Huu Mtungi wa gesi uko sawa wakuu?

Huu Mtungi wa gesi uko sawa wakuu?

Kuna utapeli mpya kwenye mitungi ya Gas ..

Mitungi ya Kilo 15 imekuwa adimu sana ...ipo mitungi ya kilo 13.. hivyo usipokuwa makini unauziwa 13kg kwa Bei ya 15kg. Na wauzaji wengi wanataka hiyo ya 13kg ili kupata faida kubwa .
Tofauti ya ukubwa na umbo ya hiyo mitungi ni ndogo sanaa.. kwa macho ni ngumu kujua kama huna uzoefu. Dawa ni kupima kilo kwanza kabla haujachukua.
 
Mzani sina halafu nilikuwa naona mambo madogo ila naona kuna watu wanatuchezea sio bure
Huu ukiisha, nunua kutoka kwengine. Hali ikiwa tofauti utajua unachezewa. Ikiwa ile ile, ni ama kwako kuna tatizo au kiwandani kuna tatizo.

Amandla...
 
Maisha sometimes yanatupa tusichotaka
Mimi sikutamani kabisa kulea watoto Peke yangu
Ila nishajua hii ndo fate yangu .
Karibu kwenye chama cha tuliofeli mahusiano
Aaaaah my friend hata usiongee kwa huruma,kuliko kukaa unateseka na kuumizwa kwa sababu ya jitu zima, mwisho ufe kabla ya wakati wako, basi ni bora kuacha aende tu!

Na ikiwa wewe sio uliyeharibu, haupaswi kujiona umefeli,unakuwa umefelishwa!
So, relax kabisaaa, otherwise wewe uwe umemwacha mtu kwa hila...
 
Sasa kama gesi ni ya kupimiwa maharage , nyama , makande unachemshia wapi kama hauna mkaa madam? Au nyie ni wale wa pizza?
natumia pressure cooker ya umeme
Hii nusu saa maharage yameiva .umeme hata unit moja haitumiki mkuu
Yaani miaka hii maisha yamerahisishwa hata vyombo hatuoshi atiii
 

Attachments

  • IMG_20250708_202254.jpg
    IMG_20250708_202254.jpg
    395.9 KB · Views: 12
natumia pressure cooker ya umeme
Hii nusu saa maharage yameiva .umeme hata unit moja haitumiki mkuu
Yaani miaka hii maisha yamerahisishwa hata vyombo hatuoshi atiii
Hapo sawa gasi pia ilibidi kila nyumba iwepo na mifumo iwe kama kulipia maji , salio lako likikata inaisha ukiweka ngoma inaachiwa🤔
 
Aaaaah my friend hata usiongee kwa huruma,kuliko kukaa unateseka na kuumizwa kwa sababu ya jitu zima, mwisho ufe kabla ya wakati wako, basi ni bora kuacha aende tu!

Na ikiwa wewe sio uliyeharibu, haupaswi kujiona umefeli,unakuwa umefelishwa!
So, relax kabisaaa, otherwise wewe uwe umemwacha mtu kwa hila...
Japo Nina mapungufu mengi lakini Mimi sio mwenye makosa mkuu hata Mungu ni Shahid
Ndo maana sijaweza kuanzisha mahusiano mengine kwa sababu nilijitahidi Sana
Naona sina jipya tena .nguvu zilizobaki nipambanie Tu ndoto zangu namshukuru Mungu naona mwanga huku
Kuwa na furaha sio lazima uwe na mtu hata
 
Hapo sawa gasi pia ilibidi kila nyumba iwepo na mifumo iwe kama kulipia maji , salio lako likikata inaisha ukiweka ngoma inaachiwa🤔
Huku bongo si unajua bahati mbaya Hadi tuforce kupata Raha?
Hivi hivi tunaforce
Watu SA hivi wanaishi kishua Sana hata kama hela hawana
Siku hizi kuna Hadi chupi disposable.unavaa mara moja unatupa
Zipo pc 50 kwa elfu 50
Kwa mwezi unakuwa na bill ya chupi yaani
 
Huku bongo si unajua bahati mbaya Hadi tuforce kupata Raha?
Hivi hivi tunaforce
Watu SA hivi wanaishi kishua Sana hata kama hela hawana
Siku hizi kuna Hadi chupi disposable.unavaa mara moja unatupa
Zipo pc 50 kwa elfu 50
Kwa mwezi unakuwa na bill ya chupi yaani
Ila wadada mkivaaga chup huwa mnanikosha sana😊😊🙃😉
 
Back
Top Bottom