Hii tabia ya kukanusha mambo bila kuweka ukweli unaufahamu ili tulinganishe si sawa kabisa na si ustaarabu hata kidogo. Kuna mjumbe humu alileta madai kuwa polisi ajira mpya hawajapewa posho wala mshahara. ....baadhi ya binadamu humu walikanusha, lakini wahusika wenywewe walithibitisha kuwa ni kweli hawajapewa chochote.Si uviclarify and point them out badala ya kusema tu juu juu
Mtandao mzito sana huo.. Hata angeingia Hasheem Rungwe asingeugusa.. Wanajijenga wawe kama Rothschild'sWazee wa kujenga jengo la BAKWATA...Wazee wa kupitia Mgongo wa RC Dsm na kulipa Madaktari ili kutoa huduma za Afya bureee Mnazi Mmoja!!Yaani badala ya kuboresha huduma za Hospital,wao wanatengeneza "Bonanza la Kupima Afya za Watu"....
Ndio walewale Wazee wa Reflectors...Waliowakusanya Bodaboda wa Dsm Leaders Club na kuwagawia majaketi ya kuakisi mwanga.Hao ndio walifadhili mechi ya Wabunge wa SIMBA vs YANGA siku ya Jumapili.
Wanafanya huduma za kibinadamu kwa kuwalipa madaktari na kuhudumia kufanyia upasuaji watoto wenye vichwa vikubwa Dsm na Jimbo la Chalinze.
Jamaa ndio "Tigo Pesa na M-Pesa" ya Wabongo wanaofanya biashara China na Tz...Ukienda tu pale Kkoo unawapa madafu wao wanaituma ndani ya dakika moja imefika Uchina kwa njia ya simu.Ndio walioboresha ofisi ya RC Dsm kwa kuweka ndani samani mpyaaaaa na Apple Computer juu ya meza.
Hawagusiki...Kama unataka kurudi kwenu Geita uache jumba jeupe...Basi gusa "mtandao wa Simba Trust"....
Mtandao mzito sana huo.. Hata angeingia Hasheem Rungwe asingeugusa.. Wanajijenga wawe kama Rothschild's wa UK au Rockefeller's wa US.. Hata kuoleana wanaoana wenyewe..Wazee wa kujenga jengo la BAKWATA...Wazee wa kupitia Mgongo wa RC Dsm na kulipa Madaktari ili kutoa huduma za Afya bureee Mnazi Mmoja!!Yaani badala ya kuboresha huduma za Hospital,wao wanatengeneza "Bonanza la Kupima Afya za Watu"....
Ndio walewale Wazee wa Reflectors...Waliowakusanya Bodaboda wa Dsm Leaders Club na kuwagawia majaketi ya kuakisi mwanga.Hao ndio walifadhili mechi ya Wabunge wa SIMBA vs YANGA siku ya Jumapili.
Wanafanya huduma za kibinadamu kwa kuwalipa madaktari na kuhudumia kufanyia upasuaji watoto wenye vichwa vikubwa Dsm na Jimbo la Chalinze.
Jamaa ndio "Tigo Pesa na M-Pesa" ya Wabongo wanaofanya biashara China na Tz...Ukienda tu pale Kkoo unawapa madafu wao wanaituma ndani ya dakika moja imefika Uchina kwa njia ya simu.Ndio walioboresha ofisi ya RC Dsm kwa kuweka ndani samani mpyaaaaa na Apple Computer juu ya meza.
Hawagusiki...Kama unataka kurudi kwenu Geita uache jumba jeupe...Basi gusa "mtandao wa Simba Trust"....
ulikuwa hujui???Uwiiiiiii aiseeee kuna watu wameishika hii nchi kubaya![]()
Ndio wanaopewa milioni 400 per day na TanescoKwani wanatatizo gani?. Hawalipi kodi?, hawatoi ajira?, hawauzi bidhaa/huduma zinazo boresha maisha ya watu?.
mtoto nani huyu alotoa mlolongo wa hisia za ushahidi au wewe uliyedandia uzi kichwa kikiwa tupu ?We muongo sana.Kuna baadhi ya vitu navifahamu humo vyote umeongopa.Acha utoto
Mpuuze tu huyo ambaye akili yake inafundishwa jinsi ya kufikiria,mtoto nani huyu alotoa mlolongo wa hisia za ushahidi au wewe uliyedandia uzi kichwa kikiwa tupu ?
Mudawote, haya ni maslahi ya taifa. Haipaswi kusafisha watu individual ili kufunika kombe. Humu wachangiaji wengi hawana vyama ila kila wakienda against chama tawala au baadhi ya viongozi wa serikali basi wanaonekana ni Chadema na wala siyo hata vyama vingine.Mleta mada ni mnafiki sana. Nyie mnatumia hisia badala ya kuweka documents. Sasa mnamsakama JK wakati huo huo mnasema alikuwa rais bora, so which is which?? Mwacheni JK apumzike!
We dada uongo wako pelekea watoto wako sisi humu ni watu na akili zetu sio za kushikiwaJAKAYA KIKWETE, SALMA KIKWETE, Na watoto wao ndio wamiliki wa SIMBA TRUST,
Kwenye Orodha ya wakwapuaji wa Pesa za Escrow Mama Salma anaonekana kuchota pesa.
TSN Supermarket Mama Salma ameonekana.
Jengo la ROCKY CITY MALL -Mama Salma alimwambia Mkuu wa Mkoa Magesa Mlongo kuwa ahakikishe anamtengea Vizimba vyake humo Jengoni-Na ni kweli TSN Ilipewa Vizimba kadhaa
Halotel- Familia ya JK. ina Hisa humo ndani.
Haya IPTL/PAP =JK. Family...
Yaan Urais wa JK. Kwa miaka Kumi ulikuwa ni wa kupiga deal na mke wake pamoja na familia yake na watu wake wa karibu.