AXIOM APEX VERBOSE
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 12,233
- 20,517
"Tangu wakati ule wakawa ndugu zetu katika imaan majini kwa sababu walisilimu"😁😁
Waendelee kudanganya watoto na vilaza wenzao
kwa hio Waislamu na Majini ni ndugu kabisa wana vinasaba huwezi kua mwislamu halafu huna ndugu Jini utakua wewe sio Muislamu
Cc: Malaria 2 Kubwa la Maadui