Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 14,971
- 10,465
😀Kwani ameshaacha kuupiga mwingi?
😀 😀 ☝️ haupigiki
😀Kwani ameshaacha kuupiga mwingi?
Unalialia nini wewee Mbusii?Si ni lichama lenu huko sadist furaha yenu watu wakiteseka. Si wewe Bingwa wa kusifu humu.Vifaa vya ujenzi vimepanda bei ghafla,sambamba na bei ya bidhaa za vyakula mpaka inaogopesha! Mbaya zaidi hakuna cha Rais, Waziri Mkuu, au Waziri mwenye dhamana aliye jitokeza mpaka sasa kutolea tamko.
Hili jambo linasikitisha na kuhuzunisha sana.
Pakusifu nitasifu,na pa kukosoa nitakosoa kwa staha ,ni wajibu wangu.Unalialia nini wewee Mbusii?Si ni lichama lenu huko sadist furaha yenu watu wakiteseka. Si wewe Bingwa wa kusifu humu.
Hata wabunge kimyaa!Inasikitisha sana...
Toka 250tshJust imagine kipande cha sabuni ni 500
Hater …Sera za sasa zina unafuu kwa mfanya biashara. Kumbuka aliumizwa sana kipindi kile cha "village champion" wa Chattel. Sasa hakuna "option rather than comprising with them'
Walipata hasara kubwa sana, kwa hiyo njia pekee ni kuwapa uhuru wa kufidia hasara walizozipata ili wajenge tena "trust" na serikali ya chama sikivu.
POLE POLE akianzisha chama hakia ya MUNGU nakuwa mfuasiUnalialia nini wewee Mbusii?Si ni lichama lenu huko sadist furaha yenu watu wakiteseka. Si wewe Bingwa wa kusifu humu.
CritisizerHater …
Dogo wee Tulia zako tu kwa shemeji yako.POLE POLE akianzisha chama hakia ya MUNGU nakuwa mfuasi