Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,117
- 165,385
Kazi ipo na hizi ndoa....
Ndio mzabzab ni mkaka wa pekee sana coz mara ya kwanza nilihisi ana matatizo labda?bt ukweli nilijikaza kumuuliza ,alinieleza kuwa na ndio sababu wanawake wengi wanaishia kulambwa tu then wanaachwa na akasema yy ni mzima na nathibisha huwa nikikaa nae kwa muda mood yake inabadilika ananifukuza et asije akatenda zambi
HABARI ZENU NDUGU ZANGU WA HUMU NDANI,
Ni mara ya kwanza kupost humu ndani ,wanaume ni changamoto,iko hivi:-
Kwanza namshukuru Mungu sijawahi kutendwa hata siku moja,ila sijisifu nilikwisha acha mtu nahiyo nisababu zilizo nje ya uwezo wangu,ushauri wenu niko na mwaume mwingine 1 year sasa ,anaupendo,ni mcha mungu,na anatangaza nia ya kuoa ,kabla sijaendelea weakness kubwa niliyoona huyu mwanaume mfano pango la nyumba tulipie sawa I mean pesa kiasi yake,na yangu,vitu atataka nijumuike kununua sawa,kibaya zaidi hajawahi kunicare hata shilling sijawahi kugusa,mwanaume ninauhakika hana michepuko,ananipenda,ni mcha mungu,handsome,ila tatizo ni hilo ushauri wenu jamani maana usiingie kichwakichwa kwenye ndoa
Nimechanganyikiwa
Ndio mzabzab ni mkaka wa pekee sana coz mara ya kwanza nilihisi ana matatizo labda?bt ukweli nilijikaza kumuuliza ,alinieleza kuwa na ndio sababu wanawake wengi wanaishia kulambwa tu then wanaachwa na akasema yy ni mzima na nathibisha huwa nikikaa nae kwa muda mood yake inabadilika ananifukuza et asije akatenda zambi
HABARI ZENU NDUGU ZANGU WA HUMU NDANI,
Ni mara ya kwanza kupost humu ndani ,wanaume ni changamoto,iko hivi:-
Kwanza namshukuru Mungu sijawahi kutendwa hata siku moja,ila sijisifu nilikwisha acha mtu nahiyo nisababu zilizo nje ya uwezo wangu,ushauri wenu niko na mwaume mwingine 1 year sasa ,anaupendo,ni mcha mungu,na anatangaza nia ya kuoa ,kabla sijaendelea weakness kubwa niliyoona huyu mwanaume mfano pango la nyumba tulipie sawa I mean pesa kiasi yake,na yangu,vitu atataka nijumuike kununua sawa,kibaya zaidi hajawahi kunicare hata shilling sijawahi kugusa,mwanaume ninauhakika hana michepuko,ananipenda,ni mcha mungu,handsome,ila tatizo ni hilo ushauri wenu jamani maana usiingie kichwakichwa kwenye ndoa
hizo ndio haki sawa tunazozililia kila siku........50/50
bado sijaliona tatizo mimi
Jibu zuri. Vp unaendeleaje?
kudadeki! binti anataka kidume amwage ndalama
HABARI ZENU NDUGU ZANGU WA HUMU NDANI,
Ni mara ya kwanza kupost humu ndani ,wanaume ni changamoto,iko hivi:-
Kwanza namshukuru Mungu sijawahi kutendwa hata siku moja,ila sijisifu nilikwisha acha mtu nahiyo nisababu zilizo nje ya uwezo wangu,ushauri wenu niko na mwaume mwingine 1 year sasa ,anaupendo,ni mcha mungu,na anatangaza nia ya kuoa ,kabla sijaendelea weakness kubwa niliyoona huyu mwanaume mfano pango la nyumba tulipie sawa I mean pesa kiasi yake,na yangu,vitu atataka nijumuike kununua sawa,kibaya zaidi hajawahi kunicare hata shilling sijawahi kugusa,mwanaume ninauhakika hana michepuko,ananipenda,ni mcha mungu,handsome,ila tatizo ni hilo ushauri wenu jamani maana usiingie kichwakichwa kwenye ndoa
bebi,, u rock ma world... na mwanaume akijua una attitude hiyo mbona hata atm password anakuachia,,, ila attitude ya kibuzbuz inaonyesha malengo ya mwanamke
kudadeki! binti anataka kidume amwage ndalama
hahaha hapo ndo inakuwa ndoano kama mwanaume ni kichwa basi afanye majukumu yake looo hata kama ni kusaidiana hii imezidi heshima yako ni nini?kugegenda au?mwanaume weka heshima na si kuweka mimba,tena wanaume msijidanganye mtazidiwa na wanaume