Huu ndio mtandao unaoimiliki Simba Trust!!

Huu ndio mtandao unaoimiliki Simba Trust!!

Supra-Complex Wealth Looting Syndicate. Ndiyo tafsiri yangu kuhusiana na kundi hilo baada ya kusoma posts hizo hapo juu.
 
Alafu eti tunaambiwa kapatikani mtu fulani anaechukia ufisadi!Kuna ufisadi zaidi ya huu?Pamoja na tuhuma zote hizi bado anasema nitawalinda na nyie mnaamini mmepata mtu aliejitoa mhanga kupingana na ufisadi?Je ,si kajitoa mhanga kulinda mafisadi mapapa?
Unfortunately you can't work mechanically while legal contracts still hold the outcome of any decision. Tusiongee kishabiki
 
Kumbe technically upo technical kweli kweli. I salute for you. Ndo naanza kuelewa ndo maana sikuhizi nimekonda sana, yaani nipo kama naumwa, kumbe ni mawazo tu yanamkondesha maana hajui kesho siku itaamuka amevurugwa au la? Dah hawa watu ni kheri hata wakifa waende motoni
 
JAKAYA KIKWETE, SALMA KIKWETE, Na watoto wao ndio wamiliki wa SIMBA TRUST,

Kwenye Orodha ya wakwapuaji wa Pesa za Escrow Mama Salma anaonekana kuchota pesa.

TSN Supermarket Mama Salma ameonekana.

Jengo la ROCKY CITY MALL -Mama Salma alimwambia Mkuu wa Mkoa Magesa Mlongo kuwa ahakikishe anamtengea Vizimba vyake humo Jengoni-Na ni kweli TSN Ilipewa Vizimba kadhaa

Halotel- Familia ya JK. ina Hisa humo ndani.

Haya IPTL/PAP =JK. Family...

Yaan Urais wa JK. Kwa miaka Kumi ulikuwa ni wa kupiga deal na mke wake pamoja na familia yake na watu wake wa karibu.
Nyerere aliona mbali sana sana!
 
Wazee wa kujenga jengo la BAKWATA...Wazee wa kupitia Mgongo wa RC Dsm na kulipa Madaktari ili kutoa huduma za Afya bureee Mnazi Mmoja!!Yaani badala ya kuboresha huduma za Hospital,wao wanatengeneza "Bonanza la Kupima Afya za Watu"....

Ndio walewale Wazee wa Reflectors...Waliowakusanya Bodaboda wa Dsm Leaders Club na kuwagawia majaketi ya kuakisi mwanga.Hao ndio walifadhili mechi ya Wabunge wa SIMBA vs YANGA siku ya Jumapili.
Wanafanya huduma za kibinadamu kwa kuwalipa madaktari na kuhudumia kufanyia upasuaji watoto wenye vichwa vikubwa Dsm na Jimbo la Chalinze.

Jamaa ndio "Tigo Pesa na M-Pesa" ya Wabongo wanaofanya biashara China na Tz...Ukienda tu pale Kkoo unawapa madafu wao wanaituma ndani ya dakika moja imefika Uchina kwa njia ya simu.Ndio walioboresha ofisi ya RC Dsm kwa kuweka ndani samani mpyaaaaa na Apple Computer juu ya meza.

Hawagusiki...Kama unataka kurudi kwenu Geita uache jumba jeupe...Basi gusa "mtandao wa Simba Trust"....
Hivi ktk afrika hii unaweza ukamtisha rais wa nchi? Mtu anayezungumza na kupanga vita akiwa na mkuu wa majeshi? NO! usiwape kichwa. Ktk utawala uliopita, walidekezwa. Kwa sasa wanajipanga tu kujisogeza ili wafahamike, lakini nadhani umeshajionea dalili mbaya. Huu siyo utawala wa kufahamika au kuwa na simu ya rais mfukoni.

Kama rais akiamua, wote hao unaoamini ni wakubwa, utashangaa wanatafuta mpaka wa kupitia. Rais wa afrika hawezi kukimbia nchi ya wafanyabiashara, labda yule mzembe aliyesema wana nguvu kweli kweli! kumbe naye akiwemo.
 
Duh hii syndicate hii...
Humo pana mkono mrefu hata magu atii mkono humo.
Nadhani kama kuna ushauri, msaidieni rais kupambana na hawa watu. Tatizo wengi tumeshaamini huo ni umwamba na hata tunavyoandika ni kama tunawasifia watu wa aina hii kwamba hawagusiki. Hatuonyeshi hasira zetu juu ya aina hiyo ya upuuzi na badala yake ni kama tunamzomea rais aliyeko madarakani, wakati tukielewa yote hayo yametengenezwa wakati wa utawala uliopita.
 
Nadhani kama kuna ushauri, msaidieni rais kupambana na hawa watu. Tatizo wengi tumeshaamini huo ni umwamba na hata tunavyoandika ni kama tunawasifia watu wa aina hii kwamba hawagusiki. Hatuonyeshi hasira zetu juu ya aina hiyo ya upuuzi na badala yake ni kama tunamzomea rais aliyeko madarakani, wakati tukielewa yote hayo yametengenezwa wakati wa utawala uliopita.
Umeongea kizalendo sana naona unaipenda nchi yetu.....
 
Back
Top Bottom