tena wanadai kwamba gazeti la the Scotsman halikumsifia mpendwa Rais, kama siyo wivu nini? hawa lazima tu deal nao watakuwa wanatumwa na gaidi
Kwa hiyo kuna wajinga wawili waliungana kukupata wewe?Wajinga wakiungana wawili huzaa mpumbavu.
Tuletee kilicho sahihi. Au tuonyeshe makosa ya huyo unayesema ametumwa. Ameweka evidence ziko hapo, tupatie na wewe za kwako zilizosahihi tulinganishe na za huyo aliyetumwa.Aliekutuma kakuingiza chaka dogo.. umeandika ujinga mtupu ambae hata yeye aliekutuma asingeweza kuja kuuandika hapa. Pole sana.
This is too low. Chutama mkuu, umeumbuka.Ni huu hapa wa 2008 Lowasa fisadi na 2015 Lowasa sio fisadi.
View attachment 1995614
View attachment 1995615
Msaidie huyu Mr Dudumizi kwenye hii mada, maana wewe una uelewa.Kila zama na kitabu chake!
Siku zile wauza mahindi ya kuchoma walikuwa na bastola viunoni
Leo Chadema wanashangaa muuza mbege kujua nambari za mguu wa kuku!