mamsapkhan
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 843
- 267
Bora huyo anakuchangia anaetaka na ww uchangie kuna wengine ht wazo hawana wanapenda kupewa na wanawake
Umemsoma hapo kwenye uhakika kwamba hana mchepuko? uhakika? unapataje huu uhakika? na wewe una uhakika unisaidie hapo?
Nimechanganyikiwa
Ndio mzabzab ni mkaka wa pekee sana coz mara ya kwanza nilihisi ana matatizo labda?bt ukweli nilijikaza kumuuliza ,alinieleza kuwa na ndio sababu wanawake wengi wanaishia kulambwa tu then wanaachwa na akasema yy ni mzima na nathibisha huwa nikikaa nae kwa muda mood yake inabadilika ananifukuza et asije akatenda zambi
Wanataka haki sawa kwenye kutumia tu mkuu.aisee nazidi kukupenda bure!! Hapo ndio wananishangaza baadhi ya wanawake mnalilia haki sawa mnapewa hyo hakisawa bado tena mnalalama.
Daah!!1 year alafu anakua na kaubahili kama hujawai mpa papuchi mpe utaona mabadiliko wachache mno ambao huthamini kitu ambacho hajakionja
hapana hatuishi pamoja,mara ya kwanza kila mtu alikuwa anaishi kwao lkn nilimshauri apange kabla ya kuanza kufikira mahali,na ni mtu wa kwanza kusaport tatizo ni kinyongo moyon cha kutoa mahela yangu wakati yy alitakiwa awe na vitu vyake sikukataa kununua na bado pango nimetoa nusu ya pesa but nilikuwa naumia why?ukweli sijawahi kugegenda na huyu mwanaume coz ameshika dini balaa lakin si kwamba sijawahi gegedwa nishakuwa na mtu before,nashukuru kwa kunifungua macho BILLGOG,ASANTE KWA USHAURI WAKO BIG UP NA MOYO WANGU UMETULIA