johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,914
- 141,864
Kwa sasa karibia kila kitu kimepanda bei hadi soda na hakuna matarajio ya bei kushuka.
Chanzo cha hali hii ni nini?
Wanasiasa mbona wako kimya siyo CCM wala Chadema hakuna anayehoji, kulikoni?
Maendeleo hayana vyama.
Chanzo cha hali hii ni nini?
Wanasiasa mbona wako kimya siyo CCM wala Chadema hakuna anayehoji, kulikoni?
Maendeleo hayana vyama.