Inaonekana hujui hata kwanini nabii Ibrahim anaitwa baba wa Imani. Kazi aliyo ifanya ni kubwa sana, na aliitwa "Umma" hali yakuwa ni mmoja.Baba wa Imani Yesu Kristo
Biblia inatamka wazi kuwa imani huja kwa kusikia neno LA Kristo sio la Ibrahim
Narudia kusema rudi ukatubu ewe Nabii feki unayepotosha kondoo wa Bwana! Wewe si mkristu maana ungelijua maana ya Sadaka ya Kristu Paska aliyeitoa pale msalabani usingefanya hayo maovu yako!Kama Kweli una Imani nenda kamkemee Lutu Kwa Kuzaa na binti zake.
Yesu hakuja kubatilisha agano la kale.
Umekosa hoja ndio maana unakuja Na matusi.
Ujumbe umekuingia bila Shaka ndio maana ume panic
Nafsi yako haitaki kuukubali ukweli
Utaijua Kweli nayo Kweli itakuweka huru
Hujaeleweka mkuuNarudia kusema rudi ukatubu ewe Nabii feki unayepotosha kondoo wa Bwana! Wewe si mkristu maana ungelijua maana ya Sadaka ya Kristu Paska aliyeitoa pale msalabani usingefanya hayo maovu yako!
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
HUYO LUTH ALIZAA NA BINTI ZAKE KWA KUPENDA?? AU WALIMPA POMBE WAKAMBAKA BABA YAO???
Wana tofauti Gani Na manabii WA kwenye bible ambao walikuwa wanazaa Na dada zao Na binti zao?Bongo kuna manabii? loh hawa wapiga miuno na wake za watu na wapaka mafuta ya alizeti? loh mmepigwa sana shtukeni kima nyie hakuna nabii wala mtume ni wajasiriamali tu , mtakuja kunishukuru baadaye
Sababu ni mpuuzi kama nabii tito.Sababu?