REALITY
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 4,391
- 1,964
HI
Unajua sometimes wanadamu hatusemi nini kile ambacho ndicho tunajaribu ficha tukitafakari ukweli ni nini, mimi huwa nawapenda wote kama ndugu zangu, marafiki, majamaa, wazazi, walimu na n.k, huwa kuna watu wanasema reality huwa anapenda.
Kuwakashifu, kuwatukana, kuwaponda, kuwadhihaki, kuwaudhi, kuwasema, kuwakejeli wanawake no i love you all of you , evenly salt miss neddy mtani wangu miss chagga i love you all is just a media we socialize we dont mess take it easy ,it means mnapenda umalaya? au nyie malaya its not i just hate it na for sure hatujengi.
Lets build then kuna madogo wanaingia humu ndani wanacopy, ubongo unakua unabuild some facts, tuwe real.
Mfano Heaven Sent very smart namkubali yeye because anajaribu kuweka mfumo sawa, miss chagga my best actress napenda style yake.
Don't take things so serious people are acting, tujenge jamii katika maadili tuthamini utu its more than a score.
Ninayempenda sana sana JF ni yule ambaye hatoruhusu upotoshaji bali kuunga hoja za kujenga.
I LOVE YOU ALL
Unajua sometimes wanadamu hatusemi nini kile ambacho ndicho tunajaribu ficha tukitafakari ukweli ni nini, mimi huwa nawapenda wote kama ndugu zangu, marafiki, majamaa, wazazi, walimu na n.k, huwa kuna watu wanasema reality huwa anapenda.
Kuwakashifu, kuwatukana, kuwaponda, kuwadhihaki, kuwaudhi, kuwasema, kuwakejeli wanawake no i love you all of you , evenly salt miss neddy mtani wangu miss chagga i love you all is just a media we socialize we dont mess take it easy ,it means mnapenda umalaya? au nyie malaya its not i just hate it na for sure hatujengi.
Lets build then kuna madogo wanaingia humu ndani wanacopy, ubongo unakua unabuild some facts, tuwe real.
Mfano Heaven Sent very smart namkubali yeye because anajaribu kuweka mfumo sawa, miss chagga my best actress napenda style yake.
Don't take things so serious people are acting, tujenge jamii katika maadili tuthamini utu its more than a score.
Ninayempenda sana sana JF ni yule ambaye hatoruhusu upotoshaji bali kuunga hoja za kujenga.
I LOVE YOU ALL