Huu mwaka ukiisha sijapata mwenza siji kupenda tena

Hela ya Christmas inatafutwa kwa mbinde, anatafutwa mtu hapa punde kuna kidume kitakuja na Uzi wa kuwalaumu wanawake wa jamii forum.


Ndukiiiii
 
Tuendelee na maombi mkuu, labda nshomile akalegeza kamba.
 
Nitumie namba zako PM nikutafute mwenyewe nazan hii itakuwa siyo jf.
 
Watu hawana habari na singo MAZA na usawa huu hela ya xmas ya mtoto na mama hujakaa sawa january mtoto ada
 
Unaishi wap? Mimi nipo kigamboni tuchekiane 076682...........nitakupenda ulivyo na mimi nipo vzr njoo pm nimalizie no usipuuze mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…