mm jana nlpoona nilicheka zaid ya lisaa!jaman had aibu !nadhan ni phobia pia nayo !Mimi nilifikiri ni Photoshop
Acha kupangia watu namna ya kuishi wewe inakuuma nini?Huu ni ushamba.
Hii ndio inatufanya watu wa mkoa wa Mara tunaonekana wote washamba.
Hahahahaha we acha tu kweli wahenga walisema "kua uyaone"mm jana nlpoona nilicheka zaid ya lisaa!jaman had aibu !nadhan ni phobia pia nayo !
Punguza kukurupukia watu dogo.Acha kupangia watu namna ya kuishi wewe inakuuma nini?
Punguza kukurupukia watu dogo.
Ukiona mtu ametoa maoni yake mahali na hayajakufurahisha, unajikataa tu kiroho safi.
Uliambiwa ukubwa au udogo unategemea umezaliwa lini??Acha kuniita dogo naweza kuwa baba yako mtoto wangu wa mwisho 1988 sasa punguza jaziba
Sawa kijana ya nini tushushiane heshima kwa mambo madogo kiasi hiki?Duu Huyo ndio Lugola
Udhalilishaji wa bendera yetu..........!!! mzee wa kuvaa kininja.....!!View attachment 803222
Jamaa kachukua vibendera vya Tanzania kaenda kushonea mifuko ya shati kuonyesha uzalendo, au?
Afadhali hata shati lingekuwa lina rangi angalau mojawapo ya bendera, maana inaonekana ni kituko cha fashion sasa.
Kwa nini isiwe Marauyo mbona kama katoka mwanza