Anastahili kazi ya kuwaweka watoto wengi wawe kwenye mstari ulionyooka mapema 😁😁😁Kwakweli anastahili pongezi
Kwann upande mmoja unakua na nguvu kuliko mwingineBasi kuna rafiki yangu yeye upande wake wa kushoto ndo una nguvu kuanzia mguu mpaka mkono, na pia ana kigugumizi. Huyo maza ako angepiga aue ila lijamaa lenyewe si haba lazima angeliogopa lina mwili kama bondia.
Nashukuru asanteKtk familia yetu, watoto 3 wanaandikia kushoto,
Kunae huyu kaka niliyemfuata, yeye had mguu anatumia wa kushoto, na anacheza ⚽ sana, huwa najiuliza alikua anawezaje kuandika madesa, hasa Advance alisoma PCB, nikiwaza zile notes na namba namba mbna nachoka sana,
Ila wabarikiwe mno, kutumia mambo ktk upande wa kushoto ni kipaji. Lol
Kigugumizi ni ulemavu, kwann alikua anawatesa hivyo?Tuendelee Jamani,.
Huyu mdogo wangu bhana anakigugumizi,. Yaani zamani ilikua kama umemuuliza kitu akuelezee mpaka uje upate content kwanza unakua umeshakereka au umeshamwambia aache kuongea,. Maanake kwanza utamuonea huruma anavyohangaika kutafuta maneno hadi yatoke mdomoni kashachoka,.
Mama alikua hapendi, yaani alikua anachukia kwelikweli,. Alikua anamwambia ukiitwa au ukiulizwa chochote au ukiambiwa chochote usikurupuke kujibu,. Tulia kwanza uvute pumzi halafu ndio uongee kwa sauti ya chini hutaona ukiteseka hivyo,.
Sijui ndio kwasababu ya utoto au nini yaani alikua aliitwa kwa sauti nae anataka aitike kwa sauti basi kigugumizi,. Mama atamtandika kofi nimekwambiaje ukiitwa unatakiwa unye nini??,. Alikua anachapwa .. Au utakuta tu mama anamuongelesha kitu halafu anamkazia macho anataka amjibu😃😆😆,. Basi anatulia anashusha pumzi anaanza kuongea taratibu maneno hayakwami wala...
Sema na yeye mpaka alipokuja kuzoea aliteseka,. Fimbo nyingi sana alikula😄😄,. Sikuzi amekua mkaka anaongea hadi kwa swaga kabisa, mpaka mtu ajue kama anakigugumizi labda akae nae mda mrefu, yaani wawe na stori au maongezi ya mda mrefu ndio mnajua maana mda mwingine anashindwa kujicontrol,. Ila saizi hali ni nzuri sio kama zamani alivyokua mdogo....
Ila huyu mwanamke wa kuitwa mama yangu ni kiboko,. Yaani akikazania jambo lake haachi mpaka litokee ukweli
Nawee umo ktk kushoto things? 😂😂😂😂Nashukuru asante
Nikuulize wewe mkuu, labda kaka yetu Dennis Roberts anaweza kua anajua lolote kwanini upande mmoja(kulia/kushoto) unakua na nguvu zaidi ya mwingine.Kwann upande mmoja unakua na nguvu kuliko mwingine
Mi natumia mashoto kila kitu kasoro naniliu tuu .Nawee umo ktk kushoto things? 😂😂😂😂
Huyu jamaa hajawah kunikubali anasema mimi nina mnafikia et 😂😂😂😂🙌🙌🙌Nikuulize wewe mkuu, labda kaka yetu Dennis Roberts anaweza kua anajua lolote kwanini upande mmoja(kulia/kushoto) unakua na nguvu zaidi ya mwingine.
Poleee sana, 😂😂😂😂Mi natumia mashoto kila kitu kasoro naniliu tuu .
Alafu nimepiga PCB nakumbuka mw.msagati alikua ananiwekea kikao kisa kuwa na mwandik mbaya ambao tangu shule imeanza haijawah tokea
AsantePoleee sana, 😂😂😂😂