Hii nukuu yako ya Biblia ni sura gani na mstari upi mkuuHawana tofauti na kile biblia imeeleza labda kama unasomewa biblia siku ya juma pili tu
Hii nukuu yako ya Biblia ni sura gani na mstari upi mkuuHawana tofauti na kile biblia imeeleza labda kama unasomewa biblia siku ya juma pili tu
Nitakueleza baada ya kueleza wapi kwenye biblia wametaja majini👆Hii nukuu yako ya Biblia ni sura gani na mstari upi mkuu
Ulinganifu huo unataka kutuambia Biblia nayo imesema majini ni ndugu wa wakristo kama huyo mwamba anavyosema majini ni ndugu wa waislam.Nitakueleza baada ya kueleza wapi kwenye biblia wametaja majini👆
Kama unatumia mamilion ya pesa kupanda ndege kuzunguka kibanda na kuokota mawe kumponda shetani. Hiyo tayari ni mental illinessThibitisha China uislamu ni mental illness
Sio.Sio wana wa Mungu maana na wao si malaika?
Basi hawajawahi kuwa malaika maana malaika ni wana wa MunguSio.
Ooh sawa sasa wale wana wa Mungu waliotajwa kuja duniani na kuzaa na binadamu ni kina nanimalaika hawajawahi kuwa Wana wa Mungu
Ipo siku utayajutia haya maneno yakoUislamu ni usenge.
hem cheki Waebrania 1:14 kwanzaOoh sawa sasa wale wana wa Mungu waliotajwa kuja duniani na kuzaa na binadamu ni kina nani
Sawa achana na malaika naulizia hao wana wa Munguhem cheki Waebrania 1:14 kwanza
Sawa achana na malaika naulizia hao wana wa Mungu
wale waliotajwa pale MWANZO 6 ni debatable. Sio rahisi ku-conlude moja kwa moja kuwa "Wana wa Mungu" waliotajwa pale kuwa ni malaika.Sawa achana na malaika naulizia hao wana wa Mungu
Sasa katika hao wanaofanya debate kuna wanaosema ni malaikawale waliotajwa pale MWANZO 6 ni debatable. Sio rahisi ku-conlude moja kwa moja kuwa "Wana wa Mungu" waliotajwa pale kuwa ni malaika.
yeahSasa katika hao wanaofanya debate kuna wanaosema ni malaika
Na wewe umesema sio malaika wewe unaamini ni kina nani?yeah
katika tulioongea la kujua ni kuwa, kuna malaika alikuwa wa sifa na nyimbo mbinguni, akataka kufanana na kukaa kwenye kiti cha Mungu. ikawa ni uasi mkubwa mbinguni. Akatupwa duniani na alifanikiwa kukokota theluthi ya malaika wenzake. Akashuka nao duniani. Ndio majini unaowasikiaga. HUKUMU yao ilishatoka bado utekelezwaji tu. Ni swala la muda. Mtu akikwambia kuna jini zuri ni sawa anakwambia upande wa shetani kuna mambo mazuri. Devil worshippers nao husema shetani hana shidaNa wewe umesema sio malaika wewe unaamini ni kina nani?
Kweli wagalatia hamna akili, ni nani aliyewarogaNi taarifa tu mkuu, naamini wapo wengi tu ambao walikuwa hawajaipata hii kwamba kumbe majamaa nao ni familia 😀
Swali na jibu ni tofauti mkuukatika tulioongea la kujua ni kuwa, kuna malaika alikuwa wa sifa na nyimbo mbinguni, akataka kufanana na kukaa kwenye kiti cha Mungu. Iiawa ni uasi mkubwa mbinguni. Akatupwa duniani na alifanikiwa kukokota theluthi ya malaika wenzake. Akashuka nao duniani. Ndio majini unaowasikiaga. HUKUMU yao ilishatoka bado utekelezwaji tu. Ni swala la muda. Mtu akikwambia kuna jini zuri ni sawa anakwambia upande wa shetani kuna mambo mazuri. Devil worshippers nao husema shetani hana shida