Daah..... Binadamu wanapoelekea hata shetani ataogopa!
Yaaaani! Hatimaye naye atatimua mbio kwa jinsi tunavyotisha!!
Daah..... Binadamu wanapoelekea hata shetani ataogopa!
aise inatisha sana!Jamaa mmoja hapa mtaani kwetu anakula dada mtu na mdogo wake wa kiume, huu ni udhalilishaji wa aina yake kwa mkewe na familia nzima, hata kama shemeji yako ana tabia za kishoga huwezi kutembea naye wakati dadaake ndio mke wako wa ndoa! Huu ni ufirauni uliopitiliza
Umejuwaje?
Jamaa mmoja hapa mtaani kwetu anakula dada mtu na mdogo wake wa kiume, huu ni udhalilishaji wa aina yake kwa mkewe na familia nzima, hata kama shemeji yako ana tabia za kishoga huwezi kutembea naye wakati dadaake ndio mke wako wa ndoa! Huu ni ufirauni uliopitiliza
Yaaaani! Hatimaye naye atatimua mbio kwa jinsi tunavyotisha!!
kaka mtaa wenu una vituko sana ?ivi ile issue ya kumbana kale kabint ukutani iliishaje?sijaona mrejesho!
Jamaa mmoja hapa mtaani kwetu anakula dada mtu na mdogo wake wa kiume, huu ni udhalilishaji wa aina yake kwa mkewe na familia nzima, hata kama shemeji yako ana tabia za kishoga huwezi kutembea naye wakati dadaake ndio mke wako wa ndoa! Huu ni ufirauni uliopitiliza
hatufanani! hujaipenda pita kimya kimya fanya yako