Huu ndio mtandao unaoimiliki Simba Trust!!

Huu ndio mtandao unaoimiliki Simba Trust!!

sijui kuhusu simba trust,
ila trust company ni kama wewe una mali yako hutaki kuiendesha unatafuta kampuni inakuendeshea kampuni yako kwa kila kitu,it means responsibility yote ya management inakuwa juu ya Trustee,wewe unakuwa huhusiki.
Sasa trust company si kitu cha ajabu tena kuna wakati ilitolewa amri kuwa viongozi wanaofanya biashara wajitoe katika biashara ili wafokasi zaidi katika kazi,ilitakiwa either uuze biashara yako,ufunge ama ukabidhi watu wakuendeshee,kwamaana sasa hapo Trust company ndo inaingia.
So sijui kuhusu simba trust pengine ni kampuni inayomanage biashara za watu mbalimbali.
Ila tena inaonekana hiyo kampuni haipo toka mwaka 2010,sasa mleta mada atakuwa anajitungia
Sasa ukikabidhi watu wakuendeshee maana yake ni kwamba wewe uliyekabidhi huna tena chako ? Hii michezo tu ya kutumia kalamu hamna lolote
 
Mimi Hapa sioni shida!! Huu ni uwekezaji ambao umetoa ajira, Unachangia pato la Taifa na Mengine Mengi!! Kama mimi nikiamua kukopa hela na kuanzisha kiwanda na kikawa successful nitakuwa ni Mhujumu? Watanzania tufikirie in three dimension!! Kama Taifa ni muhimu kuwa na wawekezaji ambao watalipa kodi na kutoa ajira!! Kama serekali imeona kuna kitu wamekosea wahojiwe na mara nyingi ni ukwepaji kodi walipe ila sioni tatizo watu kujiunga na kutoa ajira kwa raia wenzetu
Sidhan kama umeolewa hata chembe ya maada mzima mkuu
Read btn the lines tafadhali
 
Mudawote, haya ni maslahi ya taifa. Haipaswi kusafisha watu individual ili kufunika kombe. Humu wachangiaji wengi hawana vyama ila kila wakienda against chama tawala au baadhi ya viongozi wa serikali basi wanaonekana ni Chadema na wala siyo hata vyama vingine.
Kuhusu Simba Trust, ujue siyo watu wa TIS tu ndo wamefundishwa jinsi ya ku hack mitandao ya watu. Kuna watoto wengi wa kitanzania wanauwezo wa kufanya hivyo. Wengine humu nchini, wengine nje ya nchi. Wanaona kinachoendelea. Watu wananyamaza sababu wanaprotect ndugu zao waliopo vijijini na makazini
Nafurahi unapenda chama chako ambacho sisi wengine labda ni kati ya waanzilishi baada ya Tanu na Afro kuungana. lakini kadiri muda ulivyoenda tulijikuta hatuendi tulivyoanza ndo tukaacha siasa. Mimi sina chama na sitegemei kununua kadi ya chama. Tulikuwa tunalazimishwa kujiunga na Tanu tangu tukiwa wadogo hivyo siasa ilikuwa sehemu ya maisha. Sasa hivi ni uchaguzi hivyo nyinyi wenye uchaguzi endeleeni ila usimchukulie mtu anayekosoa utendaji wa mahali fulani kama ni chadema tu au mfuasi wa Lowasa. Kama tulivyoona wakati wa kuteua majina, kama jina la Lowasa lingepita, sidhani ungekuja na majina yote unayompa. Mtu hajawahi pelekwa mahakamani na sijui kwa nini sababu ni chama tawala hicho kinachomtuhumu kama fisadi. Badala ya kushinda mitandaoni unatetea watu wabovu, fungua kesi mahakamani kumshitaki Lowasa na watu ambao unadhani wameifikisha nchi hii hapo ilipo. Wewe kwa nafasi yako una uwezo wa kusikilizwa na kesi haitachukua muda, Lowasa atafungwa na atafilisiwa na nchi itakuwa salama. Kwa hili la Simba trust mpaka tujue ni nani mmiliki wake hatutaki utetezi, yatatajwa majina na tunataka wanasheria wa wahusika wajitokeze wapinge haya kama si mahakamani basi hata in public. Naomba mudawote unielewe mimi na siasa mbali mbali nimepitia huko nimestaafu ila nataka ukweli.
Shikamoo mkuu
I owe u nothing than respect
 
Kwa maslahi ya Taifa......

Maswali ni mengi lakini sitakuwa na haja ya Kuwataja hatharani ..

