Synthesizer
JF-Expert Member
- Feb 15, 2010
- 11,023
- 18,566
Jamaa kachukua vibendera vya Tanzania kaenda kushonea mifuko ya shati kuonyesha uzalendo, au?
Afadhali hata shati lingekuwa lina rangi angalau mojawapo ya bendera, maana inaonekana ni kituko cha fashion sasa.