Huu ndio mtandao unaoimiliki Simba Trust!!

Huu ndio mtandao unaoimiliki Simba Trust!!

Kwa TSN supermarket na UDA sio kweli.
Ukweli ni upi ? Hii Simba Trust wakati wa sakata la Escorow mtoto wa Mkwere huyu anayependa kukaa Kinondoni na mateja au Coco Beach na kina Suma Lee alitajwa ,hili la Uda toto lingine la mkwere nene nene hivi lilitukana watu wakati wa uchaguzi nae anatajwa kama mmoja sijui wa wamiliki au mkurugenzi blah blah blah
 
Ambaye hajakuelewa hata siku ya kiama ikifika hataelewa, na hata Yesu akirudi wala hataelewa!
Outwardly hawa watu wanajitahidi kujionyesha kwamba ni watu wazuri lakini kiukweli huenda ni watu wabaya sana na ni muda utatupa ukweli huu! Zamani niliamini eti wezi ni watu 'wanaokunja' sura kumbe 'charming faces' ni wabaya zaidi aisee!

Ndio mabingwa wa kuvuruga chaguzi kwa matokeo feki kutoka kwa team yao ya marope.

Maana EL anayajua yote haya vizuri; asingewezapenya, heri punda afe mzigo ufike kuliko hili genge kutundikwa kisheria.

Namshangaa uchwara anashughulika na mkataba wa TICS huku nchi inateketea akijua moto unatoka wapi.
 
Mleta mada ni mnafiki sana. Nyie mnatumia hisia badala ya kuweka documents. Sasa mnamsakama JK wakati huo huo mnasema alikuwa rais bora, so which is which?? Mwacheni JK apumzike!
Mwizi mwenzio haguswi na serikali aliyoiweka madarakani
 
Misijui mkuu...
Ebu sivute sikio...
sijui kuhusu simba trust,
ila trust company ni kama wewe una mali yako hutaki kuiendesha unatafuta kampuni inakuendeshea kampuni yako kwa kila kitu,it means responsibility yote ya management inakuwa juu ya Trustee,wewe unakuwa huhusiki.
Sasa trust company si kitu cha ajabu tena kuna wakati ilitolewa amri kuwa viongozi wanaofanya biashara wajitoe katika biashara ili wafokasi zaidi katika kazi,ilitakiwa either uuze biashara yako,ufunge ama ukabidhi watu wakuendeshee,kwamaana sasa hapo Trust company ndo inaingia.
So sijui kuhusu simba trust pengine ni kampuni inayomanage biashara za watu mbalimbali.
Ila tena inaonekana hiyo kampuni haipo toka mwaka 2010,sasa mleta mada atakuwa anajitungia
 
Hatari sana, hii vita ya ufisadi kutoka kwa JPM ni unafiki tu.
 
JAKAYA KIKWETE, SALMA KIKWETE, Na watoto wao ndio wamiliki wa SIMBA TRUST,

Kwenye Orodha ya wakwapuaji wa Pesa za Escrow Mama Salma anaonekana kuchota pesa.

TSN Supermarket Mama Salma ameonekana.

Jengo la ROCKY CITY MALL -Mama Salma alimwambia Mkuu wa Mkoa Magesa Mlongo kuwa ahakikishe anamtengea Vizimba vyake humo Jengoni-Na ni kweli TSN Ilipewa Vizimba kadhaa

Halotel- Familia ya JK. ina Hisa humo ndani.

Haya IPTL/PAP =JK. Family...

Yaan Urais wa JK. Kwa miaka Kumi ulikuwa ni wa kupiga deal na mke wake pamoja na familia yake na watu wake wa karibu.
Daaah, kama ni kweli inauma sana kaka.
 
Mimi Hapa sioni shida!! Huu ni uwekezaji ambao umetoa ajira, Unachangia pato la Taifa na Mengine Mengi!! Kama mimi nikiamua kukopa hela na kuanzisha kiwanda na kikawa successful nitakuwa ni Mhujumu? Watanzania tufikirie in three dimension!! Kama Taifa ni muhimu kuwa na wawekezaji ambao watalipa kodi na kutoa ajira!! Kama serekali imeona kuna kitu wamekosea wahojiwe na mara nyingi ni ukwepaji kodi walipe ila sioni tatizo watu kujiunga na kutoa ajira kwa raia wenzetu
Mzee 400 milioni za TANESCO wanalipwa kila siku hazikuumi? Lazima una ngozi ya jiwe.
 
Hizo Huduma za Hisani ni ile kitu inaitwa kutakatisha fedha 'Money Laundry "Ndio mkakati walio nao kwa sasa
 
We muongo sana.Kuna baadhi ya vitu navifahamu humo vyote umeongopa.Acha utoto
Wewe ongea ukweli unaoujua...ukijua huu wenzako wanajua uleeeeeee....usisahau lele na lele ndio mwanzo wa wimbo
 
Wazee wa kujenga jengo la BAKWATA...Wazee wa kupitia Mgongo wa RC Dsm na kulipa Madaktari ili kutoa huduma za Afya bureee Mnazi Mmoja!!Yaani badala ya kuboresha huduma za Hospital,wao wanatengeneza "Bonanza la Kupima Afya za Watu"....

Ndio walewale Wazee wa Reflectors...Waliowakusanya Bodaboda wa Dsm Leaders Club na kuwagawia majaketi ya kuakisi mwanga.Hao ndio walifadhili mechi ya Wabunge wa SIMBA vs YANGA siku ya Jumapili.
Wanafanya huduma za kibinadamu kwa kuwalipa madaktari na kuhudumia kufanyia upasuaji watoto wenye vichwa vikubwa Dsm na Jimbo la Chalinze.

Jamaa ndio "Tigo Pesa na M-Pesa" ya Wabongo wanaofanya biashara China na Tz...Ukienda tu pale Kkoo unawapa madafu wao wanaituma ndani ya dakika moja imefika Uchina kwa njia ya simu.Ndio walioboresha ofisi ya RC Dsm kwa kuweka ndani samani mpyaaaaa na Apple Computer juu ya meza.

Hawagusiki...Kama unataka kurudi kwenu Geita uache jumba jeupe...Basi gusa "mtandao wa Simba Trust"....
Shikamoo mkuu
Huu mziki sijui kama msukuma mwenzangu atauweza maana ni ngumu kumeza kweli kweli
 
Back
Top Bottom