Nipende kuwapa mwanga tu mpate japo kujiridhisha na kufuatilia ni nani hasa mmiliki wa Simba Trust.

Wamiliki wa Simba trust sio kwamba ni wamiliki tu wa hiyo no wako na mtandao mkubwa wa either kumiliki au kuwa na hisa katika makampuni yafuatayo.

1: Precision Air:
Hao hao wamiliki wa Simba trust na genge lao wanaonekana kuwa na hisa ndani ya kampuni hii ya ndege.

2: TSN + GSM :
Ndio pia wamiliki wa makampuni yote ikiwemo TSN super market Kwa kununua hisa na kumiliki share ndani ya makampuni hayo.

3: Azania Bank:
Wamewekeza hisa nyingi pia kwenye hii bank ya Azania amabayo ilikua kwa kasi ndani ya utawala wa awamu ya 4

4: GAPCO+ LAKE OIL
Ni wawekezaji pia kwenye suala la mafuta kwa kuwa na hisa au umiliki wa moja kwa moja

5: TURAWAKA GOLD MINE:
Wawekezaji ndani ya mgodi wa Turawaka walifanikisha kuwafukuza wananchi katika mgodi uo na kujenga uzio .

6: Mgodi wa Tanzanite Arusha :
Pia wamewekeza kwenye mgodi huu baada ya mikataba ya Makaburu kuisha .

7: Ndio wamiliki wa UDA pia ambayo pia ni Kampuni yenye utata wa umiliki wake kwenye hisa zake.

8 : Baadhi ya makampuni ya clearing na forwarding hapo bandarini.

9 : Ndio walishinda zabuni ya ujenzi wa soko la kisasa kule Mwanza (Rock city shopping Mail) kupitia uchochoro wa wachina na kukwapua mamilioni .

10: Ndio wamiliki wa makampuni ya kufanya usafi kwenye halmashauri nyingi nchini karibu kwa asilimia 75% hawa ndio upewa tenda.

Pia ni wawekezaji kwenye shirika letu la nyuma NHC kama mnakumbuka shirika la Nyumba la taifa limekuwa likikopa pesa kwa ajiri ya kujenga Nyumba hasa miradi ya Dodoma kuna mkono wa hawa jamaa.

Pamoja na kwamba umiliki unabadilika badilika kiasi lakini mtandao ndio ule ule unaomiliki Simba Trust. Wanacho kifanya ni kuwatumia watu kufanikisha mambo yao hasa watu wenye asili ya Asia .

Hata ukiangalia kwenye list ya pesa za escrow account zilizogawiwa pale Stanibic bank list ya watu hao ilikuwepo .

Nimetoa kwa ufupi kuepuka kutaja majina kwa sababu za kisheria lakini mkifuatilia kwa makini mtagundua ni wakina Nani wapo nyuma ya hii michezo yote inayoendelea...

Hao ndio wanachukua milioni yetu 400 kila siku pale Tanesco.

Nashauri Rais Magufuli angeanza na hawa , hawa ndio mafisadi ambao wanatakiwa kwenda kwenye mahakama ya mafisadi.

Mungu ibaliki Tanzania...
Aisee!!!!!!!
 
niah inawezekana ukawa unajua ukweli wa siasa za bongo ila ukaamua kuegemea upande fulani. Suala si chama kilichokufa chadema au CUF au ACT au NCCR, suala lililopo mbele yetu watanzania ni Tanzania kuondokana na umasikini. Wewe jiulize kwanza kabla ya Simba Trust, wapinzani wanaopinga chama tawala cha CCM kuwa madarakani wanalipi ktk kuchangia maendeleo ya nchi?? Je unalielewa kiundani suala la Escrow? Je nani yupo nyuma ya pazia ya EPA, IPTL? Je ni njia gani zinafaa kuchukuliwa ili kuondokana na rushwa, uzembe kazini? Je ni njia gani inafaa kufutwa ili kuboresha elimu yetu? Mimi na wewe inawezekana maisha yetu yapo murua (kie elimu pia na kikipato), je walioko vijijini na wasiokuwa na elimu ni nani anawatetea? Je chama mfu chadema wanawatetea au? Kwa sasa ni CCM na Dkt Magufuli tu ndiyo wanasema rushwa mwiko, uzembe mwiko, wanyonge na masikini lazima wapate haki yao. Kama upo Dar ile barabara ya Mwenge kila mtu anakubali kuwa ulikuwa uamuzi sahihi, lakini watu kama wewe mnajaribu kupotosha umma kuwa rais hafanyi kazi.

