Huu ndio uzalendo wa kweli?

Synthesizer

JF-Expert Member
Feb 15, 2010
11,023
18,566
upload_2018-7-5_18-53-16.png


Jamaa kachukua vibendera vya Tanzania kaenda kushonea mifuko ya shati kuonyesha uzalendo, au?

Afadhali hata shati lingekuwa lina rangi angalau mojawapo ya bendera, maana inaonekana ni kituko cha fashion sasa.
 
Ni kupoteza muda kumshangaa mtu ambaye mshipa wa aibu umekata
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom