technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 13,563
- 57,888
- Thread starter
- #161
Tutakula tu kwa uwezo wa mwenyezi mungu ..........mmesababisha nimeanza kulia mana leo sijui ntakula nini sina hata kumi
Tutakula tu kwa uwezo wa mwenyezi mungu ..........mmesababisha nimeanza kulia mana leo sijui ntakula nini sina hata kumi
Huna jipya wewe mpiga vuvuzela wa Lumumba.Naona unawashwa na mihemko.
Ngoja wakunase ndio ujue kama kuna mamlaka ama lah.
Unafahamu nini? Naomba utufahamishe vizuri.We muongo sana.Kuna baadhi ya vitu navifahamu humo vyote umeongopa.Acha utoto
Unfortunately you can't work mechanically while legal contracts still hold the outcome of any decision. Tusiongee kishabikiAlafu eti tunaambiwa kapatikani mtu fulani anaechukia ufisadi!Kuna ufisadi zaidi ya huu?Pamoja na tuhuma zote hizi bado anasema nitawalinda na nyie mnaamini mmepata mtu aliejitoa mhanga kupingana na ufisadi?Je ,si kajitoa mhanga kulinda mafisadi mapapa?
Kuna vitu vingi tu sijavisema lakini navijua .........umesahau umiliki wa shell na supermarkets za panone nchi nzima...
Wewe giant sleeping don't make noise here,nenda kamkamate DED huko na RAC ole wako usogee kwa giantNani atamfunga paka kengele??
Nyerere aliona mbali sana sana!JAKAYA KIKWETE, SALMA KIKWETE, Na watoto wao ndio wamiliki wa SIMBA TRUST,
Kwenye Orodha ya wakwapuaji wa Pesa za Escrow Mama Salma anaonekana kuchota pesa.
TSN Supermarket Mama Salma ameonekana.
Jengo la ROCKY CITY MALL -Mama Salma alimwambia Mkuu wa Mkoa Magesa Mlongo kuwa ahakikishe anamtengea Vizimba vyake humo Jengoni-Na ni kweli TSN Ilipewa Vizimba kadhaa
Halotel- Familia ya JK. ina Hisa humo ndani.
Haya IPTL/PAP =JK. Family...
Yaan Urais wa JK. Kwa miaka Kumi ulikuwa ni wa kupiga deal na mke wake pamoja na familia yake na watu wake wa karibu.
Full upigaji.......Ila wajameni awamu ya 4 ilikuwa ni UOZO MTUPU!
Hivi ktk afrika hii unaweza ukamtisha rais wa nchi? Mtu anayezungumza na kupanga vita akiwa na mkuu wa majeshi? NO! usiwape kichwa. Ktk utawala uliopita, walidekezwa. Kwa sasa wanajipanga tu kujisogeza ili wafahamike, lakini nadhani umeshajionea dalili mbaya. Huu siyo utawala wa kufahamika au kuwa na simu ya rais mfukoni.Wazee wa kujenga jengo la BAKWATA...Wazee wa kupitia Mgongo wa RC Dsm na kulipa Madaktari ili kutoa huduma za Afya bureee Mnazi Mmoja!!Yaani badala ya kuboresha huduma za Hospital,wao wanatengeneza "Bonanza la Kupima Afya za Watu"....
Ndio walewale Wazee wa Reflectors...Waliowakusanya Bodaboda wa Dsm Leaders Club na kuwagawia majaketi ya kuakisi mwanga.Hao ndio walifadhili mechi ya Wabunge wa SIMBA vs YANGA siku ya Jumapili.
Wanafanya huduma za kibinadamu kwa kuwalipa madaktari na kuhudumia kufanyia upasuaji watoto wenye vichwa vikubwa Dsm na Jimbo la Chalinze.
Jamaa ndio "Tigo Pesa na M-Pesa" ya Wabongo wanaofanya biashara China na Tz...Ukienda tu pale Kkoo unawapa madafu wao wanaituma ndani ya dakika moja imefika Uchina kwa njia ya simu.Ndio walioboresha ofisi ya RC Dsm kwa kuweka ndani samani mpyaaaaa na Apple Computer juu ya meza.
Hawagusiki...Kama unataka kurudi kwenu Geita uache jumba jeupe...Basi gusa "mtandao wa Simba Trust"....
Duh hii syndicate hii...
Nadhani kama kuna ushauri, msaidieni rais kupambana na hawa watu. Tatizo wengi tumeshaamini huo ni umwamba na hata tunavyoandika ni kama tunawasifia watu wa aina hii kwamba hawagusiki. Hatuonyeshi hasira zetu juu ya aina hiyo ya upuuzi na badala yake ni kama tunamzomea rais aliyeko madarakani, wakati tukielewa yote hayo yametengenezwa wakati wa utawala uliopita.Humo pana mkono mrefu hata magu atii mkono humo.
Umeongea kizalendo sana naona unaipenda nchi yetu.....Nadhani kama kuna ushauri, msaidieni rais kupambana na hawa watu. Tatizo wengi tumeshaamini huo ni umwamba na hata tunavyoandika ni kama tunawasifia watu wa aina hii kwamba hawagusiki. Hatuonyeshi hasira zetu juu ya aina hiyo ya upuuzi na badala yake ni kama tunamzomea rais aliyeko madarakani, wakati tukielewa yote hayo yametengenezwa wakati wa utawala uliopita.