Tumuache Dkt Magufuli afanye kazi, kila jambo lina muda wake. Yeye ndiye amri jeshi mkuu, anajua kila kitu.
Kiongozi ni wanyonge wapi anaowatetea? Amewanyima watoto wao ajira, amekataa kuwapandisha vyeo /madaraja, hakuna nyongeza ya mishahara huku mfumuko wa bei ukiwa juu. Hospitalini hakuna tiba, elimu imedorora. Maskini wapi anaowatetea ?
 
Mtoa mada nimekuelewa sana ila tuliishaambiwa watalindwa #TatizoNisisi#NaBado#FanyeniKazi#
 
Sasa ukikabidhi watu wakuendeshee maana yake ni kwamba wewe uliyekabidhi huna tena chako ? Hii michezo tu ya kutumia kalamu hamna lolote
sio michezo ya kalamu,ndo trending tu sasa watu wanafanya duniani,sio kitu cha ajabu kivile,ile sema villazer wengi hawaendani na mda,watu wazito duniani kama akina bush,clinton,obama etc hawaendi ofisini kufanya biashara,kuna watu wamewatrust ambao ndo wanarun biashara zao huku wao wako busy na mambo ya foundations za kusaidia jamii
 
JAKAYA KIKWETE, SALMA KIKWETE, Na watoto wao ndio wamiliki wa SIMBA TRUST,

Kwenye Orodha ya wakwapuaji wa Pesa za Escrow Mama Salma anaonekana kuchota pesa.

TSN Supermarket Mama Salma ameonekana.

Jengo la ROCKY CITY MALL -Mama Salma alimwambia Mkuu wa Mkoa Magesa Mlongo kuwa ahakikishe anamtengea Vizimba vyake humo Jengoni-Na ni kweli TSN Ilipewa Vizimba kadhaa

Halotel- Familia ya JK. ina Hisa humo ndani.

Haya IPTL/PAP =JK. Family...

Yaan Urais wa JK. Kwa miaka Kumi ulikuwa ni wa kupiga deal na mke wake pamoja na familia yake na watu wake wa karibu.
Hatari sana kwa watu wenye maisha ya kawaida ila kwa upande wao ni burudani tu. Ila ipo siku mambo yatakuwa poa tu.
 
ba
Wazee wa kujenga jengo la BAKWATA...Wazee wa kupitia Mgongo wa RC Dsm na kulipa Madaktari ili kutoa huduma za Afya bureee Mnazi Mmoja!!Yaani badala ya kuboresha huduma za Hospital,wao wanatengeneza "Bonanza la Kupima Afya za Watu"....

Ndio walewale Wazee wa Reflectors...Waliowakusanya Bodaboda wa Dsm Leaders Club na kuwagawia majaketi ya kuakisi mwanga.Hao ndio walifadhili mechi ya Wabunge wa SIMBA vs YANGA siku ya Jumapili.
Wanafanya huduma za kibinadamu kwa kuwalipa madaktari na kuhudumia kufanyia upasuaji watoto wenye vichwa vikubwa Dsm na Jimbo la Chalinze.

Jamaa ndio "Tigo Pesa na M-Pesa" ya Wabongo wanaofanya biashara China na Tz...Ukienda tu pale Kkoo unawapa madafu wao wanaituma ndani ya dakika moja imefika Uchina kwa njia ya simu.Ndio walioboresha ofisi ya RC Dsm kwa kuweka ndani samani mpyaaaaa na Apple Computer juu ya meza.

Hawagusiki...Kama unataka kurudi kwenu Geita uache jumba jeupe...Basi gusa "mtandao wa Simba Trust"....
 
Wazee wa kujenga jengo la BAKWATA...Wazee wa kupitia Mgongo wa RC Dsm na kulipa Madaktari ili kutoa huduma za Afya bureee Mnazi Mmoja!!Yaani badala ya kuboresha huduma za Hospital,wao wanatengeneza "Bonanza la Kupima Afya za Watu"....
Ndio walewale Wazee wa Reflectors...Waliowakusanya Bodaboda wa Dsm Leaders Club na kuwagawia majaketi ya kuakisi mwanga.Hao ndio walifadhili mechi ya Wabunge wa SIMBA vs YANGA siku ya Jumapili.
Wanafanya huduma za kibinadamu kwa kuwalipa madaktari na kuhudumia kufanyia upasuaji watoto wenye vichwa vikubwa Dsm na Jimbo la Chalinze.

