secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 15,586
- 29,294
Hakuna kipaji.Inasikitisha sana
Hakuna kipaji.Inasikitisha sana
Hakuna kipaji kwa hii Dunia.Mama akisimama katika nafasi yake, watoto watakaa katika mstari anataka
😅😅 hata yeye hajui kaandika nini,tunamuuliza hapa umeandikaje eti "sijui" yaani a kama d, n kama h vurugu tu!
Kivipi ndege?Hakuna kipaji
Sawa mkuu nimekuelewa.Hakuna kipaji.
Hahaha 😀 hio nomahata yeye hajui kaandika nini,
Mimi nilishawahi kuambiwa niandike vizuri kwenye mitihani la sivyo nitasahisha mtihani wangu mwenyewe

Umenikumbusha kuna ndugu yangu alikuwa anakigugumizi, sasa muda wa likizo alikuwa anakuja nyumbani tunakaa wote. Binafsi nilikuwa naona kama ndo anaongea vizuri hivi, nikawa namuiga jinsi anavyoongea. Baada ya muda kama niliadapt kuongea vile. Nikawa na mimi ninakigugumizi fulani hiv. 🤣🤣🤣 bibi akasema hiki cha kujitakia nitakiondoa tu, nilikuwa nakula dozi hadi kikaishaTuendelee Jamani,.
Huyu mdogo wangu bhana anakigugumizi,. Yaani zamani ilikua kama umemuuliza kitu akuelezee mpaka uje upate content kwanza unakua umeshakereka au umeshamwambia aache kuongea,. Maanake kwanza utamuonea huruma anavyohangaika kutafuta maneno hadi yatoke mdomoni kashachoka,.
Mama alikua hapendi, yaani alikua anachukia kwelikweli,. Alikua anamwambia ukiitwa au ukiulizwa chochote au ukiambiwa chochote usikurupuke kujibu,. Tulia kwanza uvute pumzi halafu ndio uongee kwa sauti ya chini hutaona ukiteseka hivyo,.
Sijui ndio kwasababu ya utoto au nini yaani alikua aliitwa kwa sauti nae anataka aitike kwa sauti basi kigugumizi,. Mama atamtandika kofi nimekwambiaje ukiitwa unatakiwa unye nini??,. Alikua anachapwa .. Au utakuta tu mama anamuongelesha kitu halafu anamkazia macho anataka amjibu😃😆😆,. Basi anatulia anashusha pumzi anaanza kuongea taratibu maneno hayakwami wala...
Sema na yeye mpaka alipokuja kuzoea aliteseka,. Fimbo nyingi sana alikula😄😄,. Sikuzi amekua mkaka anaongea hadi kwa swaga kabisa, mpaka mtu ajue kama anakigugumizi labda akae nae mda mrefu, yaani wawe na stori au maongezi ya mda mrefu ndio mnajua maana mda mwingine anashindwa kujicontrol,. Ila saizi hali ni nzuri sio kama zamani alivyokua mdogo....
Ila huyu mwanamke wa kuitwa mama yangu ni kiboko,. Yaani akikazania jambo lake haachi mpaka litokee ukweli
Haha ,. Nakumbuka Advance mwalimu wa Chemistry aliniambia mwandiko wangu ndio utafanya nifeli necta🥲😂😂Hahah tunasomeka wapi!
kuna mwana alikuwa anaandika notes O-level tukimuazima tucopy notes tunamuuliza hapa umeandikaje eti "sijui" yaani a kama d, n kama h vurugu tu!
Wengine hadi wanawatengeneza watoto Kutumia kushotoKushoto hapana mkuu,. Au sijui ndio alinifanya na mimi niwaone wanaoandikia kushoto kama walemavu😃😂😂
Nimeeleza kwenye Uzi wa Jana ambao niliisahau kukutag ukapita kimya kimya.Kivipi ndege?
Hamna mkuu vipaji vipo sema ndio mpaka uje ujue kipaji chako ni kipi mtihaniEti kwenye ule Uzi wangu niliposema hakuna kipaji duniani/hakuna mtu anayezaliwa na uwezo wa kufanya jambo au kitu watu walikuwa wanabisha kisa wamekaririshwa na mabeberu kutoka ulaya.
Oya Nomadix Al-mukheef implicit memory njooni hapa mjionee kisa kinachofhihirisha kuwa hakuna kipaji.
#hakuna kipaji duniani, neno kipaji nai optical illusion.
Hongera kwa kunielewa.Sawa mkuu nimekuelewa.
Kwa nini ulikuwa na uwezo wa kutumia mkono wa kushoto baada ya kuacha kuutumia umepotea udmfanisiHamna mkuu vipaji vipo sema ndio mpaka uje ujue kipaji chako ni kipi mtihani