Huu mchepuko umenipa habari njema

Huu mchepuko umenipa habari njema

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
37,112
Reaction score
55,529
Kwa uzee wangu huu wa miaka 72, sijawahi kuwa na watoto mapacha ingawa huwa nawatamani sana.

Sasa majuzi, mchepuko wangu ukanijulisha ana ujauzito wa watoto mapacha.
Kwa furaha niliyonayo, hapa nipo kifua wazi napata kinywaji cha lubisi kwa kusherehekea ushindi.

Kama kuna mlimbwende anatafuta watoto mapacha asisite kunitafuta.​
 
Pamoja nakuficha ila biology ulipiga buyu bwashee
20260227_110130.jpg
 
Kwa uzee wangu huu wa miaka 72, sijawahi kuwa na watoto mapacha ingawa huwa nawatamani sana.

Sasa majuzi, mchepuko wangu ukanijulisha ana ujauzito wa watoto mapacha.
Kwa furaha niliyonayo, hapa nipo kifua wazi napata kinywaji cha lubisi kwa kusherehekea ushindi.

Kama kuna mlimbwende anatafuta watoto mapacha asisite kunitafuta.​
Wakizaliwa kapime DNA.. Ni ushauri tuu😂
 
Back
Top Bottom