Jamaa ndio "Tigo Pesa na M-Pesa" ya Wabongo wanaofanya biashara China na Tz...Ukienda tu pale Kkoo unawapa madafu wao wanaituma ndani ya dakika moja imefika Uchina kwa njia ya simu.Ndio walioboresha ofisi ya RC Dsm kwa kuweka ndani samani mpyaaaaa na Apple Computer juu ya meza.

Hawagusiki...Kama unataka kurudi kwenu Geita uache jumba jeupe...Basi gusa "mtandao wa Simba Trust"....

Magu amekuwa ni hodari wa kueleza jinsi mafisadi walivyoliibia Taifa letu.Ni busara akafahamu kuwa watu wanazo hints za akina nani wamejeruhi nchi hii kwa kiasi kikubwa.Na kwa kuwa yeye ni mwimbaji wa Chorus ya "msema kweli ni mpenzi wa Mungu" basi atoke atuambie hizi haya yanayosemwa ni "wivu tu wa kike" au ndio ukweli kuwa wao ndiyo wametuibia hadi kutufukisha hapa tulipo ambapo sasa tunaishi kama Mashetani.
 
Kwa maslahi ya Taifa......

Maswali ni mengi lakini sitakuwa na haja ya Kuwataja hatharani ..

Nipende kuwapa mwanga tu mpate japo kujiridhisha na kufuatilia ni nani hasa mmiliki wa Simba Trust.

Wamiliki wa Simba trust sio kwamba ni wamiliki tu wa hiyo no wako na mtandao mkubwa wa either kumiliki au kuwa na hisa katika makampuni yafuatayo.

1: Precision Air:
Hao hao wamiliki wa Simba trust na genge lao wanaonekana kuwa na hisa ndani ya kampuni hii ya ndege.

2: TSN + GSM :
Ndio pia wamiliki wa makampuni yote ikiwemo TSN super market Kwa kununua hisa na kumiliki share ndani ya makampuni hayo.

3: Azania Bank:
Wamewekeza hisa nyingi pia kwenye hii bank ya Azania amabayo ilikua kwa kasi ndani ya utawala wa awamu ya 4

4: GAPCO+ LAKE OIL
Ni wawekezaji pia kwenye suala la mafuta kwa kuwa na hisa au umiliki wa moja kwa moja

5: TURAWAKA GOLD MINE:
Wawekezaji ndani ya mgodi wa Turawaka walifanikisha kuwafukuza wananchi katika mgodi uo na kujenga uzio .

6: Mgodi wa Tanzanite Arusha :
Pia wamewekeza kwenye mgodi huu baada ya mikataba ya Makaburu kuisha .

7: Ndio wamiliki wa UDA pia ambayo pia ni Kampuni yenye utata wa umiliki wake kwenye hisa zake.

8 : Baadhi ya makampuni ya clearing na forwarding hapo bandarini.

9 : Ndio walishinda zabuni ya ujenzi wa soko la kisasa kule Mwanza (Rock city shopping Mail) kupitia uchochoro wa wachina na kukwapua mamilioni .

10: Ndio wamiliki wa makampuni ya kufanya usafi kwenye halmashauri nyingi nchini karibu kwa asilimia 75% hawa ndio upewa tenda.

Pia ni wawekezaji kwenye shirika letu la nyuma NHC kama mnakumbuka shirika la Nyumba la taifa limekuwa likikopa pesa kwa ajiri ya kujenga Nyumba hasa miradi ya Dodoma kuna mkono wa hawa jamaa.

Pamoja na kwamba umiliki unabadilika badilika kiasi lakini mtandao ndio ule ule unaomiliki Simba Trust. Wanacho kifanya ni kuwatumia watu kufanikisha mambo yao hasa watu wenye asili ya Asia .

Hata ukiangalia kwenye list ya pesa za escrow account zilizogawiwa pale Stanibic bank list ya watu hao ilikuwepo .

Nimetoa kwa ufupi kuepuka kutaja majina kwa sababu za kisheria lakini mkifuatilia kwa makini mtagundua ni wakina Nani wapo nyuma ya hii michezo yote inayoendelea...

Hao ndio wanachukua milioni yetu 400 kila siku pale Tanesco.

Nashauri Rais Magufuli angeanza na hawa , hawa ndio mafisadi ambao wanatakiwa kwenda kwenye mahakama ya mafisadi.

Mungu ibaliki Tanzania...
Nimekukubali kama ndo hivo we we balaaa. Mkubwa hakika aanze na hao kwenye ile mahakama mpya. Swali he ATAWEZAAA AU ATATHUBUTU????
 
