Huu ni mtihani kwangu naomba ushauri

Huu ni mtihani kwangu naomba ushauri

Ndan ya box

Senior Member
Joined
Jun 2, 2014
Posts
159
Reaction score
44
HABARI ZENU NDUGU ZANGU WA HUMU NDANI,

Ni mara ya kwanza kupost humu ndani ,wanaume ni changamoto,iko hivi:-
Kwanza namshukuru Mungu sijawahi kutendwa hata siku moja,ila sijisifu nilikwisha acha mtu nahiyo nisababu zilizo nje ya uwezo wangu,ushauri wenu niko na mwaume mwingine 1 year sasa ,anaupendo,ni mcha mungu,na anatangaza nia ya kuoa ,kabla sijaendelea weakness kubwa niliyoona huyu mwanaume mfano pango la nyumba tulipie sawa I mean pesa kiasi yake,na yangu,vitu atataka nijumuike kununua sawa,kibaya zaidi hajawahi kunicare hata shilling sijawahi kugusa,mwanaume ninauhakika hana michepuko,ananipenda,ni mcha mungu,handsome,ila tatizo ni hilo ushauri wenu jamani maana usiingie kichwakichwa kwenye ndoa
 
Watakaokuelewa ni wachache!
HABARI ZENU NDUGU ZANGU WA HUMU NDANI,ni mara ya kwanza kupost humu ndani ,wanaume ni changamoto,iko hivi

Kwanza namshukuru Mungu sijawahi kutendwa hata siku moja,ila sijisifu nilikwisha acha mtu nahiyo nisababu zilizo nje ya uwezo wangu,ushauri wenu niko na mwaume mwingine 1 year sasa ,anaupendo,ni mcha mungu,na anatangaza nia ya kuoa ,kabla sijaendelea weaknes kubwa niliyoona huyu mwanaume mfano pango la nyumba tulipie sawa i mean pesa kiasi yake,na yangu,vitu atataka nijumuike kununua sawa,kibaya zaidi hajawahi kunicare hata shiling sijawah kugusa,mwanaume ninauhakika hana michepuko,ananipenda,ni mcha mungu,handsome,ila tatizo ni hilo ushauri wenu jamani maana usiingie kichwakichwa kwenye ndoa
 
hizo ndio haki sawa tunazozililia kila siku........50/50

bado sijaliona tatizo mimi

aisee nazidi kukupenda bure!! Hapo ndio wananishangaza baadhi ya wanawake mnalilia haki sawa mnapewa hyo hakisawa bado tena mnalalama.
 
HABARI ZENU NDUGU ZANGU WA HUMU NDANI,ni mara ya kwanza kupost humu ndani ,wanaume ni changamoto,iko hivi

Kwanza namshukuru Mungu sijawahi kutendwa hata siku moja,ila sijisifu nilikwisha acha mtu nahiyo nisababu zilizo nje ya uwezo wangu,ushauri wenu niko na mwaume mwingine 1 year sasa ,anaupendo,ni mcha mungu,na anatangaza nia ya kuoa ,kabla sijaendelea weaknes kubwa niliyoona huyu mwanaume mfano pango la nyumba tulipie sawa i mean pesa kiasi yake,na yangu,vitu atataka nijumuike kununua sawa,kibaya zaidi hajawahi kunicare hata shiling sijawah kugusa,mwanaume ninauhakika hana michepuko,ananipenda,ni mcha mungu,handsome,ila tatizo ni hilo ushauri wenu jamani maana usiingie kichwakichwa kwenye ndoa

basi achana naye kamtafute atakayekuwa anatoa kila kitu.

Au nipm namba yako mm ntakucare mpaka ufurahi ila masharit ni. Mimba halafu unaenda kukaa kwenu si ntakuwa nmegharamia kila kitu
 
hizo ndio haki sawa tunazozililia kila siku........50/50

bado sijaliona tatizo mimi

bebi,, u rock ma world... na mwanaume akijua una attitude hiyo mbona hata atm password anakuachia,,, ila attitude ya kibuzbuz inaonyesha malengo ya mwanamke
 
hahaha hapo ndo inakuwa ndoano kama mwanaume ni kichwa basi afanye majukumu yake looo hata kama ni kusaidiana hii imezidi heshima yako ni nini?kugegenda au?mwanaume weka heshima na si kuweka mimba,tena wanaume msijidanganye mtazidiwa na wanaume
 
inaonekana wewe ni mwanamke mzigo au zigo.....loading error.....
 
Mie naona anatenda haki ili wote mtaute kwa jasho na ni bora huyo kuliko mwanaume anaeyekupa kila kitu then anakuwa anakusimanga
 
Huyo mwanaume inaelekea anaanza maisha, so 50/50 ndo inabidi ihusike sana, ila mbeleni mamb yakikaa vizuri ataanza kuplay part yake.

BTW, huoni ukichangia na wewe unakuwa na sauti kwenye hyo nyumba? Maswala ya kufukuzwa kama mbwa yanaisha.

Unapoteza bahati mdada
 
BULLDOG umeeleweka tena ww umenielewa nilichopost chukua AMINA KUBWA
 
Ni makosa kuishi pamoja kabla ya ndoa ndio maana mnachangia.
 
Unapenda kuhongwa kama unamiss kuhongwa piga mchepuko utahongwa mpaka ukimbie ila utatumika mpaka uchakae
 
hahaha hapo ndo inakuwa ndoano kama mwanaume ni kichwa basi afanye majukumu yake looo hata kama ni kusaidiana hii imezidi heshima yako ni nini?kugegenda au?mwanaume weka heshima na si kuweka mimba,tena wanaume msijidanganye mtazidiwa na wanaume

ebwana wee....kweli heshima ya mwanaume kutumia pesa na kugegeda sio kutia mimba....
 
hapana hatuishi pamoja,mara ya kwanza kila mtu alikuwa anaishi kwao lkn nilimshauri apange kabla ya kuanza kufikira mahali,na ni mtu wa kwanza kusaport tatizo ni kinyongo moyon cha kutoa mahela yangu wakati yy alitakiwa awe na vitu vyake sikukataa kununua na bado pango nimetoa nusu ya pesa but nilikuwa naumia why?ukweli sijawahi kugegenda na huyu mwanaume coz ameshika dini balaa lakin si kwamba sijawahi gegedwa nishakuwa na mtu before,nashukuru kwa kunifungua macho BILLGOG,ASANTE KWA USHAURI WAKO BIG UP NA MOYO WANGU UMETULIA
 
Back
Top Bottom