AlP0L0
JF-Expert Member
- Apr 23, 2011
- 7,020
- 5,850
Hapana, sheikh hajasema hivyo, rudia tena kusikiliza, hauna haja kutuuliza sisi.Kwahiyo mtumealikuwa anapandwana majeen?
Hapana, sheikh hajasema hivyo, rudia tena kusikiliza, hauna haja kutuuliza sisi.Kwahiyo mtumealikuwa anapandwana majeen?
Thibitisha China uislamu ni mental illnesssasa ndiyo muelewe kwa nini kwa china islam ni mental illness, i.e muslims wa china wanatibiwa islam , hebu muangalie tu huyo sijui ndiyo tour guide ana akili sawa sawa kweli hata anavyoongea tu? msikilize tena, sick people ...
Thibitisha China uislamu ni mental illness
Hayo ni maoni ya mpumbavu mmoja , sio uthibitisho wa madai ya kuwa china uislamu ni mental illness, taja hospital moja ya china inayolaza wagonjwa wa akili ambao ugonjwa wao umetokana uislamutena kutoka al jazeera ..
![]()
For China, Islam is a ‘mental illness’ that needs to be ‘cured’
China's relentless campaign to erase the identity of the Uighurs continues, as the world remains silent.www.aljazeera.com
kuamini masheitwani ni HATARI San!Kwa imani yao wapo sahihi, sijaona jipya hapo
Kwa imani yao wapo sahihi, sijaona jipya hapo
Kitu gani kimesababisha kuona majini ni mashetani kwenye imani yako wapi pametaja kama majini ni mashetani?kuamini masheitwani ni HATARI San!
Hayo ni maoni ya mpumbavu mmoja , sio uthibitisho wa madai ya kuwa china uislamu ni mental illness, taja hospital moja ya china inayolaza wagonjwa wa akili ambao ugonjwa wao umetokana uislamu
Kuwasiliana na viumbe wasio onekana kwa kiswahili rahisi ni kupandwa na majiniHapana, sheikh hajasema hivyo, rudia tena kusikiliza, hauna haja kutuuliza sisi.
Umeaharibiwa na ujinga wa media uchwara ni wapi chuo cha tiba kinafundisha uislamu kama mental illness ndani ya China?jarida lingine hilo the atlantic, lile la aljazeera ambayo ni islam media group umeikataa basi hiyo ya west pia ..
Nasikia size zao ni kama za punda maana wenyewe ni thrice over normal human beings shughuli yake utaiweza?Naweza kupata jinn la jinsia me?
Sijasema nataka size ya uume wa Jinn nataka jin lenyeweNasikia size zao ni kama za punda maana wenyewe ni thrice over normal human beings shughuli yake utaiweza?
Mwenyewe sijasema kama umesema unataka size za kiume ila umetaka jinsi ya kiume na siku zote ukiweka hiyo status jambo la kwanza ni hiloSijasema nataka size ya uume wa Jinn nataka jin lenyewe
Wewe umeenda mbali sana bro relax
🤣🤣 nachoka mjukuu wanguMwenyewe sijasema kama umesema unataka size za kiume ila umetaka jinsi ya kiume na siku zote ukiweka hiyo status jambo la kwanza ni hilo
Umeaharibiwa na ujinga wa media uchwara ni wapi chuo cha tiba kinafundisha uislamu kama mental illness ndani ya China?
Tunaongelea tiba ndani ya China na sio hoja za kwenye majarida
National Health Commission of the People's Republic of China , huwa wanatumia aljazeera kutoa taarifa sio? Unajisikiliza kweli wewe?aljazeera ni media uchwara? unafahamu kama aljazeera ni islamic, au? ...