Wazee wa kujenga jengo la BAKWATA...Wazee wa kupitia Mgongo wa RC Dsm na kulipa Madaktari ili kutoa huduma za Afya bureee Mnazi Mmoja!!Yaani badala ya kuboresha huduma za Hospital,wao wanatengeneza "Bonanza la Kupima Afya za Watu"....

Ndio walewale Wazee wa Reflectors...Waliowakusanya Bodaboda wa Dsm Leaders Club na kuwagawia majaketi ya kuakisi mwanga.Hao ndio walifadhili mechi ya Wabunge wa SIMBA vs YANGA siku ya Jumapili.
Wanafanya huduma za kibinadamu kwa kuwalipa madaktari na kuhudumia kufanyia upasuaji watoto wenye vichwa vikubwa Dsm na Jimbo la Chalinze.

Jamaa ndio "Tigo Pesa na M-Pesa" ya Wabongo wanaofanya biashara China na Tz...Ukienda tu pale Kkoo unawapa madafu wao wanaituma ndani ya dakika moja imefika Uchina kwa njia ya simu.Ndio walioboresha ofisi ya RC Dsm kwa kuweka ndani samani mpyaaaaa na Apple Computer juu ya meza.

Hawagusiki...Kama unataka kurudi kwenu Geita uache jumba jeupe...Basi gusa "mtandao wa Simba Trust"....
Mhhhh. Yatasemwa mengi
 
Kwa maslahi ya Taifa......

Maswali ni mengi lakini sitakuwa na haja ya Kuwataja hatharani ..

Nipende kuwapa mwanga tu mpate japo kujiridhisha na kufuatilia ni nani hasa mmiliki wa Simba Trust.

Wamiliki wa Simba trust sio kwamba ni wamiliki tu wa hiyo no wako na mtandao mkubwa wa either kumiliki au kuwa na hisa katika makampuni yafuatayo.

1: Precision Air:
Hao hao wamiliki wa Simba trust na genge lao wanaonekana kuwa na hisa ndani ya kampuni hii ya ndege.

2: TSN + GSM :
Ndio pia wamiliki wa makampuni yote ikiwemo TSN super market Kwa kununua hisa na kumiliki share ndani ya makampuni hayo.

3: Azania Bank:
Wamewekeza hisa nyingi pia kwenye hii bank ya Azania amabayo ilikua kwa kasi ndani ya utawala wa awamu ya 4

4: GAPCO+ LAKE OIL
Ni wawekezaji pia kwenye suala la mafuta kwa kuwa na hisa au umiliki wa moja kwa moja

5: TURAWAKA GOLD MINE:
Wawekezaji ndani ya mgodi wa Turawaka walifanikisha kuwafukuza wananchi katika mgodi uo na kujenga uzio .

6: Mgodi wa Tanzanite Arusha :
Pia wamewekeza kwenye mgodi huu baada ya mikataba ya Makaburu kuisha .

7: Ndio wamiliki wa UDA pia ambayo pia ni Kampuni yenye utata wa umiliki wake kwenye hisa zake.

8 : Baadhi ya makampuni ya clearing na forwarding hapo bandarini.

9 : Ndio walishinda zabuni ya ujenzi wa soko la kisasa kule Mwanza (Rock city shopping Mail) kupitia uchochoro wa wachina na kukwapua mamilioni .

10: Ndio wamiliki wa makampuni ya kufanya usafi kwenye halmashauri nyingi nchini karibu kwa asilimia 75% hawa ndio upewa tenda.

Pia ni wawekezaji kwenye shirika letu la nyuma NHC kama mnakumbuka shirika la Nyumba la taifa limekuwa likikopa pesa kwa ajiri ya kujenga Nyumba hasa miradi ya Dodoma kuna mkono wa hawa jamaa.

Pamoja na kwamba umiliki unabadilika badilika kiasi lakini mtandao ndio ule ule unaomiliki Simba Trust. Wanacho kifanya ni kuwatumia watu kufanikisha mambo yao hasa watu wenye asili ya Asia .

Hata ukiangalia kwenye list ya pesa za escrow account zilizogawiwa pale Stanibic bank list ya watu hao ilikuwepo .

Nimetoa kwa ufupi kuepuka kutaja majina kwa sababu za kisheria lakini mkifuatilia kwa makini mtagundua ni wakina Nani wapo nyuma ya hii michezo yote inayoendelea...

Hao ndio wanachukua milioni yetu 400 kila siku pale Tanesco.

Nashauri Rais Magufuli angeanza na hawa , hawa ndio mafisadi ambao wanatakiwa kwenda kwenye mahakama ya mafisadi.

Mungu ibaliki Tanzania...
Jk famìly
 
Back
Top Bottom