Huu ni ushenzi uliopitiliza

Huu ni ushenzi uliopitiliza

Jamaa mmoja hapa mtaani kwetu anakula dada mtu na mdogo wake wa kiume, huu ni udhalilishaji wa aina yake kwa mkewe na familia nzima, hata kama shemeji yako ana tabia za kishoga huwezi kutembea naye wakati dadaake ndio mke wako wa ndoa! Huu ni ufirauni uliopitiliza
aise inatisha sana!
ahsante kwa taarifa kwakua tayari mnaelewa hiyo hali basi mnapaswa kulifikisha suala hilo kwa wahusika ili likomeshwe.chukueni hatua sasa!ongoza kazi hiyo kusaidia jamii.
 
Umejuwaje?

Swali zuri sana.Lakini kama ni kweli basi binadamu tunampa sana stress shetani. Yeye yuko busy na vijana wake wana-design dhambi mpya,kumbe binadamu tayari wanazo kali zaidi tena ziko kwenye dijitali sio analojia!!!
 
Jamaa mmoja hapa mtaani kwetu anakula dada mtu na mdogo wake wa kiume, huu ni udhalilishaji wa aina yake kwa mkewe na familia nzima, hata kama shemeji yako ana tabia za kishoga huwezi kutembea naye wakati dadaake ndio mke wako wa ndoa! Huu ni ufirauni uliopitiliza

Kichefuchefu
 
Unaishi mtaa gani?

Maana naona kila siku lazima utudokeze habari za mtaani kwenu...
 
Huyo mdogo mtu ndio wa kulaumiwa kwani alibakwa? Au yy ndio alianza kukaa uchi mbele ya shemeji yake
 
kaka mtaa wenu una vituko sana ?ivi ile issue ya kumbana kale kabint ukutani iliishaje?sijaona mrejesho!
 
kaka mtaa wenu una vituko sana ?ivi ile issue ya kumbana kale kabint ukutani iliishaje?sijaona mrejesho!

vipimo viliprove wrong mbaya wangu saivi ananiita mkwe, mtaani kwetu vituko haviishi, naishi karibu kabisa na uwanja wa fisi manzese, wazee wangu tandale, ankel kwa mfugambwa manzese karibu na lambo bar, mamdogo tandika
 
Jamaa mmoja hapa mtaani kwetu anakula dada mtu na mdogo wake wa kiume, huu ni udhalilishaji wa aina yake kwa mkewe na familia nzima, hata kama shemeji yako ana tabia za kishoga huwezi kutembea naye wakati dadaake ndio mke wako wa ndoa! Huu ni ufirauni uliopitiliza

Mkuu kakuambia utangazeee?wabongo bana fanyeni yenu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom