Huu hapa msikiti wa majini

Huu hapa msikiti wa majini

majini ni malaika walionguka wakiongozwa na kiongozi wao Lusifa

Hilo ni dai la tafsiri ya kidini, si jambo lililo wazi moja kwa moja kwenye maandiko yote.

Biblia inataja mashetani/pepo, lakini kuhitimisha kwamba kila jini ni malaika aliyeanguka chini ya Lusifa ni tafsiri inayohitaji ushahidi wa maandiko.

Hoja nzuri huonyesha kifungu kinachosema hivyo, si kurudia tu imani fulani.
 
Dini ya kiislam wanadai wapo majini wema na majini wabaya , ukristo unasemaje kuhusu hao malaika unaodai ndio majini
si ajabu shetani kujigeuza akajifanya kana kwamba ni malaika wa nuru. Una habari hata huyo Allah ni mmoja wa miungu tuliokatazwa tusiiabudu?
 
si ajabu shetani kujigeuza akajifanya kana kwamba ni malaika wa nuru. Una habari hata huyo Allah ni mmoja wa miungu tuliokatazwa tusiiabudu?
Allah neno la kiarabu , Wakristo wa Palestine na uarabu kote biblia yao neno Mungu limeandikwa hivyo
 
“Wakawa baadhi yao wamesilimu,wakawa ndugu zetu ktk imani majini kwa sababu walisilimu”

Yumkini ndiyo maana husikika baadhi yao huishi na majini wengine kuyafuga kabisa kama mbuzi
 
“Wakawa baadhi yao wamesilimu,wakawa ndugu zetu ktk imani majini kwa sababu walisilimu”

Yumkini ndiyo maana husikika baadhi yao huishi na majini wengine kuyafuga kabisa kama mbuzi
 
Sikatai ila nakupa elimu ya wazi mno , Wakristo waliopo uarabu ndani ya biblia yao Mungu kaandikwa kwa jina Allah kama lugha yao inavyotaka
ishu sio jina linavyoandikwa/itwa. sio kila mungu ni Mungu. ndio maana kuna Mungu na miungu
 
Hukuna uislamu bila majini
Kila Muislamu ana jini lake

Na Wala haiwapi shida hio
 
Back
Top Bottom