Huu ndio Ulinzi wa Rais Samia Suluhu

Huu ndio Ulinzi wa Rais Samia Suluhu

Kwahiyo maana ya ulinzi ni kuwa anayelindwa au kujiwekea ulinzi kamfanyia mtu ubaya.

Thinking ya hovyo sana hii kupata kutokea Duniani
Hii yako ni reply ya Ovyo sana kuwahi kuandikwa, Ulinzi una kiwango chake,
Ukizidi sana unatia shaka ba kujiamini kwako.
 
Hawajui wanakubali au wanapinga Nini kwenye serikali ya CCM, wao kudandia kila tukio. Utawaona kesho wanavyopinga Tena kila kitu.
Hao hao walishaanza kusema oh havai barakoa!! Angevaa barakoa wangesema mbona anavaa barakoa wakati alikuwa havai!! Biblia inasema msishindane na mtu mwovu!! Acha waseme mwisho watachoka!
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa na walinzi wake akiwasili Chato kwa ajili ya kushiriki mazishi ya Hayati John Pombe Magufuli.

Nimependa jinsi ulinzi wa Rais Samia ulivyo, yaani hakuna mbwembwe nyingi kama za mtangulizi wake. PSU ya Rais Samia naipa kongole kubwa[emoji91]
View attachment 1734785
Namuona Gerson Msigwa hapo kushoto. Mlinzi wa pili kutoka kushoto 'chuma' kinachungulia kiunoni!
 
Waache kuleta utani, mama apewe ulinzi wa kutosha ikiwemo makomandoo. Bado kuna genge haliamini na halitaki kukubali kuwa mama ndiye raisi kwa sasa. Hilo genge lisije kumdhuru rais
Mkuu huamini keamba hao waliovaa SUTI siyo makomando?

Angalia ulinzi wa Kiduku,Kim Jong kama utaona watu wamebeba Ak47 na silaha nzito.
 
Kuna watu wanasahau kabisa kuwa Na Huyo Adc mbali ya kuwa mpambe!!!! Ni kanal wa jeshi pia mwenye mafunzo ya kutosha!!!!!!......

Maana mpka unafika level ya kanal sio poa asee!!! If ujabebwa!!!!!
 
Ha ha! Mkuu Kuna uzi humu was walinzi wa viongozi fatilia utayaona hayo mabunduki si kila muda lazima wafiche hata wakati wa magu sio kila muda hao jamaa walikuwepo... Mbona hili swala mnataka kulifanya Kama kufuru!! Nyie mnataka mfanane na kina amerika wakati ubavu huo haupo kwa sasa..😅

Mkuu tufanye yanayotuhusu haya mengine tuwaachie wanaojua.
Hoja imekuwa ulinzi ni dhambi Duniani wana akili zakijinga

Nakuwaga agausti Magu ila si sapoti huu upuuzi wao.
 
Wengine tushaambiwa tuna IQ hafifu watu wanachukulia rahisi mno hivyo vitu dunia ya leo hakuna CiC mwenye ukuta mwepesi.
Mkuu kuongoza watu ni shughuli pevu! Huyu atasema lake hii ni sawa na ku craim familia fulani kila siku inakuka vizuri au vibaya! Kama huelewi economic status yao au maamuzi yao utaona wanachofanya ni upuuzi tu! Wao kufanya hivyo wanaelewa situation yao so sisi tusiojua wanakabiliana na nini tuangalie tu.. humu kila mtu na akili yake Kuna watu vichwa mbovu mbaya..🤣🤣 kila kitu wao pinga tu.

Samia mwenyewe hao jamaa niliwacheki kwenye msafara wake sahivi wanamponda jiwe na kusema huku smart...🤣🤣 Vitu vyengine ujinga tu..
 
Hoja imekuwa ulinzi ni dhambi Duniani wana akili zakijinga

Nakuwaga agausti Magu ila si sapoti huu upuuzi wao.
Watu wengine wakikosa cha kunena watapinga hata wasiyoyajua..😂
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa na walinzi wake akiwasili Chato kwa ajili ya kushiriki mazishi ya Hayati John Pombe Magufuli.

Nimependa jinsi ulinzi wa Rais Samia ulivyo, yaani hakuna mbwembwe nyingi kama za mtangulizi wake. PSU ya Rais Samia naipa kongole kubwa[emoji91]
View attachment 1734785
Suala la kuwa na ulinzi mkali linategemea na tabia za Rais au kiongozi mwenyewe jinsi anavyoishi na watu,anaweza akawatengeneza maadui yeye mwenyewe na akawa anaogopa hatima ya usalama wake na ndio kupeleka kuwa na maulinzi makubwa,ama anaweza akatengeneza marafiki wengi watu Safi na uhusiano mzuri na raia wake na hi ikapelekea kuwa na ulinzi wa kawaida.
Ni mapema mno Samia kumpa sifa hiyo,so long as yeye Ni CCM ,na CCM Ni ileile.tusubiri tuone.
 
Mkuu huamini keamba hao waliovaa SUTI siyo makomando?

Angalia ulinzi wa Kiduku,Kim Jong kama utaona watu wamebeba Ak47 na silaha nzito.
Pamoja na ukomandoo wao, mama anastahili kulindwa kwa nguvu zote hata kama ikibidi walinzi wabebe RPG basi wazibebe tu maana hakuna namna, sina Imani na genge lililokuwa likimlamba viatu Magufuli, linaweza kujaribu kurudi tena kwenye kiti kwa kupitia mlango wa nyuma, tuwe makini nalo!
 
Kwahiyo maana ya ulinzi ni kuwa anayelindwa au kujiwekea ulinzi kamfanyia mtu ubaya.

Thinking ya hovyo sana hii kupata kutokea Duniani
Kwanza ni matumizi mabaya ya fedha za umma na pili kutokujiamini kama kweli unakubalika na jamii.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa na walinzi wake akiwasili Chato kwa ajili ya kushiriki mazishi ya Hayati John Pombe Magufuli.

Nimependa jinsi ulinzi wa Rais Samia ulivyo, yaani hakuna mbwembwe nyingi kama za mtangulizi wake. PSU ya Rais Samia naipa kongole kubwa[emoji91]
View attachment 1734785

Hahahaha kamanda bwana hao ni ambao unawaona tuu hapo..wale wajeda wapo pembeni kabisa na mitutu yao! Ni kuhakikishie ulinzi wa Rais hajabadilika zaidi umeongezwa!
 
Hafui dafu hata kwa Konde Boy na wale Wamakonde wake wafyatyua matofali na waponda zege Mbagala!!
 
Fisadi utamjua tu!! Miradi yote iko kwenye ilani ya uchaguzi ya CCM. Wananchi waliiweka madarakani serikali kwa mujibu wa ushawishi wa ilani ya uchaguzi. Rais Magufuli alikuwa hatekelezi mradi wowote nje ya ilani ya uchaguzi. Kutokutekeleza ilani ya uchaguzi ni utapeli. Mawazo yako ni ya kitapeli na hayana nafasi ya kusikilizwa!!
Na ule uwanja wa ndege pia ilikuwa kwenye ilani na sasa utafanya kazi gani wataanikia mpunga.
 
Back
Top Bottom