hizo ndio haki sawa tunazozililia kila siku........50/50
bado sijaliona tatizo mimi
HABARI ZENU NDUGU ZANGU WA HUMU NDANI,
Ni mara ya kwanza kupost humu ndani ,wanaume ni changamoto,iko hivi:-
Kwanza namshukuru Mungu sijawahi kutendwa hata siku moja,ila sijisifu nilikwisha acha mtu nahiyo nisababu zilizo nje ya uwezo wangu,ushauri wenu niko na mwaume mwingine 1 year sasa ,anaupendo,ni mcha mungu,na anatangaza nia ya kuoa ,kabla sijaendelea weakness kubwa niliyoona huyu mwanaume mfano pango la nyumba tulipie sawa I mean pesa kiasi yake,na yangu,vitu atataka nijumuike kununua sawa,kibaya zaidi hajawahi kunicare hata shilling sijawahi kugusa,mwanaume ninauhakika hana michepuko,ananipenda,ni mcha mungu,handsome,ila tatizo ni hilo ushauri wenu jamani maana usiingie kichwakichwa kwenye ndoa
nijibuje vizuri!!!!!!!!!!!
naendelea vizuri
HABARI ZENU NDUGU ZANGU WA HUMU NDANI,
Ni mara ya kwanza kupost humu ndani ,wanaume ni changamoto,iko hivi:-
Kwanza namshukuru Mungu sijawahi kutendwa hata siku moja,ila sijisifu nilikwisha acha mtu nahiyo nisababu zilizo nje ya uwezo wangu,ushauri wenu niko na mwaume mwingine 1 year sasa ,anaupendo,ni mcha mungu,na anatangaza nia ya kuoa ,kabla sijaendelea weakness kubwa niliyoona huyu mwanaume mfano pango la nyumba tulipie sawa I mean pesa kiasi yake,na yangu,vitu atataka nijumuike kununua sawa,kibaya zaidi hajawahi kunicare hata shilling sijawahi kugusa,mwanaume ninauhakika hana michepuko,ananipenda,ni mcha mungu,handsome,ila tatizo ni hilo ushauri wenu jamani maana usiingie kichwakichwa kwenye ndoa
hizo ndio haki sawa tunazozililia kila siku........50/50
bado sijaliona tatizo mimi
50 50 inataka moyo wa ndugu na kamwe hatuwezi kuifikia katika mfumo dume wa jamii za kiafrika. Mnaishia kubania kwenye matumizi wakati kazi za nyumbani zote ni za Mwanamke? Ukweli mwanamke anapaswa kuchangia km ana kipato ila mwanaume anapaswa walau aonyeshe na atimize above 50. Raha ya mahusiano hasa kwa Mwanamke ni namna mwanaume anavyoonesha juhudi kusimamia mambo ya ndani bila kujali kipato cha mkewe (hii ni kiafrika zaidi)
HABARI ZENU NDUGU ZANGU WA HUMU NDANI,
Ni mara ya kwanza kupost humu ndani ,wanaume ni changamoto,iko hivi:-
Kwanza namshukuru Mungu sijawahi kutendwa hata siku moja,ila sijisifu nilikwisha acha mtu nahiyo nisababu zilizo nje ya uwezo wangu,ushauri wenu niko na mwaume mwingine 1 year sasa ,anaupendo,ni mcha mungu,na anatangaza nia ya kuoa ,kabla sijaendelea weakness kubwa niliyoona huyu mwanaume mfano pango la nyumba tulipie sawa I mean pesa kiasi yake,na yangu,vitu atataka nijumuike kununua sawa,kibaya zaidi hajawahi kunicare hata shilling sijawahi kugusa,mwanaume ninauhakika hana michepuko,ananipenda,ni mcha mungu,handsome,ila tatizo ni hilo ushauri wenu jamani maana usiingie kichwakichwa kwenye ndoa
Inawezekana haiwezekani 5050 lakini ni wengi hata 10 hawapendi alaf utasikia tunataka haki sawa.
na kidume ndalama palije
Ivi upogo mkuu!??
Watakaokuelewa ni wachache!