Huu mpira wa bongo bana

Ukitoka kwenye offside position halafu urudi kushiriki kwenye move ni offside. Hili goli ni offside kwa kanuni za offside. Sheria za offside zimebadilishwa unakuwa offside unapozidi mwili mzima.Pacome alikuwa offside akarudi na ku interfere kwenye move na kufunga.
 
Alimfanyia obstruction de ruck..ilikiwa clear offside
 
Ni maelekezo watu washatia kibunda chao mfukoni
 
Yaani marefa wa leo nikituko tuwaache na kombe lao la ccm
View attachment 3473514
Hii ni clear offside kabisa
Acha uwongo; nenda kaugulie nyumbani kwako kimya kimya baada ya kichapo. Pacome alipokuwa offside hakugusa mpira huo, alikuja kuugasa baada ya kuwa ameshatoka kwenye nafasi ya ioffsie akisindikiza mpira wa ulipoigwa na Max
 
Refa hakupuliza kwanini??? au ni maelekezo mana wanasimba tulizingua hatukuitikia salamu ya mama abdalla
Au tena? Si umesema wamepewa kibunda? Ni shilingi ngapi? 🤣
 
hukuona pacome aliingilia mchezo akiwa offside na kumblock beki wa simba kufanya tackling kwa max?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…