Huu ni ushenzi uliopitiliza

Huu ni ushenzi uliopitiliza

Huwa nashindwa kabisa kuelewa hivi unapataje hisia kwa mtu wa jinsia moja na wewe!

Kweli kuna baadhi ya binadamu hawastahili kuwepo kwenye kundi la binadamu, hii ni zaidi ya uwendawazimu
 
FaizaFoxy vitu vyote unavyovijua nikikuuliza umejuaje vingine utashindwa kunipa jibu BTW hakuna siri ya wawili hapa duniani

Hapana, si kweli. Niulize nimejuaje na ntakujibu nilivyokijuwa. Mimi sikuzaliwa nnajuwa kila kitu.
 
Jamaa mmoja hapa mtaani kwetu anakula dada mtu na mdogo wake wa kiume, huu ni udhalilishaji wa aina yake kwa mkewe na familia nzima, hata kama shemeji yako ana tabia za kishoga huwezi kutembea naye wakati dadaake ndio mke wako wa ndoa! Huu ni ufirauni uliopitiliza

mmejuaje kama anatembea na shemeji yake???je dada mtu anajua???,maana wabongo huwa wanajua mambo ya ndan mwa watu kuliko hata wenyewe wa ndan
 
FaizaFoxy vitu vyote unavyovijua nikikuuliza umejuaje vingine utashindwa kunipa jibu BTW hakuna siri ya wawili hapa duniani

hujajibu swali, FaizaFoxy amekuuliza umejuaje???nami nilikuuliza,,,,,isije ikawa unaleta mambo ya 'NIMEAMBIWA',
'NIMESKIA'
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom