Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,765
- 830,902
- Thread starter
- #41
mshana kazi yangu ni ulinzi/sungu sungu ukipenda, kulala si moja ya majukumu yangu ya kazi...nimekuelewa...ila nasungumzia seniority mr. Kuna mambo ambayo mtu mzima, mathalan mwenye midevu ukikuta ananung'unika (bila kujali kutukia ama kutotukia kwake) ni lazima uwaze kwa sauti.. Kama waliotafunwa ni wakubwa kiumri achana nao, ni kihere here chao! Ni mambo yao binafsi, tukitumia muda mrefu kumnanga jamaa haibadilishi ukweli kwamba alitembea na ndugu wawili!
hahahaa sawa kaka shida si kula ndugu wawili, shida ni kula ndugu wawili wa jinsia tofauti